- Thread starter
- #41
Hiki kifo kimetokea wakati mbaya sana, ndio maana kimeacha maswali mengi vichwani mwa watu.
Inawezekana kweli sababu ikawa ni hiyo tuliyoambiwa na daktari wake, au pia ikawepo nyingine zaidi ya hiyo, lakini hao wenye jukumu la kufanya huo uchunguzi watafanya hivyo?
Kawaida yao wamezoea kujikausha, hawajihangaishi miaka yote na malalamiko ya aina hii, hasa tukikumbuka vizuri sintofahamu ya aina hii ilianzia kwenye kifo cha Nyerere, ikaja kwa Magufuli, leo kwa Membe, who will be next...
Kwingine kote kifo hospitali ni kimatibabu lakini safari ya mtu haikamiliki bila postmortem na inquest chini ya Coroner. Duniani na hasa kule makwetu Tanzania wauaji ni wengi mno.