Tanzania na Utani wa Makabila: Ulishawahi kutaniwa vibaya na mtu wa kabila tofauti ukaumia nafsi yako?

Utani Wa ngumi, iwe bojo
 
Mpare vs mchaga
Msukuma vs mgogo
Mhaya vs mjaruo
Ukikutana na hawa watani ni raha tupu. nilikuwa mkoa Wa mara jamaa akaisi mi ni mihaya alikuwa ni mjaruo. Aisee aliniendesha vibaya sana alichukua simu ikabidi nimsindikize mpaka kwake, nikambana kwa make wake. Tukanywa nyuka tukayamaliza. Tafuta Mtani wako popote ulipo
 
Utanu mzuri unaimarisha sana mahusiano mema katika jamii. Ninaomba kukusaidia kuwakumbusha wana JF wenzangu kwamba Tafuta Mtani wako popote ulipo
 
Flyover ya Ubungo ile ni kazi bora ya CCM
 
Hao CHADEMA hata ofisi tu hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…