Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kuna neno Tanzania na Kuna neno Zanzibar, haya maneno mawili hayana shida, yako vizuri tu na yanaeleweka ila unapojaribu kuyaweka kwenye sahani moja ndipo utaona utata wake.
Utata usiomithirika.
•Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu ndipo utagundua kuwa haya maneno yana utata sana. Kuna watu wanapeleka wabunge ng'ambo ya bahari kulinda maslahi yao huku wengine hawawezi kuvusha hata wajumbe wa nyumba 10 ili wakalinde maslahi yao upande ng'ambo ya bahari.
•Ukiwa mfanyabiashara wa kuvusha bidhaa baina ya Zanzibar na Dar es salaam (Tanzania) ndio utaona haya maneno hayaelezeki na yawezekana hata viongozi wenyewe hawawezi kutofautisha kati ya Tanzania na Zanzibar.
Je, Zanzibar ni nini?
Ni muungano wa Mikoa ya kisiwani yenye mamlaka na Sheria zake?
Kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, je, inaruhusiwa mkoa mmoja kuwa na mamlaka yake ya kodi?
Utata usiomithirika.
•Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu ndipo utagundua kuwa haya maneno yana utata sana. Kuna watu wanapeleka wabunge ng'ambo ya bahari kulinda maslahi yao huku wengine hawawezi kuvusha hata wajumbe wa nyumba 10 ili wakalinde maslahi yao upande ng'ambo ya bahari.
•Ukiwa mfanyabiashara wa kuvusha bidhaa baina ya Zanzibar na Dar es salaam (Tanzania) ndio utaona haya maneno hayaelezeki na yawezekana hata viongozi wenyewe hawawezi kutofautisha kati ya Tanzania na Zanzibar.
Je, Zanzibar ni nini?
Ni muungano wa Mikoa ya kisiwani yenye mamlaka na Sheria zake?
Kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, je, inaruhusiwa mkoa mmoja kuwa na mamlaka yake ya kodi?