Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I smell someone to be at work here . Let me shut my mouth and watch .GT njoo u save ama upunguze hii kasi ila njoo na data sasa .Maana ngoma imepata wachezaji .
Nadhani kuna mgogoro kdogo wa lugha hapa. Wewe unapotuma ujumbe unategemea kusomwa na wengi, na sio mtu mmoja. Suala hili linajadiliwa na watu wengi, sasa sidhani kama nitakuwa sahihi kujisemea mwenyewe tu. Hivi kuna tabu gani kwa mtoa hoja kutuletea majina ya hayo makampuni ya Lowassa na Membe/Mwikalo? Tatizo ni nini? Ni kweli alikuwa anataka kufichua ufisadi au alikuwa ana mambo yake na akataka kuyapitishia JF? Nasikia Mwikalo ametoa offer ya USD. 200 kwa mtu atakayemletea jina la kampuni yake hiyo, je mtoa hoja hazitamani hela hizo? Mbona kaingia "mitini" bila kutuaga? Hapa ndipo ninapokuwa na mashaka na usahihi wa taarifa zake hizo. Kama hana basi ajitokeze aseme tu kuwa naye alidanganywa, aombe radhi kwaMwikalo basi yaishe, huo ndio uungwana jamani
"Hapa imeletwa hoja ya MEMBE na LOWASSA washindania mradi wa ID"
Ikasemwa kwamba Membe ana kampuni aliyoisajili Marekani na amemuweka Mwikalo kuiendesha. Mtoa hoja hakuitaja kampuni ya Lowassa, maana sidhani kama Lowassa angependa kushiriki kama Lowassa.
Halafu ikaonekana kuwa ktk mradi huo kuna dalili za ufisadi. Mtoa hoja hajatuambia ni ufisadi wa namna gani.
Mtoa hoja na baadhi ya wachangiaji wakageuza somo halisi na kutupeleka kwenye kiny'ang'anyiro cha urais mwaka 2015.
Ningependa mtoa hoja akamilishe hoja yake ya msingi kwanza kabla hajavamia nyingine. Wakati anatuletea hoja yake ya msingi, niliamini kuwa ana majina ya hizo kampuni, na ndio maana ninamuomba azitamke kampuni hizo ili tuzichambue.
Nimelivalia njuga sula hili kwa sababu Rais Kikwete ametangaza rasmi azma yake ya kurudisha maadili ya viongozi. Mimi naungana nae moja kwa moja ktk hili kwani madahara ya kutokuwa na maadili ya viongozi wote tumeyaona.
"Hapa imeletwa hoja ya MEMBE na LOWASSA washindania mradi wa ID"
Ikasemwa kwamba Membe ana kampuni aliyoisajili Marekani na amemuweka Mwikalo kuiendesha. Mtoa hoja hakuitaja kampuni ya Lowassa, maana sidhani kama Lowassa angependa kushiriki kama Lowassa.
Halafu ikaonekana kuwa ktk mradi huo kuna dalili za ufisadi. Mtoa hoja hajatuambia ni ufisadi wa namna gani.
Mtoa hoja na baadhi ya wachangiaji wakageuza somo halisi na kutupeleka kwenye kiny'ang'anyiro cha urais mwaka 2015.
Ningependa mtoa hoja akamilishe hoja yake ya msingi kwanza kabla hajavamia nyingine. Wakati anatuletea hoja yake ya msingi, niliamini kuwa ana majina ya hizo kampuni, na ndio maana ninamuomba azitamke kampuni hizo ili tuzichambue.
Nimelivalia njuga sula hili kwa sababu Rais Kikwete ametangaza rasmi azma yake ya kurudisha maadili ya viongozi. Mimi naungana nae moja kwa moja ktk hili kwani madahara ya kutokuwa na maadili ya viongozi wote tumeyaona.