Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

MBOPO kesho utajifanya kuwa close na RICE CONDOLEZZA usiogope yuko single au kazi yako kuonea dogo dogo tu?

mbopo Bush anavaa shati la blue na suti nyeusi wewe jitahidi uwe smart kama ulivyowapa muongozo waandishi hii itakusaidia kampeni 2015 kuwa ulimleta Bush.maana mzee unapenda sifa kama Dully skyes?
 
FD.
umewekewa mjadala wetu kuhusu Suzane ulibisha sana baadae ikawa kweli mbona hukuomba radhi kwa kutudanganya? nilikwambia miezi mitatu kabla kuwa Tido kampa kazi S.MUNGI ukajaa juu kama mwanamke aliye kwenye siku zake.na kusema tuache uzushi. ukweli upolidhihiri ukakaa kimya.


barry-bonds-all-star-parade.JPG

gameover_s.jpg
 
Masatu.
Umeshindwa kujibu hoja sasa unaweka mapicha. mpelekee mheshimiwa MBOPO au Joti.
 
FD.
umewekewa mjadala wetu kuhusu Suzane ulibisha sana baadae ikawa kweli mbona hukuomba radhi kwa kutudanganya? nilikwambia miezi mitatu kabla kuwa Tido kampa kazi S.MUNGI ukajaa juu kama mwanamke aliye kwenye siku zake.na kusema tuache uzushi. ukweli upolidhihiri ukakaa kimya.


Mkuu,

Niliteleza kwenye hiyo Ya Mungi, ila kumbuka nilikuwa napinga nyinyi kwenda personal.

Haya sasa ni zamu yako na GT na Nungwi nanyi kukiri mmeteleza kwenye hili!

Muungwana ni Vitendo.
 
Masatu.
Umeshindwa kujibu hoja sasa unaweka mapicha. mpelekee mheshimiwa MBOPO au Joti.

Mtalii,

Mpira upo kwa GT ndie tunaemsubiri kwa hamu amwage vitu, in the meantime ni blah blah tu and ur the master of it...
 
Unamkosea, unampunguzia elimu ana Phd ya blah blah.

Bado wanendelea na ku kwepa kwepa. Sisi tunasubiri bado jina la kampuni!

Kwi kwi kwii. Inaelekea tutasubiri milele!
 
Huyu Kazi Yakekuteleza Kama Membe A.k.a Joti Wa Ze Comedy.
Wanajidanganya Kuwa Tutakuwa Na Rais Joti.

Tumekewa Hadi Picha Za Mwanamke Aliyempa Nyumba Dodoma.mbopo Kaamua Kuulaza. Na Hizi Makala Lazima Tumpe El Amjue Joti Anavyowanga Mchana Kweupe.

By The Way Joti Una Shughuli Gani Na Malinzi? Au Nae Ni Mtu Wako Wa Karibu? Joti Tabia Hizi Umezitoa Wapi Canada Au Mama Lile La Kizungu Limekuharibu?
Tunaomba Wiki Hii Utupe Vitu Kwenye Ze Comedy Ujio Wa Bush.
 
Naona sasa mada imegeuzwa na kuwa ya VIMADA.

Tajeni na dada zenu anaolala nao basi!

Kaaaaazi kweli kweli!

Tunasubiri jina la kampuni!
 
MBOPO umekosea dada ASHA ROSE MIGIRO ana PHD na alikuwa waziri wa foreign, rekebisha kauli yako hapa chini.



#42 17th February 2008, 10:22 AM
Mbopo
Member Join Date: Tue Jan 2008
Posts: 11
Rep Power: 0

Thanks: 0
Thanked 7 Times in 3 Posts
Credits: 2,716

Re: wito kwa JK: Mwondoe MEMBE mpe nafasi MAHIGA

--------------------------------------------------------------------------------

Hakika hiki ni kichekesho kikubwa. Lakini tunashukuru kwa jinsi tunavyoona wazi uwakala wa baadhi ya watu humu. Baada ya ID thread kugeuka porojo na forum ya kumtukana membe bila mafanikio sasa inakuja issue nyingine ambyo nayo haina kichwa wala miguu zaidi ya kuendeleza chuki isiyo na sababu dhidi ya membe.

Mimi najiuliza tatizo ni la membe kushika nafasi hiyo ni nini maana tunaambiwa tu Rais amoundoe halafu amuweke Dr. Mahiga. Je ni kwa sabau ya CV na Phd ambavyo membe hana ua ni kwa sabau ya utendaji mbovu. Je ni kwa sababu ya wizara kukosa website au ni kwa sababu inasemwa antaka kuwainia urais? Mimi si mtunza kumbukumbu sana lakini sikumbuki kuwahi kuwa na Foreign Affiars Minister mwenye Phd katika historia ya nchi hii japo wenye nazo ni wengi sana. Mimi nafikiri mjadala kuhusu membe umekuwa na mtazamo hasi usio na sababu na pengine waanzilishi hawatusaidii kwa kuja na hoja nyepesi ambazo kila mtu anaona wazi kwamba ni finyu na zenye dhamira iliyojificha. Pengine tukiambiwa maovu yake ya kiuadilifu na kiutendaji hata sie tunaomtetea tutawaunga mkono na kutia uzito kuomba aachie ngazi.

Urefu na ukubwa wa sifa za Dr. Mahiga umekuwepo katika kipindi cha awamu zote za uongozi lakini kwa nini hakuwahi kuchukua nafasi hiyo isipokuwa leo? Ndipo sasa na mimi naungana mkono na Masatu na Kinvaba pamoja na wengine walioonyesha objectivity kuhoji kwamba mbona hatumalizi hoja moja kabla ya kuingia nyingine. Kutapatapa huku ndo kumetupelekaea wengine kurukia hoja ya business association na Dioniz Malinzi au ile ya kwamba amempangia mwanamke nyumba kilimani hotel. Hivi mnataka tuamini kwamba (kama kweli) hoja hizi zina uzito na athari sawa kwa wananchi kama Richmond, EPA, TICTS au mabomu mengine ya kuua uchumi na kuendeleza kongwa la umaskini wa mtanzania? Najua nitaitwa kila aina ya jina baya lakini naongozwa na UKWELI NA SITAKUBALI KUHUKUMU MTU BILA USHAHIDI WA KWELI NA TOSHELEZI! Mwanzilishi wa mjadala huu hawezi kukwepa lawama za kwamba anageuza jukwaa hili kuwa sehemeu ya ku-vent anger na frustration zake dhidi ya kile asichokipenda binafsi kuhusu Membe. Anatumia jukwaa hili kuendesha mob justice na character assassination.
 
KAMA kawaida yake mzee wa majungu bwana MEMBE ameanza kumkomalia LOWASSA kwa kutumia gazeti la Tanzania Daima ambalo huwa analitumia mara kwa mara kupitishia majungu yangu yake na fitina kwa wenzake.

hivi karibuni lilipovunjwa baraza la mawaziri Tanzania Daima liliandika sana kuwa Membe ni bora arudi kwenye wizara yake ya mambo ya nje ili anedeleze kazi aliyoianza. hakutajwa waziri yeyote zaidi ya Membe.

alipoteuliwa Asha rose Migiro kuwa katibu mkuu gazeti hili lilimuandika sana kuwa Membe ndiye anayefaa wizara ya mambo ya nje kwani ana uzoefu na elimu ya mambo ya diplomasia. wakati huo Membe ni naibu waziri tu tena kwa miezi kama kumi tu, jee uzoefu kautoa wapi?

hawakutajwa watu kama Dr.Mwakyembe au Dr.Ibrahim Msabaha ambaye ni mtaalam wa diplomasia amewahi kuwa mkuu wa chuo cha diplomasia na kuwa katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na pia elimu yake hadi phd ni mambo ya Diplomasia na wengine wengi ambao ni wabunge wamewahi kuwa mabalozi.

Membe amekuwa na urafiki wa karibu na Balile ambaye kwa sasa ni mhariri wa Mtanzania na alikuwa mhariri mkuu wa Tanzania Daima kwa muda mrefu na amekuwa akiongozana nae sana Membe.nimewahi kuandika thread ya Balile acha kujipendekeza kwa Membe kwenye hii forum hii.

yaliyoandikwa na Tanzania Daima la leo ni makala ya Membe ana vunja nguvu za Lowassa kwa ajili ya urais 2015.kwenye Tanzania Daima la leo kuna makala mbili za kumponda Lowassa na urais ingine inasema Lowassa usijifananishe na Mzee Mwinyi.

Membe tunajua jinsi ulivyompora kiwanja yule mama pale Tangi bovu-mbezi beach jee hiyo haki?

haya hapa maneno ya MEMBE dhidi ya Lowassa.
http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/3/2/habari2.php
Bwana Membe suala hili tumekusikia siku nyingi ukimsema Lowassa kuwa ana hekari elfu tatu za ranchi ya Taifa-Tanga na unazusha kuwa kachukuwa kinguvu.
Lowassa mchawi wako ni huyu bwana Joti.
 
Jamani ninawaomba wana JAMBO FORUM mstay tunned. I have a statement to make kuhusu hii thread niliyoianzisha kuna watu watakasirika lakini I am more than ready to be the FALL GUY kwenye hili
 
Wana JAMBO FORUMS

Kwanza kabisa ningependa kukuombeni radhi kwa kukaa kimya cha miezi 3 kwenye hii thread na kutokuja na ma jibu yoyote yanayoeleweka. Before everyone gets all dizzy with orgasmic excitement over "OMG here's PROOF MEMBE na LOWASSA wanagombania mradi wa id card" or up in arms about it. I suggest we look at this issue objectively.


1 Sources wangu wameprove kuwa si watu wa kuwategemea kwani wamenilitea information ambazo nimezifanyia kazi na kugundua kuna mapungufu mengi tuuu

2 Sipendi kuchafuliana majina na hakuna sheria inayomkataza MEMBE kutokuwa na urafiki wa karibu na bwana MWIKALO. After all JK ana urafiki na BUSH


3. Ni kweli Membe alitaka kuleta system ya gharama kubwa kuliko proposal ya LOWASSA


4 Sina ushahidi wa kutosha kuwa MEMBE alimpangisha nyumba yule mbunge wa CCM kule Dodoma

5
Sina ushahidi wa kuonyesha wazi kuwa MEMBE anazo shares kwenye kampuni ya GHOST TECHNOLOGY


In my opinion, it is now beyond dispute that MEMBE hana kampuni ya kutaka kusambaza vitambulisho Tanzania, in short, I am willing to be the FALL GUY kwa sababu maneno yangu yame led huge distrust of waziri MEMBE among JF readers na posters on the basis of erroneous information ambayo kusema ukweli i methodically propagated and that culminated kwenye hiii ya Mheshimiwa waziri kutukanwa matusi ya NGUONI.I refuse to be a part of this and i wont be a part of this unless kuna evidence ambazo mtanipa ili niweze kussuport my initial arguments


Sina uhakika kama aligombana na LOWASSA na kama tunataka kurudisha heshima ya hii forum either hii thread ifutwe au ifungwe unless kuna mtu yuko tayari kunitumia evidence kwenye e-mail yangu hii hapa:

magomeni@googlemail.com

then nitakapo ridhika naweza kuzungumza na wahusika tuirudishe hii thread



 
Wana JAMBO FORUMS

Kwanza kabisa ningependa kukuombeni radhi kwa kukaa kimya cha miezi 3 kwenye hii thread na kutokuja na ma jibu yoyote yanayoeleweka. Before everyone gets all dizzy with orgasmic excitement over "OMG here's PROOF MEMBE na LOWASSA wanagombania mradi wa id card" or up in arms about it. I suggest we look at this issue objectively.


1 Sources wangu wameprove kuwa si watu wa kuwategemea kwani wamenilitea information ambazo nimezifanyia kazi na kugundua kuna mapungufu mengi tuuu

2 Sipendi kuchafuliana majina na hakuna sheria inayomkataza MEMBE kutokuwa na urafiki wa karibu na bwana MWIKALO. After all JK ana urafiki na BUSH


3. Ni kweli Membe alitaka kuleta system ya gharama kubwa kuliko proposal ya LOWASSA


4 Sina ushahidi wa kutosha kuwa MEMBE alimpangisha nyumba yule mbunge wa CCM kule Dodoma

5
Sina ushahidi wa kuonyesha wazi kuwa MEMBE anazo shares kwenye kampuni ya GHOST TECHNOLOGY


In my opinion, it is now beyond dispute that MEMBE hana kampuni ya kutaka kusambaza vitambulisho Tanzania, in short, I am willing to be the FALL GUY kwa sababu maneno yangu yame led huge distrust of waziri MEMBE among JF readers na posters on the basis of erroneous information ambayo kusema ukweli i methodically propagated and that culminated kwenye hiii ya Mheshimiwa waziri kutukanwa matusi ya NGUONI.I refuse to be a part of this and i wont be a part of this unless kuna evidence ambazo mtanipa ili niweze kussuport my initial arguments


Sina uhakika kama aligombana na LOWASSA na kama tunataka kurudisha heshima ya hii forum either hii thread ifutwe au ifungwe unless kuna mtu yuko tayari kunitumia evidence kwenye e-mail yangu hii hapa:

magomeni@googlemail.com

then nitakapo ridhika naweza kuzungumza na wahusika tuirudishe hii thread




Safi kabisa! GT huku ndio kukomaa kwa JF mtu unapo potoka au potoshwa na kugundua kuwa umepotoshwa unakuwa na gutts za kuja hadharani kukiri makosa yako.

Huu ni ushindi JF, heshima ya JF itakuwa kila siku tukiwa na watu wa aina hii na tutaweza kuwashawishi wale wanaodhani hapa yana jadiliwa majungu na fitna kwa nia ya kuwachafulia walio ktk utawala majina.

Big Up GT huku ndio kumkoma nyani giladi hasa.
 
Wana JAMBO FORUMS

Kwanza kabisa ningependa kukuombeni radhi kwa kukaa kimya cha miezi 3 kwenye hii thread na kutokuja na ma jibu yoyote yanayoeleweka. Before everyone gets all dizzy with orgasmic excitement over "OMG here's PROOF MEMBE na LOWASSA wanagombania mradi wa id card" or up in arms about it. I suggest we look at this issue objectively.


1 Sources wangu wameprove kuwa si watu wa kuwategemea kwani wamenilitea information ambazo nimezifanyia kazi na kugundua kuna mapungufu mengi tuuu

2 Sipendi kuchafuliana majina na hakuna sheria inayomkataza MEMBE kutokuwa na urafiki wa karibu na bwana MWIKALO. After all JK ana urafiki na BUSH


3. Ni kweli Membe alitaka kuleta system ya gharama kubwa kuliko proposal ya LOWASSA


4 Sina ushahidi wa kutosha kuwa MEMBE alimpangisha nyumba yule mbunge wa CCM kule Dodoma

5 Sina ushahidi wa kuonyesha wazi kuwa MEMBE anazo shares kwenye kampuni ya GHOST TECHNOLOGY


In my opinion, it is now beyond dispute that MEMBE hana kampuni ya kutaka kusambaza vitambulisho Tanzania, in short, I am willing to be the FALL GUY kwa sababu maneno yangu yame led huge distrust of waziri MEMBE among JF readers na posters on the basis of erroneous information ambayo kusema ukweli i methodically propagated and that culminated kwenye hiii ya Mheshimiwa waziri kutukanwa matusi ya NGUONI.I refuse to be a part of this and i wont be a part of this unless kuna evidence ambazo mtanipa ili niweze kussuport my initial arguments


Sina uhakika kama aligombana na LOWASSA na kama tunataka kurudisha heshima ya hii forum either hii thread ifutwe au ifungwe unless kuna mtu yuko tayari kunitumia evidence kwenye e-mail yangu hii hapa:

magomeni@googlemail.com

then nitakapo ridhika naweza kuzungumza na wahusika tuirudishe hii thread

Game Theory,

What you have done is noble and civil. You deserve a pat in the back for coming out and admit that you were wrong and take full responsibility and you are accountable for what took place in last few months of discussing this issue.

Nimekusamehe! Nakusubiri kule kwenye mada ya TISS!
 
Nadhani tayari amedhibitiwa na bwana Membe.

ushahidi nitauleta mimi,wewe pumzika tunakushukuru kwa michango yako.

mada isifungwe mimi nitauleta ushahidi.
nyumba aliyompa huyu binti wabunge wote wanajua iko area d unataka ushahidi gani? ni ya ghorofa.
 
Nadhani tayari amedhibitiwa na bwana Membe.

ushahidi nitauleta mimi,wewe pumzika tunakushukuru kwa michango yako.

mada isifungwe mimi nitauleta ushahidi.
nyumba aliyompa huyu binti wabunge wote wanajua iko area d unataka ushahidi gani? ni ya ghorofa.

Kalaghabaho!
 
Back
Top Bottom