Hiki kifo kimetokea wakati mbaya sana, ndio maana kimeacha maswali mengi vichwani mwa watu.
Inawezekana kweli sababu ikawa ni hiyo tuliyoambiwa na daktari wake, au pia ikawepo nyingine zaidi ya hiyo, lakini hao wenye jukumu la kufanya huo uchunguzi watafanya hivyo?
Kawaida yao wamezoea kujikausha, hawajihangaishi miaka yote na malalamiko ya aina hii, hasa tukikumbuka vizuri sintofahamu ya aina hii ilianzia kwenye kifo cha Nyerere, ikaja kwa Magufuli, leo kwa Membe, who will be next...
Vifo vya Edward Moringe Sokoine, Horace Kolimba, Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, John Magufuli, na Membe ni vifo vinohitaji uchunguzi wa "Coroner".Hiki kifo kimetokea wakati mbaya sana, ndio maana kimeacha maswali mengi vichwani mwa watu.
Inawezekana kweli sababu ikawa ni hiyo tuliyoambiwa na daktari wake, au pia ikawepo nyingine zaidi ya hiyo, lakini hao wenye jukumu la kufanya huo uchunguzi watafanya hivyo?
Kawaida yao wamezoea kujikausha, hawajihangaishi miaka yote na malalamiko ya aina hii, hasa tukikumbuka vizuri sintofahamu ya aina hii ilianzia kwenye kifo cha Nyerere, ikaja kwa Magufuli, leo kwa Membe, who will be next...