Mbopo umwasikia wenzako huko ripoti ya Richmond? bado wewe.
naona unalilia uletewe ushahidi haraka sana hiyo kamati ya richmond iliomba kuongezewa muda.
utaumbuka tumia majina yote na weka watu wako humu 24 hours.
Mwafrika wa Kike.
usiende kwenye matusi yao wanataka kututoa kwenye mada. hapa MEMBE amekwama naona amuite na DIONIS MALINZI ambaye yuko kwenye timu yake ya kampeni ya urais,
huyo MALINZI ni failure through and through alimfelisha Sumaye sasa kakimbilia kwa MEMBE. ni Fisadi mkubwa ameiba sana kiwanda Tumbaku.
Membe acha kutafuta huruma na kuwa fanya watu wajinga umekuwa ukisisitiza ooh JF ni sehemu ya heshima acheni majungu. mara unamrubuni Mwanakijiji kuwa ni mahiri ili upate nguvu zake?
mwakjj alipoanza kusema Richmond ni mradi bomu wote walisema maneno kama yako kuwa ni uzushi mtupu.
Mtalii kasema uliandaa futari na kualika matajiri tena si waislam jee sio kampeni hiyo? mie si muislam lakini naamini wanaopewa futari ni masikini sio matajiri.
Hapa utaumbuka sana ndugu yangu mheshimiwa bora unyamaze.
unadai ooh ulikaa wizara ya mambo ya ndani kwa miezi kumi tu hivyo huusiki kwenye tenda hii. jee Lowassa amekaa miezi mingapi wizara ya madini?
Mbopo na kinvaba nipeni majibu ya hoja zangu nilizoweka hapo nyuma.
Mbopo unasema muda wa kugombea urais haujafika hivyo uachwe uvumi. jee sumaye alianza lini kampeni? Malecela alianza lini kampeni? kama alivyoharibika Lowassa na Richmond nawe utaharibika na hili la vitambulisho.
huyo alienda kujitetea Tanzanet aje hapa, na hizo dolla mia mbili apeleke kwenye kamati ya Kandoro ya kujenga madarasa hapa hamnunuwi mtu.
Mbopo nitakufichua hadi wakuu wako wa mikoa na wilaya unaowatumia.
ujanitia unajua kutengeneza fitina? hapa mwisho wa safari.
huyo FD jina lake ni fikiraduni hawezi hata kuwaza jee atakusaidia?
pia uwe unatumia MBOPO A.K.A KINVABA acha kujidanganya.
Mbopo uatajifanya uko busy sana siku ya Mwendawazimu Bush kuja.
elewa huyu Bush kwenye kampeni za Republican wala hatajwi, wamarekani wanaona mzigo na hawataki hata kumsikia wanaomba aondoke leo, ndio maana watu wako kwa Barack Obama, Hillary na john pitia
www.barackobama.com na
www.hilaryclinton.com wanasema wao wakiwa marais wataelekeza nguvu za nchi yao kwenye umasikini, mazingira n,k sio ugaidi na vita.
mbopo unampokea muuaji, nikono yake ina damu za watu.
MBOPO upo? utajipendekeza kwa rais kuhusu baraza jipya na waziri mkuu mpya, mbopo acha kimbelembele.
kesho nitakuumbua Tenda ya songo songo gas ulivyomkingia kifua Malinzi na kampuni zake.