Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Naona Mwafrika wa Kike anataka tujadili maneno yafuatayo: Hulka, Kutunga Ushanga na biologia.

Mtu aliyezoea umbea na majungu utamjua tu, unaacha kujadili hoja muhimu kwa manufaa ya Taifa unakazania tujadili maneno yaliyotumika ktk kuleta ujumbe. Sitakushangaa baadae ukitaka tujadili namna ya kukaa wakati tunatoa hoja. Hebu kuwa makini kidogo.... na usitoke nje ya hoja husika.

Naona leo umeamua kuja na maneno hapa JF. Haya ya namna ya kukaa yametoka wapi tena? hebu sema namna unatakiwa kukaa hapa JF! grrrrrrr
 
"Hapa imeletwa hoja ya MEMBE na LOWASSA washindania mradi wa ID"

Ikasemwa kwamba Membe ana kampuni aliyoisajili Marekani na amemuweka Mwikalo kuiendesha. Mtoa hoja hakuitaja kampuni ya Lowassa, maana sidhani kama Lowassa angependa kushiriki kama Lowassa.

Halafu ikaonekana kuwa ktk mradi huo kuna dalili za ufisadi. Mtoa hoja hajatuambia ni ufisadi wa namna gani.

Mtoa hoja na baadhi ya wachangiaji wakageuza somo halisi na kutupeleka kwenye kiny'ang'anyiro cha urais mwaka 2015.
Ningependa mtoa hoja akamilishe hoja yake ya msingi kwanza kabla hajavamia nyingine. Wakati anatuletea hoja yake ya msingi, niliamini kuwa ana majina ya hizo kampuni, na ndio maana ninamuomba azitamke kampuni hizo ili tuzichambue.

Nimelivalia njuga sula hili kwa sababu Rais Kikwete ametangaza rasmi azma yake ya kurudisha maadili ya viongozi. Mimi naungana nae moja kwa moja ktk hili kwani madahara ya kutokuwa na maadili ya viongozi wote tumeyaona.

Mie nilisikua uvumi kupitia radio mbao kuwa Lowassa kwa kutumia kampuni ya mwanae ndio walikuwa wanafukuzia hiyo tenda!!
 
Mwafrika wa Kike naona unaleta mzaha sasa, unajua watu wanatusoma na wakiona unavyojibu sitawalaumu wakianza kuwa na mashaka na uwezo wako wa kufikiri.

Naomba unisamehe kama nimekukosea, ila uelewe kuwa huwa napenda sana changamoto zenye kuleta maana.

Naamini kuwa watu wakiwa wanabadilishana mawazo hupanua kwa kiwango fulani akili zao lakini majadiliano yenyewe yasiwe majungu na umbea
 
Kinvaba,

Mwafrika Wa Kike ndo alivyo na anavyojibu wengine- hana neno- hope utamzoea tu taratibu!

Hope GT ataleta conrete evidence siku za karibuni!
 
Mwafrika wa Kike naona unaleta mzaha sasa, unajua watu wanatusoma na wakiona unavyojibu sitawalaumu wakianza kuwa na mashaka na uwezo wako wa kufikiri. Naomba unisamehe kama nimekukosea, ila uelewe kuwa huwa napenda sana changamoto zenye kuleta maana. Naamini kuwa watu wakiwa wanabadilishana mawazo hupanua kwa kiwango fulani akili zao lakini majadiliano yenyewe yasiwe majungu na umbea

Wewe kwako rahisi sana kuita mambo mzaha.

Kulikuwa na maana au sababu yoyote ya kuweka maneno ya baiolojia, kutunga shanga, hulka, makuzi, namna ya kukaa, nk katika post zako? Haya maneno umeyaandika wewe mwenyewe na when you are called to be accountable for them lazima uwe tayari damn it!

Haya ya kuongelea kuwa watu wanatilia mashaka uwezo wangu wa kufikiri nadhani hilo sio swali tena hapa JF. Mafisadi wengi sana wanajiuliza kwa nini niko hapa nikiwapa 'em hell, wakikosa kujieleza kwa nini wanauza nchi kwa wageni (Membe) na kuingiza nchi kwenye mikataba mibovu (lowasa) huanza kusema kuwa nina uwezo mdogo wa kufikiri..... endeleza chorus mkuu ila hapa ndio mwanzo tu wimbo umeanza, na wimbo wenyewe ni style ya zile za Pepe Kale (wimbo hauishi mpaka watoto walale).
 
Kinvaba,

Mwafrika Wa Kike ndo alivyo na anavyojibu wengine- hana neno- hope utamzoea tu taratibu!

Hope GT ataleta conrete evidence siku za karibuni!

Mhhh,

kwa hiyo "majibu" haya ni yangu tena na sio ya mzee wa shanga, baiolojia, hulka, makuzi, namna bora ya kukaa - mheshimiwa sana Kinvaba AKA.....
 
Mzalendohalisi, Nashukuru kwa kunielewesha hilo. Namuomba Mwafrika wa Kike anivumilie pia kwa vijimaneno vyangu ninavyovitumia, akivizoea atakuwa ananielewa vizuri.

Lunyungu, naomba usinielewe vibaya kwamba nimekaidi ushauri wako, Mwafrika wa Kike alinirudisha ktk mtandao kidogo.

Naomba kutekeleza ushauri wako kama ifuatavyo.... Kwaherini.
 
Mzalendohalisi, Nashukuru kwa kunielewesha hilo. Namuomba Mwafrika wa Kike anivumilie pia kwa vijimaneno vyangu ninavyovitumia, akivizoea atakuwa ananielewa vizuri. Lunyungu, naomba usinielewe vibaya kwamba nimekaidi ushauri wako, Mwafrika wa Kike alinirudisha ktk mtandao kidogo. Naomba kutekeleza ushauri wako kama ifuatavyo.... Kwaherini.

Rudi na vijimaneno vyako hapa na wala usikimbie kabla hujakuwa accountable...... unakuwa kama Kambona bwana!
 
Kinvaba nakupa tano mkuu kwa sababu umewapasha watu ambao wanataka kuivurugia heshima JF. JF imekuwa na sifa iliyonayo kwa sababu ya umakini wa wadau wake katika kuijadili hoja.

Mimi nafikiri tulipofikia hakuna ubishi kwamba aliyetuhumu hakuwa na ushahidi wakati aneleta hoja na sasa yuko desperate kutafuta chochote kitakacho-justify hoja yake. Naamini hiyo ni afterthought maana hakujua kwamba angewekwa kwenye mazingira ya kutakiwa approve strictly kama ilivyo sasa. Sasa tunasubiri huo 'ushahidi' ili aningie ngwe ngumu zaidi ya kuutetea.

Ukweli ni kwamba ndugu yangu GT na wenzake, hasa mwafrika wa Kike hawakuwa tayari na walikurupuka. No wonder sasa mzaha ndiyo umetawala hoja hii sasa.
 
Watu kukurupuka ni kawaida kwa baadhi ya members humu, wakisha kurupuka wanashikilia hoja dhaifu za shanga na kama hizo ili mradi kupoteza muelekeo mzima.

Mtasubiri milele GT haji na kitu. Nungwi kaingia mitini na Mwafrika wa kike ndio mmeona post zake za hapo juu.hakuna kitu ni Majungu na UDAKU tu!
 
Ukweli ni kwamba ndugu yangu GT na wenzake, hasa mwafrika wa Kike hawakuwa tayari na walikurupuka. No wonder sasa mzaha ndiyo umetawala hoja hii sasa.

ohhhh crap!

nani anakurupuka hapa zaidi yako wewe! hoja gani umeweka hapa wewe zaidi ya bangi tu na utetezi wa mafisadi? Aliyeanzisha hii thread aliomba udhuru hapa muda fulani uliopita kuwa anafanya kazi binafsi.

Mambo ya kuanza kulialia sasa kama watoto kuwa GT aje kuwapatia maziwa hapa muyapeleke hukohuko kwa mafisadi Membe na Lowasa. For now hii ni check oil service kwenu watetezi wa mafisadi. get it!
 
Watu kukurupuka ni kawaida kwa baadhi ya members humu, wakisha kurupuka wanashikilia hoja dhaifu za shanga na kama hizo ili mradi kupoteza muelekeo mzima.....Mtasubiri milele GT haji na kitu. Nungwi kaingia mitini na Mwafrika wa kike ndio mmeona post zake za hapo juu.hakuna kitu ni Majungu na UDAKU tu!

Wewe kwako kila kitu kuanzia kashfa za BoT ni udaku na majungu. Hapa hupewi breki kwa utetezi wako wa kifisadi na jiandae for a long ride hapa maana hiyo tenda ya ID ndio imeanza kuingia mchanga sasa na GT ameanza kuwaanika hapa, endelezeni kula pesa za kifisadi za Buzwagi, richmonduli, nk ila within time tutaget our country back.
 
Wewe kwako kila kitu kuanzia kashfa za BoT ni udaku na majungu. Hapa hupewi breki kwa utetezi wako wa kifisadi na jiandae for a long ride hapa maana hiyo tenda ya ID ndio imeanza kuingia mchanga sasa na GT ameanza kuwaanika hapa, endelezeni kula pesa za kifisadi za Buzwagi, richmonduli, nk ila within time tutaget our country back.

Bwana Mwafrika wa Kike,

Hivi kuna tatizo gani ukiwania na kupewa tenda ya kazi yoyote hapa bongo ikiwa kampuni unayo (kama unayo) na unafahamiana na Membe?, Hivi kujuana na Membe au Lowassa ndio hutakiwi kufanya biashara?. Au kujuana na Rais ndio inakuwa nongwa na hutakiwi ku win chochote hapa Bongo? Hii ni dhana tu.

Back to the topic, hata kama kampuni ingekuwapo bado sioni tatizo lipo wapi.

Ukweli ni kuwa hakuna kampuni kama hiyo ya Mwikalo wala Membe.
Kuhusu nchi yenu, Ipi hiyo tena? unafikiri wapiga kura wa bongo wangapi wanasoma hii forum?!?

Internet na njia za mawasiliano zina direct effects kwa developed countries not Bongo!. Bongo kuna watu wanaacha shughuli zao na kwenda kumpokea na kumpongeza Mwenyekiti wa CCM aliyeshinda uchaguzi wa CCM akiwa mgombea pekee!!!!!

Think of that mzee!

FD
 
Mbopo umwasikia wenzako huko ripoti ya Richmond? bado wewe.

naona unalilia uletewe ushahidi haraka sana hiyo kamati ya richmond iliomba kuongezewa muda.

utaumbuka tumia majina yote na weka watu wako humu 24 hours.

Mwafrika wa Kike.

usiende kwenye matusi yao wanataka kututoa kwenye mada. hapa MEMBE amekwama naona amuite na DIONIS MALINZI ambaye yuko kwenye timu yake ya kampeni ya urais,
huyo MALINZI ni failure through and through alimfelisha Sumaye sasa kakimbilia kwa MEMBE. ni Fisadi mkubwa ameiba sana kiwanda Tumbaku.

Membe acha kutafuta huruma na kuwa fanya watu wajinga umekuwa ukisisitiza ooh JF ni sehemu ya heshima acheni majungu. mara unamrubuni Mwanakijiji kuwa ni mahiri ili upate nguvu zake?

mwakjj alipoanza kusema Richmond ni mradi bomu wote walisema maneno kama yako kuwa ni uzushi mtupu.

Mtalii kasema uliandaa futari na kualika matajiri tena si waislam jee sio kampeni hiyo? mie si muislam lakini naamini wanaopewa futari ni masikini sio matajiri.

Hapa utaumbuka sana ndugu yangu mheshimiwa bora unyamaze.

unadai ooh ulikaa wizara ya mambo ya ndani kwa miezi kumi tu hivyo huusiki kwenye tenda hii. jee Lowassa amekaa miezi mingapi wizara ya madini?

Mbopo na kinvaba nipeni majibu ya hoja zangu nilizoweka hapo nyuma.

Mbopo unasema muda wa kugombea urais haujafika hivyo uachwe uvumi. jee sumaye alianza lini kampeni? Malecela alianza lini kampeni? kama alivyoharibika Lowassa na Richmond nawe utaharibika na hili la vitambulisho.

huyo alienda kujitetea Tanzanet aje hapa, na hizo dolla mia mbili apeleke kwenye kamati ya Kandoro ya kujenga madarasa hapa hamnunuwi mtu.

Mbopo nitakufichua hadi wakuu wako wa mikoa na wilaya unaowatumia.

ujanitia unajua kutengeneza fitina? hapa mwisho wa safari.

huyo FD jina lake ni fikiraduni hawezi hata kuwaza jee atakusaidia?
pia uwe unatumia MBOPO A.K.A KINVABA acha kujidanganya.

Mbopo uatajifanya uko busy sana siku ya Mwendawazimu Bush kuja.

elewa huyu Bush kwenye kampeni za Republican wala hatajwi, wamarekani wanaona mzigo na hawataki hata kumsikia wanaomba aondoke leo, ndio maana watu wako kwa Barack Obama, Hillary na john pitia www.barackobama.com na www.hilaryclinton.com wanasema wao wakiwa marais wataelekeza nguvu za nchi yao kwenye umasikini, mazingira n,k sio ugaidi na vita.

mbopo unampokea muuaji, nikono yake ina damu za watu.
MBOPO upo? utajipendekeza kwa rais kuhusu baraza jipya na waziri mkuu mpya, mbopo acha kimbelembele.

kesho nitakuumbua Tenda ya songo songo gas ulivyomkingia kifua Malinzi na kampuni zake.
 
ufisadi humu unanukia na nakumbuka hata RICHMONDULI,BOT na BUZWAGI zilianza hivi hivi

In shor mimi siwaamini wanasiasa wetu kutokana na rekodi yao yao katika mambo ya rushwa

Kama mlitaka majina ya kampuni na yalishatajwa, wahusiaka walishatajwa lakini nashangaa huyu Membe hajabisha kuhusu uhusianao wake na huyo mwikali


Membe hajakataa kama alienda huko far east


Membe hajakataa kama alishataka apewe analysis toka kampuni zingine

Membe anakataa hataki kugombania urais lakini hajaeleza kwa nini awafuturishe wale matajiri wa Kiasia wakati kuna watu kibao huku Buguruni waalikuwa wanahangaika kutafuta futari

Na mwisho mheshimiwa Membe tunakuomba uelezee uhusiano wako na huyu mwanamke ni upi na ilikuwaje ukampangisha kwenye nyumba yako kule Dodoma

Huyu ni mbunge mwenzio lakini kwa sababu ya wenzako akina Lowasa na Msabaha hatuna imani nawewe na maisha yako ni open tuu yaani public na private

mv11.jpg


nazungumzia huyu mbunge aliyebeba simu nyekundu yaani huyu wa Nyuma kwani huyu wa mbele mwenye mali zake hatuna ugomvi naye ni swahiba wetu humu
 
bugurunikwamnyamani
Na mwisho mheshimiwa Membe tunakuomba uelezee uhusiano wako na huyu mwanamke ni upi na ilikuwaje ukampangisha kwenye nyumba yako kule Dodoma

let us stick to the mada and leave private issue asides....besides she is pretty
 
let us stick to the mada and leave private issue asides....besides she is pretty


kwa sababu Membe ni public figure basi sioni sababu ya maisha yake yote kuanikwa humu

kila mmoja atamjadili Membe anavyomjua na mimi engo yangu ni hii ya vimwana
 
mweke mweke tuu mana hata uzinzi ni ufisadi maana kuhudumia hivi vinyumba vidigo ndio maana wanakuja kutuibia na ni kinyume na code of ethics za nchi yetu...ni public figure vile vile kwa hiyo chochote ni mali yetu na lazima tumwashe sawa na kumsifia tuu
 
Mbopo
unaanza kuadhirika? duuh kimwana kinavutia.
usiingie mitini au unabadili jina tena? huyu dada anakaa area D pale Dodoma yuko ghorofa ya tatu.

Mbopo bisha na hili? usiruke hoja na Lowassa kajua majungu unayomfanyia.
 
Back
Top Bottom