Ado ado!!!!!!!!!!
jamaa bado hajaanza kuzungumzia report ya tume aliyounda, bado anakumbushia yaliyojiri kabla ya sokomoko!!!!!
Pesa za EP si za Umma,ni za wenyewe
hiyoo penalty kama ya roberto baggio , italy vs. Brazili
Najua hasira za mzee ndesamburo alipo anatamani kama tungekua na sheria kama ya China maanke leo Rais angekua anahutubia na kutoa data za idadi ya mafisadi waliokwisha Nyongwa