Katika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.
Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.
Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?
"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"
Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.
Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?
Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.
Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.
Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.
Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.
Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.
Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?
"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"
Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.
Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?
Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.
Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.
Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.
Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.
Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.