Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

Patrick na Salum waliteuliwa na kamati ya utendaji tokana na mapendekezo ya kamati ya ufundi,ndio utaratibu.Mwalimu Nooij hajalalamika kuhusu utendaji wao,hivyo naamini wako ok.
ulikwa na ushauri mbadala Malafyale?

Ok kwanza tupongezane Hongera sana kwa matokeo ya jana inatia moyo sana na juhudi zenu zinaonekana nikirudi kwenye swali la msingi nilitaka kujua vigezo vilivyotumika sababu naamini lazima viwepo nasema hivi ukizingatia Salum Mayanga hakuwa na timu ya kufundisha kwa muda mrefu na Patrick Mwangata hana record nzuri ya kuibua makipa bora na suala la mwalimu kutukujali uwepo wao mimi nadhani icho sio kigezo cha kudhani wapo OK ukizingatia walimu wengi wanaokuja kufundisha Afrika kuwa na msaidizi imara sio priority kwao lakini kuwa na msaidizi mzawa imara na mwenye vigezo ni jambo la muhimu kwetu kama nchi ili awe kwenye mipango hata ya badae kuwa kocha wa National Timu hivyo si tu awe mtu wa ndio mzee awe pia ni mtu mwenye ujuzi na uzoefu kama Charles Boniphas, Mwambusi, Kibadeni, Ali bushiri, Hemed Morroco, Adolf Richard .
 
Nashukuru sana Rais wangu wa TFF, Lakini nakupongeza kwa kuwa na timu muda
wote Zimbwabwe. Na Mkuu Msumbiji naona kama ni wagumu kuliko Zimbabwe inabidi
tujipange mapema pia.

Mechi za majaribio zinajenga sana timu jitahidi kuongea na wadhani wa timu ya Taifa (Kilimanjaro)
tukacheze mechi nje ya Tanzania Mkuu. Waeleza umuhimu wa mechi ya Msumbiji watakuelewa tuu.

La mwisho, mechi ya Msumbiji sisi Tanzania tutaanzia mechi nyumbani na kumalizia Msumbiji au
tutaanzia Msumbiji na kumalizia hapa nyumbani??? Nimeuliza hivyo ili kama Shirikisho muweze kuchukua
tahadhari mapema, yasije tokea yale ya Zimbabwe kufungia nje ya Hoteli.

Mandla.

HAPO KWENYE RED. nafikiri South Africa, Zambia, au Ethiopia watakuwa mzani mzuri kujiandaa na mechi ya kwanza vs Msumbuji. Pia gharama za kwenda Zambia si kubwa sana au vipi jamani?🙂
 
tunataka jezi ambazo ambazo zitakuwa na mchanganyiko mzuri wa rangi za bendela ya taifa cc jamali malinzi
Zoezi la kuchagua jezi mpya ya Taifa linakuja karibuni kupitia vyombo vya habari,tunaomba subira kidogo!
 
si lazima rangi zote ziwepo jamani; haitavutia hata kidogo.
mfano: italia wanavaa bluu; hata wanaita the azzuri; lakini hawana blue kwenye bendera.
Zoezi la kuchagua jezi mpya ya Taifa linakuja karibuni kupitia vyombo vya habari,tunaomba subira kidogo!
 
si lazima rangi zote ziwepo jamani; haitavutia hata kidogo.
mfano: italia wanavaa bluu; hata wanaita the azzuri; lakini hawana blue kwenye bendera.

Ni kweli sio lazima rangi za bendera ya taifa ziwepo kwenye jezi rangi zetu hasa hiyo ya blue inafanya jezi kuwa dull. jezi inaweza kwa mfano Kuwa rangi yeyote lakini ikawa na baka la rangi ya taifa. kwa sababu ya usimba na uyanga nngependekeza jezi yetu ibebe rangi za timu zote. Mfano njano na nyekundu.

By the way dk malinzi kwa nini mmeamua kutafuta jezi mpya? Mnahisi ndio zinazofanya timu isifanye vizuri?
 
Ni kweli sio lazima rangi za bendera ya taifa ziwepo kwenye jezi rangi zetu hasa hiyo ya blue inafanya jezi kuwa dull. jezi inaweza kwa mfano Kuwa rangi yeyote lakini ikawa na baka la rangi ya taifa. kwa sababu ya usimba na uyanga nngependekeza jezi yetu ibebe rangi za timu zote. Mfano njano na nyekundu.

By the way dk malinzi kwa nini mmeamua kutafuta jezi mpya? Mnahisi ndio zinazofanya timu isifanye vizuri?


dull kivipi tena?
blue rangi nzuri sana tu.
 
Nashukuru sana Rais wangu wa TFF, Lakini nakupongeza kwa kuwa na timu muda
wote Zimbwabwe. Na Mkuu Msumbiji naona kama ni wagumu kuliko Zimbabwe inabidi
tujipange mapema pia.

Mechi za majaribio zinajenga sana timu jitahidi kuongea na wadhani wa timu ya Taifa (Kilimanjaro)
tukacheze mechi nje ya Tanzania Mkuu. Waeleza umuhimu wa mechi ya Msumbiji watakuelewa tuu.

La mwisho, mechi ya Msumbiji sisi Tanzania tutaanzia mechi nyumbani na kumalizia Msumbiji au
tutaanzia Msumbiji na kumalizia hapa nyumbani??? Nimeuliza hivyo ili kama Shirikisho muweze kuchukua
tahadhari mapema, yasije tokea yale ya Zimbabwe kufungia nje ya Hoteli.

Mandla.

mechi yetu na Msumbiji tunaanzia nyumbani mid July
 
Ni kweli sio lazima rangi za bendera ya taifa ziwepo kwenye jezi rangi zetu hasa hiyo ya blue inafanya jezi kuwa dull. jezi inaweza kwa mfano Kuwa rangi yeyote lakini ikawa na baka la rangi ya taifa. kwa sababu ya usimba na uyanga nngependekeza jezi yetu ibebe rangi za timu zote. Mfano njano na nyekundu.

By the way dk malinzi kwa nini mmeamua kutafuta jezi mpya? Mnahisi ndio zinazofanya timu isifanye vizuri?

tunahitaji kuwa na jezi inayovutia watanzania wengi
 

HAPO KWENYE RED. nafikiri South Africa, Zambia, au Ethiopia watakuwa mzani mzuri kujiandaa na mechi ya kwanza vs Msumbuji. Pia gharama za kwenda Zambia si kubwa sana au vipi jamani?🙂

ahsante kwa ushauri
 
Ok kwanza tupongezane Hongera sana kwa matokeo ya jana inatia moyo sana na juhudi zenu zinaonekana nikirudi kwenye swali la msingi nilitaka kujua vigezo vilivyotumika sababu naamini lazima viwepo nasema hivi ukizingatia Salum Mayanga hakuwa na timu ya kufundisha kwa muda mrefu na Patrick Mwangata hana record nzuri ya kuibua makipa bora na suala la mwalimu kutukujali uwepo wao mimi nadhani icho sio kigezo cha kudhani wapo OK ukizingatia walimu wengi wanaokuja kufundisha Afrika kuwa na msaidizi imara sio priority kwao lakini kuwa na msaidizi mzawa imara na mwenye vigezo ni jambo la muhimu kwetu kama nchi ili awe kwenye mipango hata ya badae kuwa kocha wa National Timu hivyo si tu awe mtu wa ndio mzee awe pia ni mtu mwenye ujuzi na uzoefu kama Charles Boniphas, Mwambusi, Kibadeni, Ali bushiri, Hemed Morroco, Adolf Richard .

Si vizuri nianze kuchambua walimu wetu wa mpira hapa,nashukuru hawa tulionao wana chemistry nzuri na kocha
 
Rangi katika jezi za timu ya taifa-Taifa Stars lazima ziwe na rangi zote nne za bendera ya taifa.Mnasita nini kuieweka njano na kijani-badilisheni basi na bendera ya taifa....
 
Rangi katika jezi za timu ya taifa-Taifa Stars lazima ziwe na rangi zote nne za bendera ya taifa.Mnasita nini kuieweka njano na kijani-badilisheni basi na bendera ya taifa....

Kwa mfano kijani na Blue ingenoga sana halfu bukta zikawa nyeusi. Mfano mikono inakuwa kijani halfu mbele inakuwa na mchirizi ya bendera ya taifa upande wa mbele
 
Back
Top Bottom