Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Rais keshasema, hakuna atayeshtakiwa EPA. Wamepewa muda kurudisha pesa.
 
Hivi ile kamati si nayo inawatuhumiwa.Mlitegemea nini sasa? wasanii. Na huu ndio mwisho wa show yetu leo lakini for public interest tutairudia katika TBC1 saa tatu jioni.
 
Uchunguzi wa makampuni 22, makampuni 9 uchunguzi wa ndani umekamilika ila wa nje bado. Police itashirikiana na Interpol kukamilisha.

Kamati imeomba kibali kuendelea na uchunguzi mpaka watakapopata report ya Interpol-Ombi limekubaliwa
Makampuni 13 yaliyobaki, waliokwapua kadiri ya 90b, yamebanwa, wamenyanganywa passport, mali na hata magari yamekamatwa. Mapaka 18 August 53.7b zimeshakusanywa na zimerejeshwa.

Waliobaki wameahidi kulipa mpaka mwishoni mwa October 08, 74% ya pesa itakuwa imesharudishwa.

Raisi ameagiza wasiolipa mpaka hiyo October 08, wapelekwe mahakamani!
 
Kwa wanaoangalia hivi huyu jamaa kasimama ama amepewa kiti na kukaa...maana hapa nasikia sauti tu...

Unakuwa na uwezo wa aina gani kuweza ongea pumba mfululizo kwa masaa matatu.

NASHAURI KUWE NA MATANGAZO YA BIASHARA KULIONGEZEA PATO TAIFA!!!
 
Mkulo anasinzia anaulizwa swali .Hotuba ya ajabu ajabu kweli kweli
 
Uchunguzi wa makampuni 22, makampuni 9 uchunguzi wa ndani umekamilika ila wa nje bado. Police itashirikiana na Interpol kukamilisha. Kamati imeomba kibali kuendelea na uchunguzi mpaka watakapopata report ya Interpol-Ombi limekubaliwa
Makampuni 13 yaliyobaki, waliokwapua kadiri ya 90b, yamebanwa, wamenyang’anywa passport, mali na hata magari yamekamatwa. Mapaka 18 August 53.7b zimeshakusanywa na zimerejeshwa. Waliobaki wameahidi kulipa mpaka mwishoni mwa October 08, 74% ya pesa itakuwa imesharudishwa.

Raisi ameagiza wasiolipa mpaka hiyo October 08, wapelekwe mahakamani!!!!!!!!!


...James Hadley Chase said it all when he said....'Believe this and you will believe anything'...!!!
 
Matumizi ya pesa zilizokiusanywa

Kusaidia kilimo, mbolea na mikopo kwa wakulima chini ya TIB, kuanzisha benki ya kilimo

Kamaliza swala la EPA
 
Jibu ni ndiyo,wanarudisha pesa baada ya kupata faida,zile ziingine ..().. zitarusishwa na wafanyabiashara.

Kwanini tusiwazirie nchi??

Miye nimeshaanza kuzira tayari!Ticket za kuelekea Iraq zinapatikana bure ubalozini!
 
EPA IMEISHA.

Nov moja tunawapelekea mahaka kutusaidia kukusanya kile ambacho hakijakusanywa.

Sikuelewa kuwa kumbe ni kesi ya madai!
 
Ngoja Mwanawasa wa Tanzania aje 2010, wote manyang'au wa kubaka uchumi watalia. Ze commedy amechagua destiny yake leo mbele ya wabongo.
 
Unaona sasa anageuka TAMBALIZENI eti fedha hizi zipelewe kwanye mfuko wa pembejeo za kilimo. Hapo hapo anasahau kwamba ametueleza kwamba kukamata account hizi itachukua muda maana inatakiwa kuhusisha Interpol.

Halafu anasema aliishauri Hazina ianzishe window kwa ajili ya kukusanya madeni haya. Amemsimamisha Mkulo naye akasema tutaanzisha leo hii jioni baada ya hotuba yake.

Huyu Mkulo aliwa kalala na imemchukua muda kuelewa nini Raisi alikuwa ameuliza akatoka na jibu hilo. "Tunaanzisha leo hii jioni.
 
haya wafanyakazi sasa zamu yao anadai wameongeza kima cha chini kwa 110% toka 2006....
 
Back
Top Bottom