Tanzania na vifo tata vya watu bila Postmortem Wala kumhusisha Coroner

Tanzania na vifo tata vya watu bila Postmortem Wala kumhusisha Coroner

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Katika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.

Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.

Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?

"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"

Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.

Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?

Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.

Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.

Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.

Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.

Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
 
Utakuwa unaumwa ww

Kuhitaji postmortem, inquest na ofisi ya Coroner kujihusisha kwenye kuhitimisha safari za watu duniani haziwezi kuwa dalili za kuumwa.

Kwani wewe ni wale Izraeli wenye nyuso kama watu?

Inafahamika Magufuli moja alinusurika. Vivyo hivyo Mwakyembe na hata Mangula.

Kipi kipya hapo ndugu?
 
Kuhitaji postmortem, inquest na ofisi ya Coroner kujihusisha kwenye kuhitimisha safari za watu duniani haziwezi kuwa dalili za kuumwa.

Kwani wewe ni wale Izraeli wenye nyuso kama watu?

Inafahamika Magufuli moja alinusurika. Vivyo hivyo Mwakyembe na hata Mangula.

Kipi kipya hapo ndugu?

Wewe ndio mpumbavu
Nendeni mkazike huo mzoga mnatusumbua tuu Humu na thread za ajabu ajabu
 
Wewe ndio mpumbavu

Matatizo haya Dr. Mollel ana uzoefu sana nayo:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


Cc: Slowly
 
Nendeni mkazike huo mzoga mnatusumbua tuu Humu na thread za ajabu ajabu
Tuna ndugu zetu wengi wamekufa hata Kwa kujinyonga kwa vyupi mikononi mwa polisi.

Hai ndiyo tunaotaka kuanza nao bila kuachwa jiwe juu ya jingine.

Kulikoni makasiriko yote hayo?
 
Katika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.

Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.

Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?

"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"

Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.

Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?

Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.

Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.

Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.

Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.

Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
Hizi dalili za kuishi in a pithole country, sikia hii, Family Doctor amesema hivi na hivi, je watanzania asilimia ngapi wana family Doctor?,family lawyer?,solicitor?,bondsman etc etc,royal families zitawaburuza sana watanzania, maana wamejipatia mtaji mkubwa wa ujinga kutoka kwao
 
Katika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.

Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.

Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?

"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"

Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.

Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?

Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.

Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.

Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.

Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.

Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
7th and 6
 
Tuna ndugu zetu wengi wamekufa hata Kwa kujinyonga kwa vyupi mikononi mwa polisi.

Hai ndiyo tunaotaka kuanza nao bila kuachwa jiwe juu ya jingine.

Kulikoni makasiriko yote hayo?
We mnafiki tuu huna jipya tunakujua , nakushauri uwahi msiban utakuta ubwabwa umeisha .... Mkazike haraka
 
Wafiwa mmeumia sana
Ngoja tumuite Gwajima awafufulieni mfu wenu

Bible say Acha wafu wazike wafu wao
 
We mnafiki tuu huna jipya tunakujua , nakushauri uwahi msiban utakuta ubwabwa umeisha .... Mkazike haraka
Kwani wewe ni usiyejulikana? Humu si tulishakubaliana nyuma ya fake ID hatujuani?
 
Hizi dalili za kuishi in a pithole country, sikia hii, Family Doctor amesema hivi na hivi, je watanzania asilimia ngapi wana family Doctor?,family lawyer?,solicitor?,bondsman etc etc,royal families zitawaburuza sana watanzania, maana wamejipatia mtaji mkubwa wa ujinga kutoka kwao

Sababu za vifo huhitimishwa kwa postmortem na inquest chini ya Coroner kisheria:

Daktari ataja sababu kifo cha Membe

Tuukatae ureja reja huu kwa marehemu wote.
 
Kuhitaji postmortem, inquest na ofisi ya Coroner kujihusisha kwenye kuhitimisha safari za watu duniani haziwezi kuwa dalili za kuumwa.

Kwani wewe ni wale Izraeli wenye nyuso kama watu?

Inafahamika Magufuli moja alinusurika. Vivyo hivyo Mwakyembe na hata Mangula.

Kipi kipya hapo ndugu?
What if hao wa kufanya postmortem ni walewale? Afrika ni ngumu sana
 
Katika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.

Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.

Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?

"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"

Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.

Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?

Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.

Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.

Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.

Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.

Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
Hili swala ukiliangalia kwa jicho la tatu lina ukweli! Tumekua wepesi sana kukimbilia kusema Marehemu tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi, kumbe Wajanja ndiyo amemuwaisha Marehemu kwa Sir God ili huku nyuma wafanye yao!!
 
Hili swala ukiliangalia kwa jicho la tatu lina ukweli! Tumekua wepesi sana kukimbilia kusema Marehemu tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi, kumbe Wajanja ndiyo amemuwaisha Marehemu kwa Sir God ili huku nyuma wafanye yao!!
Wenzetu Kenya hawako hivi. Kwenye katiba mpya hili liangaziwe. Binadamu hawezi kuishi na kufa na ikahitimishwa kama kuku tu.
 
Back
Top Bottom