Mmh7th and 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh7th and 6
Ndio alitembelea hotoli inayojulikana?7th and 6
Kwani Prof. Shaba alikufa lini?Nchi haina pathologists tangu Professor Shaba afariki dunia, eti hawa medical assistants, GP ndio watoe uchunguzi ni craze, as far wewe sio royal families 👪, endelea kulalama huku wakati wateule wapo serengeti restaurant wanapata lunch
Virusi vinavyogandisha damu na kuzuia mapafu kupokea hewa......elewa hilo ndio chakaKatika nchi zilizostaarabika kifo cha mtu huhitimishwa kwa postmortem (kujua kamili chanzo cha kifo) na inquest ambapo ofisi ya Coroner huhhsika. Kifo hakiishii na mambo ya tiba peke yake.
Mtu anaweza kuwa alikuwa mgonjwa mahututi hospitali, lakini kafa kwa sumu au hata kuchomwa kisu huku akiwa ICU.
Sababu za vifo zinaweza kuwa nyingi. Bila Postmortem au inquest wala ofisi ya Coroner kujihusisha kikamilifu, nadharia za michezo michafu zitaacha kuwapo vipi?
"Kama kachero mbobezi, baada ya kuhojiwa Dodoma alielekea kwenye hoteli isiyojulikana kupata chakula kizuuuri, Kwa nini isiwezekane kuwa alipata chakula tata kutokea kwenye hoteli inayojulikana?"
Vifo vya wengi vimeacha maswali mengi. Watu wanafia mikononi polisi katika mazingira yasiyokubalika. Wengi, wakubwa kwa wadogo wanakufa wengine ghafla, na sababu zinazotolewa zinakuwa haziridhishi.
Tuyafukue makaburi ya wafu wetu wote tusiokubaliana na maelezo yaliyopo. Kwani ya wafanya biashara wa Ifakara ilikuwa je?
Hadithi za kuandaana kufa kuwa kila nafsi itaonja mauti, bwana hutoa na kutwaa, nyuma yao mbele yao nk zinahitaji maboresho ya haraka. Vinginevyo binadamu watoa roho za watu tuishio nao mitaani nyusoni mwao nao ni kama watu tu.
Kama nchi tuna tatizo la kukubali vifo vya watu bila Postmortem wala inquest.
Kenya wametuzidi Sana kwenye haya.
Katiba mpya itabidi kuwa wazi kwenye hili. Kila kifo kihitimishwe kikamilifu kisheria zaidi ya si ki tiba peke yake.
Postmortem, inquests na ofisi yenye kuwajibika ya Coroner haviepukiki kwenye dunia yetu ya leo ya kutangulizana kimaskhara sikhara mbinguni bila kupenda.
huyo ni mkumambavu achana naeTuna ndugu zetu wengi wamekufa hata Kwa kujinyonga kwa vyupi mikononi mwa polisi.
Hai ndiyo tunaotaka kuanza nao bila kuachwa jiwe juu ya jingine.
Kulikoni makasiriko yote hayo?
Acha upumbavu, ukijua then itasaidia nini katika uzi huu?,nilichochangia ni kuwa since Professor Shaba afe,nchi haijawahi kuwa na pathologists ndio maana sasa hawa medical assistants,GP eti ndio wanafanya hii kazi wakati sio wataalamu wa kazi hiyo,pls soma comment ili uelewe lengo la mchangiajiKwani Prof. Shaba alikufa lini?
Mkuu angekua baba ako au mama ako mzaziNendeni mkazike huo mzoga mnatusumbua tuu Humu na thread za ajabu ajabu
Wewe huyo Prof. Shaba ulishiriki mazishi yake au unaandika tu habari usozijua?Acha upumbavu, ukijua then itasaidia nini katika uzi huu?,nilichochangia ni kuwa since Professor Shaba afe,nchi haijawahi kuwa na pathologists ndio maana sasa hawa medical assistants,GP eti ndio wanafanya hii kazi wakati sio wataalamu wa kazi hiyo,pls soma comment ili uelewe lengo la mchangiaji
Mkuu angekua baba ako au mama ako mzazi
Ukaambiwa njoo uchukue mizoga yako
Yaan baba na mama yako wakaitwa mizoga utafurahia eeeee............
Lini umeenda kupima uwezo wako wa kufikiri mkuu??? Majibu yake yanakuridhisha? Hawakuchakachua?Utakuwa unaumwa ww
AsanteTumlaumu Mzee makamba kwa kumsahau membe kwenye orodha ya watu wema Tanzania ndio maana amekufa
Watu wema tanzania hawafi orodha ilitajwa dodoma
Una makamasi kwenye UbongoMkuu angekua baba ako au mama ako mzazi
Ukaambiwa njoo uchukue mizoga yako
Yaan baba na mama yako wakaitwa mizoga utafurahia eeeee............
Mkuu tatizo lipo wapi kuhusiana na professor huyu?,kwani hakua pathologists?,nilipokua pale Monduli chuo cha kijeshi, kuna very interesting story kuhusu professor huyu kwa kutumia fuvu la kichwa wa cadet aliyekufa mafunzoni na hakujulikana, ila utaalamu wake aliweza kujua mwenye lile fuvu, debate hapa sio professor ni watu kuzikwa bila ya postmortem!!Wewe huyo Prof. Shaba ulishiriki mazishi yake au unaandika tu habari usozijua?
Sjaelewa unachokinena mkuuLini umeenda kupima uwezo wako wa kufikiri mkuu??? Majibu yake yanakuridhisha? Hawakuchakachua?
AsanteUna makamasi kwenye Ubongo