Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
lakini World Bank wameuliza kwa nini serikali yetu inangangani hii project?
ninachotaka kusema kuwa sisi hatuna track record nzuri na hizi projects kuanzia ubinasishaji wa DAWASA mapka RICHMOND
trust me my brother 5 years from now kama JF itakuwa bado ipo utakuja niambia kuwa if we only knew back then.
Hii siyo project ya mwaka mmoja ni project ya miaka 5 na inaendelea hivyo ulaji upo kila mwaka na kutokana na serikali ya JK ilivyo incompetent i am sure 100% haiwezi ku pull it off
watch this space
ninachotaka kusema kuwa sisi hatuna track record nzuri na hizi projects kuanzia ubinasishaji wa DAWASA mapka RICHMOND
trust me my brother 5 years from now kama JF itakuwa bado ipo utakuja niambia kuwa if we only knew back then.
Hii siyo project ya mwaka mmoja ni project ya miaka 5 na inaendelea hivyo ulaji upo kila mwaka na kutokana na serikali ya JK ilivyo incompetent i am sure 100% haiwezi ku pull it off
watch this space