Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

NI KWELI WALIMTOA KATIKA GAZETI LAKINI HAWAKUSEMA SABABU HIVYO KAMA YALUKUWA NI MAJUNGU HAKUNA ANAEJUA .MIMI NACHOFAHAMU NI KUWA WALIMUOMBA MSAMAHA NA KUNA WATU WALICHUKULIWA HATUA KWA KUFANYA JAMBO LILE.

GT aliyasema haya akaakmbiwa udaku sasa ...diMtoto ana confirm kuwa huo ni ukweli. Haya tungojee confirmation ya mengine.

Ila ...diMtoto, hivi ukitolewa kwenye magazeti kuwa uko wanted au kama umebambikiwa soo kwenye gazeti, si huwa inabidi indikwe tena kwenye gazeti hilo hilo, tena ukurasa wa mbele kuwa siyo kweli hayo yaliyosemwa. Sasa kwa huyu jamaa mbona inaonekana aliombwa msamaha kisiri siri? Inawezekana kweli?
 
Nungwi,

Unajua ndugu yangu inabidi ujenge uwezo wa kusoma katikati ya mistari. Niliposema ya Mungy ni umbeya bado nasimama kutetea hayo Dr Who au GT vyovyote ajiitavyo hakumtendea vyema kusema mambo personal ya Suzzane. Kuzaa mtoto na mdogo wa nani vile havituhusu hapa JF. Umewapima DNA? udaku tu period!

Lunyungu,

Umekosea maana nina uhakika unafikiri mimi ni flani wakati sio kweli, absolutely NO! kule Tanzanet watu wengi wamekuwa wakisema FD ni fulani na mimi nimekuwa nikichekelea kwa pembeni.

Hapo tena mnateleza maana mnafikiria ni Membe. Hawa ni marafiki lakini hawana kampuni inayowania tenda za IDs.

Tumkome nyani Giladi ila na ukweli tuweke wazi.

GT ameambiwa atoe jina la kampuni wapi? tunasubiri jina la kampuni kama hamna jina hacheni udaku hatupo kwenye kitchen party hapa tuna ongea facts tu.

No investigation no right to write PUMBA!
 
Nashukuru kwamba hoja yangu imewafikia wengi na ndio maana wako waliojaribu kui-personalize hii issue na kuitoa hii debate kuwa ya issues na badala yake kuwa ya personalities. Ukweli umebaki pale pale kwamba mtu huyu aliyetuhumu hakuzingatia yale matakwa ya "he who alleges must prove".

Yule muungwana aliyetuhumu akidai kwamba anaifanyia kazi hii issue kwa kuleta ushahidi ameshangaza maana nilidhani alitakiwa afanye kwanza research kabla ya kuanzisha mjadala. Ilivyo sasa hivi mtu hahitaji akili nyingi kujua kwamba haya yalikuwa majungu ambayo ni rahisi sana kujua yanalenga nini. Kwanza hata ukiangalia huu mjadala utagundua kwamba mtu anayejadiliwa hapa ni mmoja tu pamoja na kwamba kichwa cha habari kinataja watu wawili. Ghafla huyu wa pili hajadiliwi wala facts zozote (hata zile za uongo kama za zile zitolwazo dhidi ya membe) hazitolewi dhidi yake.

Mimi bado narejea kwamba aliyeanzisha mjadala anajua kwamba alizua hili nalengo lilikuwa ni kummaliza membe si kwa sababu ya dhambi za kiuadilifu bali ni kwa sababu ya dhambi ya kudhaniwa atagombea urais! Na ndiyo maana sasa issue nyingine ya mradi wa magadi au sijui ni mradi gani ule wa manyara uliotajwa hapo juu imeibuliwa kujaribu kuweka uzito na kutoa credence kwa concoction hiyo. Mimi nasisitiza kwamba JF ni nyumbani kwa watu wenye kutafiti na kuja na hoja zenye nguvu na siyo chombo cha mtu kuonyesha chuki yake kwa mtu hata kama tunachukia sura yake. Hapa tunajadili hoja.

Lakini cha kushangaza tena ni kwamba membe hakuuanzisha mradi huu. Wazo la ID lilianza toka serikali ya awamu ya kwanza na utekelezaji wake ukaanza awamu ya pili kwa kuteuliwa kwa consultant ambaye leo hii anaitwa tapeli na wajuaji. Membe alikuwa naibu waziri kwa miezi kumi. Kama uhusika wake unatokana na wadhifa huo, kwa nini aliyekuwa waziri wake hahukumiwi?

Mwisho najiuliza hii audit inayofanyika juu ya uhalisi wa majina likiwemo langu imelenga kwa members wote au ni mimi Mbopo peke yake. Hivi haw akina Dua, Kada Mpinzani, Samvula Chole kutaja mifano michache tu ni majina halisi? Je wameshahojiwa uhalisi wao? Mimi nadhani JF isiruhusu dhambi hii ya ubaguzi inyemelee. Nihukumiwe kwa hoja zangu na siyo uhalisi wa jina langu.
 
Mimi binafsi sinahaja ya kujua Mbopo ni nani. Kwa upande mwingine ingekuwa bora nisimjue. Nimjue kwa hoja zake tu na si kwa wasifa mwingine. Ninachotaka kujua ni nini hasa sifa za Gotham International?

Ndugu Mbopo amesema wako competent, je anaweza kutufungua macho kaw hili? Richmond bado inauma.
 
Nungwi,

Unajua ndugu yangu inabidi ujenge uwezo wa kusoma katikati ya mistari. Niliposema ya Mungy ni umbeya bado nasimama kutetea hayo Dr Who au GT vyovyote ajiitavyo hakumtendea vyema kusema mambo personal ya Suzzane. Kuzaa mtoto na mdogo wa nani vile havituhusu hapa JF. Umewapima DNA? udaku tu period!

Lunyungu,

Umekosea maana nina uhakika unafikiri mimi ni flani wakati sio kweli, absolutely NO! kule Tanzanet watu wengi wamekuwa wakisema FD ni fulani na mimi nimekuwa nikichekelea kwa pembeni.

****** ni Ramadhan Mwikalo. Hapo tena mnateleza maana mnafikiria ni Membe. Hawa ni marafiki lakini hawana kampuni inayowania tenda za IDs.

Tumkome nyani Giladi ila na ukweli tuweke wazi.

GT ameambiwa atoe jina la kampuni wapi? tunasubiri jina la kampuni kama hamna jina hacheni udaku hatupo kwenye kitchen party hapa tuna ongea facts tu.

No investigation no right to write PUMBA!

Jamani wana JF hii tabia ya kutajana nani ni nani kwanini tunaiendekeza??? Wanaotaka kujulikana si wametaja majina yao halisi kina Zitto, Mnyika etc. Sasa what is this?

Admin please tafuta njia ya kukomesha hii tabia watu wataanza kuogopa kuchangia kwa kuhofia ID zao kuwekwa wazi.

Admin please do something about this!
 
Mama lao edit post yako.

Sorry wote.
SIHAMINI KAMA NI WAKATI MUAFAKA KUHOJI KAMA KAKA YANGU JACK GOTHAM NDOMBA KAMPUNI YAKE ILIPATA TENDA YA CONSULTANT KIHALALI AU LA.CHA MSINGI HAPA NI KUANGALIA KAMA TENDA ITAPITA KWA NJIA ZINAZOTAKIWA AU LA NA NAWAOMBA WANA JF WENYE UWEZO WAOMBE BADALA YA KULALAMIKA HUMU TU.
 
uMEJIKUTA UMEKUWA MSUKULE WA MAFISADI ,NAKUSHAURI USIKUBALI KUENDELEA KUWA HIVYO ,MANYAUNYAU NI KAKA YANGU NAWEZA KUKUPATIA JINSI YA KUMPATA NA AKAKUFUNGUA UNATAKA KUPATA HIYO DAWA?
 
Mbopo,

Shukran kwa kutoa ufafanuzi murua.

Hilo la wewe kuambiwa Membe au sijui msaidizi wa Membe ni tabia za watu wachache sana hapa JF ambao hoja zao zikikosa mashiko haraka wanakimbilia huko na wakati mwingine huanza kuvurumusha matusi. Ushauri wangu kwako wewe weka hoja tu hapa JF kinachoshinda ni hoja the likes of Nungwi na GT hawakosekani wachukukie kama vikundi vya "sanaa" kabla ya mkutano kuanza.
 
Nungwi na GT wameingia mitini kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kwi

Dawa ya muongo ni fupi sana.

Mkileta majungu tunawashambulia kwa hoja kwi kwiii
 
FD wewe na Mbopo wako ndio mtakao kimbia naona unataka kumponza MBOPO.

MBOPO mheshimiwa Lowassa amesemwa sana humu kwenye JF kuliko wewe.najua FD na Mbopo wote mmetoka chuo kisicho na hadhi Tz.

FD ulikaenda tena Canada mkawa na Mbopo mkamfanyia fitina Kitine.

Mbopo jiandae kujibu hoja usije kukimbia au kumpa kazi Assah Mwambene kuja hapa badala ya kufanya kazi ya wizara.

Mbopo hongera kwa kuchaguliwa mkuu wetu AU.
 
Nashukuru kwamba hoja yangu imewafikia wengi na ndio maana wako waliojaribu kui-personalize hii issue na kuitoa hii debate kuwa ya issues na badala yake kuwa ya personalities. Ukweli umebaki pale pale kwamba mtu huyu aliyetuhumu hakuzingatia yale matakwa ya "he who alleges must prove".

Yule muungwana aliyetuhumu akidai kwamba anaifanyia kazi hii issue kwa kuleta ushahidi ameshangaza maana nilidhani alitakiwa afanye kwanza research kabla ya kuanzisha mjadala. Ilivyo sasa hivi mtu hahitaji akili nyingi kujua kwamba haya yalikuwa majungu ambayo ni rahisi sana kujua yanalenga nini. Kwanza hata ukiangalia huu mjadala utagundua kwamba mtu anayejadiliwa hapa ni mmoja tu pamoja na kwamba kichwa cha habari kinataja watu wawili. Ghafla huyu wa pili hajadiliwi wala facts zozote (hata zile za uongo kama za zile zitolwazo dhidi ya membe) hazitolewi dhidi yake.

Mimi bado narejea kwamba aliyeanzisha mjadala anajua kwamba alizua hili nalengo lilikuwa ni kummaliza membe si kwa sababu ya dhambi za kiuadilifu bali ni kwa sababu ya dhambi ya kudhaniwa atagombea urais! Na ndiyo maana sasa issue nyingine ya mradi wa magadi au sijui ni mradi gani ule wa manyara uliotajwa hapo juu imeibuliwa kujaribu kuweka uzito na kutoa credence kwa concoction hiyo. Mimi nasisitiza kwamba JF ni nyumbani kwa watu wenye kutafiti na kuja na hoja zenye nguvu na siyo chombo cha mtu kuonyesha chuki yake kwa mtu hata kama tunachukia sura yake. Hapa tunajadili hoja.

Lakini cha kushangaza tena ni kwamba membe hakuuanzisha mradi huu. Wazo la ID lilianza toka serikali ya awamu ya kwanza na utekelezaji wake ukaanza awamu ya pili kwa kuteuliwa kwa consultant ambaye leo hii anaitwa tapeli na wajuaji. Membe alikuwa naibu waziri kwa miezi kumi. Kama uhusika wake unatokana na wadhifa huo, kwa nini aliyekuwa waziri wake hahukumiwi?

Mwisho najiuliza hii audit inayofanyika juu ya uhalisi wa majina likiwemo langu imelenga kwa members wote au ni mimi Mbopo peke yake. Hivi haw akina Dua, Kada Mpinzani, Samvula Chole kutaja mifano michache tu ni majina halisi? Je wameshahojiwa uhalisi wao? Mimi nadhani JF isiruhusu dhambi hii ya ubaguzi inyemelee. Nihukumiwe kwa hoja zangu na siyo uhalisi wa jina langu.

Mbopo karibu sana mheshimiwa. usijidanganye nchi yetu inaweza kuongozwa na MBOPO.

unachokifanya sasa ni kuwadanganya wananchi kuwa una uwezo wa kuwa Rais wa nchi yetu nzuri. kuna sehemu ulisema marais waliopita Ben na JK walikuwa mawaziri wa nchi za nje sasa na wewe unatajwa kwa sababu hiyo huku ukijitaja mwenyewe.

MBOPO Ben Mkapa hakutoka mambo ya nje ndio akawa rais alipita sehemu nyingi sana na kama sikosei mara ya mwisho alitokea Wizara ya Habari, pia Mbopo elewa kuwa Mkapa hakuwa na dhamira ya urais ni mtu aliyebebwa na Mwalimu Nyerere.

Mkapa ni mtu ambaye kauokota urais hakutumia gharama yeyote na alipokuwa Foreign hakuwa na wazo hilo Mwalimu alimtaka DR.Salim kuwa rais.

JK alikuwa na dhamira ya urais kabla ya kuingia wizara ya Mambo ya Nje na kama Mwalimu Nyerere asingemfanyia roho mbaya angekuwa rais mwaka 1995.
Hivyo utaona kuwa JK alishajipanga kuwa Rais kabla ya kuingia Foreign.
Mbopo usilete ujanja huo kujipigia chapuo kuwa kila waziri wa mambo ya nje lazima awe rais, kama hivyo awe Migiro tena huu ni wakati wa Gender upo MBOPO?

Mbopo urais wewe huwezi kupata kwani wewe ni mkatoliki na tumekuwa na marais wakatoliki wawili-Mwalimu na Mkapa jee mnataka kila rais mkristu awe katoliki?
kwanini tusiwe na rais Msabato, Anglikana au Lutheran? na madhehebu mengine?

Mbopo unajifanya kuvaa msalaba wa cheni ya Dhahabu kama Mkapa halafu unavaa miwani kama JK yote hiyo kujifanya nawe ni Rais.

Mbopo unatoka Lindi kusini ya Tanzania na Mkapa katoka jirani yako kwanini tusipate rais toka Musoma ili kumuenzi baba wa Taifa? au hata Mbeya au Dodoma? hupati Mbopo.

Mbopo unasema unachafuliwa bila sababu jee tukutajie watu uliowachafua? jee uliwachafua kwa vile wanataka kugombea urais?

kwanini unamnyima raha Magufuri? sio wewe ulikuwa ukiwatumia kina Salva Kumchafua wakitumia Rai na Mtanzania?

Mbopo huwa unajifanya mtu wa karibu wa JK unawatuma waandishi wa habari waandike kama wewe ndie mtu pekee wa karibu wa JK,kwanza unajitukanisha Mwanaume Mzima kujifanya uko karibu sana na Mwanaume Mwenzio.
mama Salma Kikwete atakuwa na nafasi gani kama wewe ni mtu wa karibu wa JK?
nilifuatilia thread ya Asha Rose Migiro ambapo Mtalii alikuweka wazi na akaweka kopi ya gazeti la Tanzania Daima ambapo ulikuwa unajitabiria uwaziri wa Mambo ya nje.

Nilishangaa hivi karibuni kukuona MBOPO ukiongozana na Mhariri wa Tanzania Daima bwana Balile mkienda Marekani hii inaonesha kuwa yaliokuwa yakiandikwa Tanzania Daima wewe ndiye ulikuwa ukimuelekeza.

Mbopo ni wewe uliyekuja hapa kubisha ndio maana nguvu ikawekwa kwako. unalalamika nini eti kuwa mbona Lowassa hasemwi?ukishikwa wizi kufa kivyako kama anavyokufa Balali, jee wewe katika utetezi wako mbona hukumtetea Lowassa ambaye ni waziri mkuu wako au nae unamuona hana kitu wewe ndio uko karibu na JK?

wewe umeingia kwenye mtandao umemkuta EL. leo unajifanya mjanja na kumuona EL ni mjinga?acha kuwatuma vibaraka wako ambao wanatishia watu kuwa wewe ndio mtandao na watendaji wengine hawana maana.watu wako wameripotiwa mara nyingi tu kwa EL.

Mbopo tunaomba jibu ile nyumba uliompa yule mdada ambaye ni mbunge au nayo ni fitina kwa vile wewe utakuwa rais?
MBOPO NJOO hakuna majungu ukishindwa aje Assah Mwambene.

MASATU.
maneno yako utafikiri ni Mswahili wa uswahilini jina lako ni la watu wa maana sana katika nchi hii usiandike utumbo.
Professor Warioba ulikata awe VC wa maisha? amefanya miujiza ya kukiinua chuo hadi kuwa University mahiri Afrika Mashariki mwacha akapumzike na subira miaka miwili utamsikia yuko wapi? hao ndio watu tunaweza kuwapa urais kwani wamefanya makubwa sio MBOPO wako mtu wa majungu tu.

usishangae kusikia Professor Warioba kapewa nishani ya Nobel. huyo Mbopo huko Usalama wa Taifa hakuwahi kuwa mkurugenzi anajipakazia tu.
 
Hatuhitaji ID Cards Tanzania.

Tunahitaji Best system ya Birth and Death Registration.

Tunahitaji Unique ID number kama Social Security Number za hapa USA.

Tunahitaji Best system ya kusimamia utoaji wa passport.

ID za aina yeyote ile ni kuleta Upolisi na unusa nusa kwa raia Tanzania na ubadhirifu wa fedha tu.
 
Mbopo karibu sana mheshimiwa. usijidanganye nchi yetu inaweza kuongozwa na MBOPO.

unachokifanya sasa ni kuwadanganya wananchi kuwa una uwezo wa kuwa Rais wa nchi yetu nzuri. kuna sehemu ulisema marais waliopita Ben na JK walikuwa mawaziri wa nchi za nje sasa na wewe unatajwa kwa sababu hiyo huku ukijitaja mwenyewe.

MBOPO Ben Mkapa hakutoka mambo ya nje ndio akawa rais alipita sehemu nyingi sana na kama sikosei mara ya mwisho alitokea Wizara ya Habari, pia Mbopo elewa kuwa Mkapa hakuwa na dhamira ya urais ni mtu aliyebebwa na Mwalimu Nyerere.

Mkapa ni mtu ambaye kauokota urais hakutumia gharama yeyote na alipokuwa Foreign hakuwa na wazo hilo Mwalimu alimtaka DR.Salim kuwa rais.

JK alikuwa na dhamira ya urais kabla ya kuingia wizara ya Mambo ya Nje na kama Mwalimu Nyerere asingemfanyia roho mbaya angekuwa rais mwaka 1995.
Hivyo utaona kuwa JK alishajipanga kuwa Rais kabla ya kuingia Foreign.
Mbopo usilete ujanja huo kujipigia chapuo kuwa kila waziri wa mambo ya nje lazima awe rais, kama hivyo awe Migiro tena huu ni wakati wa Gender upo MBOPO?

Mbopo urais wewe huwezi kupata kwani wewe ni mkatoliki na tumekuwa na marais wakatoliki wawili-Mwalimu na Mkapa jee mnataka kila rais mkristu awe katoliki?
kwanini tusiwe na rais Msabato, Anglikana au Lutheran? na madhehebu mengine?

Mbopo unajifanya kuvaa msalaba wa cheni ya Dhahabu kama Mkapa halafu unavaa miwani kama JK yote hiyo kujifanya nawe ni Rais.

Mbopo unatoka Lindi kusini ya Tanzania na Mkapa katoka jirani yako kwanini tusipate rais toka Musoma ili kumuenzi baba wa Taifa? au hata Mbeya au Dodoma? hupati Mbopo.

Mbopo unasema unachafuliwa bila sababu jee tukutajie watu uliowachafua? jee uliwachafua kwa vile wanataka kugombea urais?

kwanini unamnyima raha Magufuri? sio wewe ulikuwa ukiwatumia kina Salva Kumchafua wakitumia Rai na Mtanzania?

Mbopo huwa unajifanya mtu wa karibu wa JK unawatuma waandishi wa habari waandike kama wewe ndie mtu pekee wa karibu wa JK,kwanza unajitukanisha Mwanaume Mzima kujifanya uko karibu sana na Mwanaume Mwenzio.
mama Salma Kikwete atakuwa na nafasi gani kama wewe ni mtu wa karibu wa JK?
nilifuatilia thread ya Asha Rose Migiro ambapo Mtalii alikuweka wazi na akaweka kopi ya gazeti la Tanzania Daima ambapo ulikuwa unajitabiria uwaziri wa Mambo ya nje.

Nilishangaa hivi karibuni kukuona MBOPO ukiongozana na Mhariri wa Tanzania Daima bwana Balile mkienda Marekani hii inaonesha kuwa yaliokuwa yakiandikwa Tanzania Daima wewe ndiye ulikuwa ukimuelekeza.

Mbopo ni wewe uliyekuja hapa kubisha ndio maana nguvu ikawekwa kwako. unalalamika nini eti kuwa mbona Lowassa hasemwi?ukishikwa wizi kufa kivyako kama anavyokufa Balali, jee wewe katika utetezi wako mbona hukumtetea Lowassa ambaye ni waziri mkuu wako au nae unamuona hana kitu wewe ndio uko karibu na JK?

wewe umeingia kwenye mtandao umemkuta EL. leo unajifanya mjanja na kumuona EL ni mjinga?acha kuwatuma vibaraka wako ambao wanatishia watu kuwa wewe ndio mtandao na watendaji wengine hawana maana.watu wako wameripotiwa mara nyingi tu kwa EL.

Mbopo tunaomba jibu ile nyumba uliompa yule mdada ambaye ni mbunge au nayo ni fitina kwa vile wewe utakuwa rais?
MBOPO NJOO hakuna majungu ukishindwa aje Assah Mwambene.

MASATU.
maneno yako utafikiri ni Mswahili wa uswahilini jina lako ni la watu wa maana sana katika nchi hii usiandike utumbo.
Professor Warioba ulikata awe VC wa maisha? amefanya miujiza ya kukiinua chuo hadi kuwa University mahiri Afrika Mashariki mwacha akapumzike na subira miaka miwili utamsikia yuko wapi? hao ndio watu tunaweza kuwapa urais kwani wamefanya makubwa sio MBOPO wako mtu wa majungu tu.

usishangae kusikia Professor Warioba kapewa nishani ya Nobel. huyo Mbopo huko Usalama wa Taifa hakuwahi kuwa mkurugenzi anajipakazia tu.



Kwa mwendo I thin it is time now for GT to come out nan kumpa Bopo ukweli . Huu ndiyo muda muafaka sasa maana Mbopo amediriki kumwita GT ni muongo ,mzandiki, mchochezi, mtu wa chuki, asiyekuwa na haya , mpuuzi , aisye waza, shetani nk . Hii ndiyo tafsiei ya mbopo ka GT . Sasa GT karibu
 
MASATU.
maneno yako utafikiri ni Mswahili wa uswahilini jina lako ni la watu wa maana sana katika nchi hii usiandike utumbo.
Professor Warioba ulikata awe VC wa maisha? amefanya miujiza ya kukiinua chuo hadi kuwa University mahiri Afrika Mashariki mwacha akapumzike na subira miaka miwili utamsikia yuko wapi? hao ndio watu tunaweza kuwapa urais kwani wamefanya makubwa sio MBOPO wako mtu wa majungu tu.

usishangae kusikia Professor Warioba kapewa nishani ya Nobel. huyo Mbopo huko Usalama wa Taifa hakuwahi kuwa mkurugenzi anajipakazia tu

Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni..... Keep it up with ur verbal diar-rhea!
 
Well, inaelekea kuwa BERNARD MEMBE is not as clean as he wants us to think. Lakini siwezi kusema conclusively kuwa ni clean. Kuna leaks kuwa Membe na Lowasa hawasemi kisa ni mradi wa VITAMBULISHO VYA TAIFA ambavyo wote wanataka kampuni zao zipewe hiyo tenda.

ASSAH .MMWAMBENE . (spin doctor wa MEMBE) najua kwa kutaka kudivert BAD news atakuja kumtetea bosi wake humu au atatuma jeshi lake kujaribu kudivert hii thread. The bottom line is laka huyo A.M anafanya kazi yake vizuri then leo hii Foreign wangekuwa na website.

Mindhali wana JF mshajiposition kupinga UFISADI then hii itakuwa nzuri kwa kuanzia mwaka.


Anyway issue imekaa hivi:
BERNARD MEMBE:
Membe alipotoka Singapore akaingiwa na huu wazimu wa ID cards kama zinazotumika kule Singapore. Mind you, Singapore ni moja kati ya totalitarian states duniani...na uchumi wake umekuwa at the expense of civil liberties. Membe anamtumia mpambe wake anaitwa bwana MWIKALO ambaye yuko USA kama front ya hiyo kampuni ambayo anata ipewe tenda ya ID CARDS

Idea aliyoipata Membe toka kule singapore ilikuwa ni ya Technology ya Smart Car /RFID ambayo wataala wanasema kuwa haitaweza kufanikiwa Tanzania.

Tatizo lingine ni kuwa proposal ya huu mradi wa Membe hautokuwa na masalahi kwa taifa kwani ni expensive sana. Bwana membe aliiendelea na shopping trips zake na kila aendako alikuwa anapata cheaper alternative wakati yeye alitaka expensive ili apate pesa nyingi zaidi.

By the way hao jamaa wa Gotham Consultants wanawakilishwa na the so called "local consultant" (mjukuu wake JKN) ambaye alishawekwa kwenye magazeti na Usalama wa Taifa kuwa ni tapeli ambaye anatumia jina la hiyo ofisi(nadhani nyie watu wa jikoni mnajua who i am talking about here).

LOWASSA


Waziri wetu mkuu mheshimiwa, ndugu yetu Edward Lowassa kupitia mwanae wenyewe wana propose technology ya 2D bar coding ambayo ni affordabale and applicable kwa Tanzania...sasa Membe anawafanyia fitna kwa JK ili kampuni ambayo ana maslahi nayo ipewe

MUNGAI

By the way sasa Mungai nae ana jaaa zake wa TehnoBrain. Hapa iko kazi...naye ashaanza ku lobby ili kampuni yake ipewe

RAIS_NA_MEMBE.jpg


MUNGU IBARIKI TANZANIA NA FIKRA ZA MWALIMU NYERERE

iri naro sierewi rinachanganyaga sijuwigi rikifaransa na rikijerumani. sijuwi ndio rionekaege rimesoma sana au harijuwigi kama riruga rataifa ni "yaani yaani". si uandikege kiswairi tu. rroo.

unaonaga mawivu mienzio ikitengenezaga mipesa. sinawewe ufunguege rishirika ra kutengenezaga hiyo mivitamburisho. au ritafute rishika rimoja rakutokaga uko ufaransa na ujerumani. si miapari unaiandikaga kifaransa na kijemuni. uripe miapari rikungenezeege mivitamburisho harafu rikupe rimugao rako ra asirimia tatu. siutatajirikaga na wewe. badiri ya kurioneaga miwivu hiro rimembe na hiro rikubwa ramawaziri. miafirika hii inamiroho mipaya sana inawezaga kukubandika richura ra tumbo kwa ajiri ya mivitamburisho tuu. si mufa-nyege nanyie wajemeni muwache miwivu.si uriombage rimungu rako rikupe wewe miparaka ya kwanza.
 
iri naro sierewi rinachanganyaga sijuwigi rikifaransa na rikijerumani. sijuwi ndio rionekaege rimesoma sana au harijuwigi kama riruga rataifa ni "yaani yaani". si uandikege kiswairi tu. rroo.

unaonaga mawivu mienzio ikitengenezaga mipesa. sinawewe ufunguege rishirika ra kutengenezaga hiyo mivitamburisho. au ritafute rishika rimoja rakutokaga uko ufaransa na ujerumani. si miapari unaiandikaga kifaransa na kijemuni. uripe miapari rikungenezeege mivitamburisho harafu rikupe rimugao rako ra asirimia tatu. siutatajirikaga na wewe. badiri ya kurioneaga miwivu hiro rimembe na hiro rikubwa ramawaziri. miafirika hii inamiroho mipaya sana inawezaga kukubandika richura ra tumbo kwa ajiri ya mivitamburisho tuu. si mufa-nyege nanyie wajemeni muwache miwivu.si uriombage rimungu rako rikupe wewe miparaka ya kwanza.

Kazi kweli kweli....
 
Ndugu yangu Nungwi nimekusoma na sipati shida sasa kuelwa kwamba kumbe wewe ni wakala wa nani. Kinachonisikitisha tena na kule kuendelea kuishushia hadhi JF. Mimi hoja yangu ni rahisi sana.

Kwamba hakuna chcochote kinachounga mkono hoja ya kugombea vitambulisho na majadala wako hapa umedhihirisha kwamba hapa vita siyo ID ni urais na ndiyo maana sasa umeamua kuwa wazi kueleza kwamba Membe hafai kuwa rais na kwa nini. Lakini huko ni kupoteza muda bure kujadili kitu ambacho yeye mwenyewe amekwishasema kwamba hana mpango nacho.

Whether sababu za kusema hana mpango nacho ni sababu ulizzotoa au sababu nyingine hatujui lakini ni vema ukajua kwamba unapigia kelele na unakerwa na kitu ambacho yeye si mshindani.

Ndugu yangu naomba nikuarifu kwamba fikra kwamba Mbopo ni Membe ni case ya mistaken identity. Mbopo ni Mbopo na wala si Membe na kwa hiyo kama wewe una ugomvi naye basi unayemtukana humu si Membe.

Narudia tena kwamba hoja na tuhuma za ugomvi wa ID ilichochewa na hofu ya urais tu na si vinginevyo. lakini pia ninaomba nikuonye hapa kwamba wewe kama mtu msomi na mwenye utashi kwamba hoja haiwi bora kwa kumtukana mtu au kumvunjia mtu heshiam yake.

Mimi kama mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali ya JF nimeona kwamba hoja zilizoshinda ni zile ambazo mijadala yake ilikuwa ya kistaarabu na yenye ushahidi makini na si kukurupuka kwa ajili ya kulipa deni ya kutumiwa kama mpambe. Simfahamu sana Membe na sihitaji yeye kunifahamu kuweza kujua kwamba hapa anpigwa vita kwa vitu visivyo vyake.Kwanza hata huo mradi wenyewe kandarasi yake haijatolewa.

Ndugu yangu, mimi nakushauri ufuate mfano wa watu kama mwanakijiji ambaye hushusha hoja zake bils jazba na huchukua muda kutafiti kila anachopanga kusema na ndiyo maana nyingi ya hoja zake huenda hata kwenye magazeti na kusisimua wasomaji.

Ukweli unabaki palepale kwamba mzee unalazimisha hoja na kila anyejaribu kuwa objective kama mimi na Masatu tunakoga matusi na kashfa zako mzee. NARUDIA KUSEMA MZEE MMECHEMSHA NA SASA HOJA IKO WAZI, NI URAIS NA HOFU YA WALIOKUTUMA. LAKINI WAAMBIE WASIHOFU, MEMBE HAYUKO KWENYE RACE, WALALE TU VIZURI MZEE.
 
Back
Top Bottom