Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Poxa! Nilidhani tumetoka na ushindi, kumbe sare bhana!! Yakawaida hayo.Stars pambaneni. Mwaka wetu huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poxa! Nilidhani tumetoka na ushindi, kumbe sare bhana!! Yakawaida hayo.Stars pambaneni. Mwaka wetu huu
Msumbiji wachumba tu! Mimi hawa Zimbabwe ndo nilikua nawahofia zaidi
Hongera taifa stars, kazi ndo kwanza inaanza
subiri magazeti na tv za bongo mpaka watajaa viburi na mechi inayofuata wanajisahau nakufungw kama 10,taifa star sina imani nao kabisaHaya mahongera mnawapa hawa vijana katika hatua za awali kiasi hiki watabweteka waanze kujion abab kubwa. Inawezekana tumewaotea zim tu, mambo yao hayako vizuri. Ila kazi bado ni kubwa sana. Tuwatoe msumbiji halafu ndio twende makundi yale ya timu nne. Bado sana jamani, waambieni amejitahidi lakini bado!
Mkuu Vin Diesel jamaa anajitahidi sana kutoa updates humu, rais yeye, yan kila kitu ajitahidi awape watu wengine kazi kama hii ya mitandaoni sana hapa JF si wana ofisa wa habari TFF sijui kazi yake nini..
Jamal Malinzi amekuwa Rais, msemaji wa TFF, Katibu mkuu, nadhani soon atakuwa muhasibu, gate man na PS wake mwenyewe Rais.
Unakosea sana mkuu.
Huyu ni member wa JF na member youote anaruhusiwa kupost post zozote. N
Patrick na Salum waliteuliwa na kamati ya utendaji tokana na mapendekezo ya kamati ya ufundi,ndio utaratibu.Mwalimu Nooij hajalalamika kuhusu utendaji wao,hivyo naamini wako ok.Mheshimiwa Rais naona sasa hivi unapatikana huku vizuri nakupongeza sana kwa hilo mimi swali langu ni lile lile ni vigezo gani vilitumika kuwapata makocha wasaidizi wa Taifa Stars yani SALUM MAYANGA na PATRICK MWANGATA?
Msumbiji "the mambas"Baada ya hapo tunacheza na nani?
Vin Diesel wanaolalamika ni wenzangu kina nani?nina imani Jamal Malinzi atasoma na kufanyia kazi hili, wenzake wanalalamika sana.
Mkuu VAN disel hii ndiyo pole unayonipa kwa safari ya Zimbabwe?Jamal Malinzi amekuwa Rais, msemaji wa TFF, Katibu mkuu, nadhani soon atakuwa muhasibu, gate man na PS wake mwenyewe Rais.
Pole sana ManDla jr na hongera piaNna presha mpaka basi...
ManDla jr haki za kurusha matangazo ya TV Afcon sio za nchi zinazocheza,nMkuu kwa Africa hiyo kitu ni ngumu sana..mwaka 2012 washabiki wa timu ya taifa ya south waliandamana juu ya ishu kama hiyo.
Inabidi yawepo makubaliano ya pande zote mbili, na sio uamuzi wa nchi moja.
Wamelipa hela nyingi sana,tuwapongeze kwa kuwaletea watanzania burudani hii live.mbona Azam wameweza?
Pole sana ManDla jr na hongera pia
Msumbiji "the mambas"
Pole sana ManDla jr na hongera pia