Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lesotho 2-1 Liberia
Liberia wakiwa nyumbani waliwafunga lesotho 1,sasa hapo kuna mda wa ziada au inakwaje?
lol! goli la liberia limefutwa
Baada ya hapo tunacheza na nani?
Baada ya hapo tunacheza na nani?
Du, wabongo bwana! Mnatoa upadates za Star mnashindwa hata kusema magoli kafunga nani? Au hawaoneshi nani mfungaji au wazimbabwe wamejifunga wenyewe?
FIFA ranking: Zimbabwe 98
Tanzania 122, last updated 08 May 2014. Next release 06 Jun 2014. Lazima tupae,vijana wapate maulaji Ulaya.
Msumbiji
Jamal Malinzi amekuwa Rais, msemaji wa TFF, Katibu mkuu, nadhani soon atakuwa muhasibu, gate man na PS wake mwenyewe Rais.
Hawa msumbiji wako vizuri inabid taifa stars ijiandae vema
Stars oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
People'ssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss!