Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Kuliwa sio kina dada tu, ajira hata kwa wanaume mtapewa option hiyo ya ....... kwani akiliwa mkeo hujaliwa?

Kikubwa hapa ni maana halisi ya kuliwa hadi 2015 ndio nasi tutaanza kula makombo!
 
Karibu 5 minutes anasifia chuo kikuu cha Dodoma..... pongezi Mkapa, pongezi Bilal Pongezi woote.

Wabunge ni watu wazuri sana kwa kukitembelea chuo hicho!

Hayo ni mambo ya kusema kwenye hotuba za mwezi Mr Prez!
 
usipokuwa tayari kuliwa uli..uliwe kidogo utakula.Sasa wewe wataka kula bila ya kuliwa??

Can someone please help me understand what exactly made eeeverybody laugh after such words?I simply thought he was talkin abt the advertisement thing?whats the other meaning behind?Just curious.
 
....Is this what we really was waiting to hear?? What an ANTI-CLIMAX !!
 
Anasema "usipokuwa tayari kuliwa kidogo huli! ......." anaendelea "Sina maana hiyo ya Khalifa ......lakini kula, liwa, Ule"
Uswahili kwenda mbele. Ipo kazi.

Jitayarisheni kuliwa.JK sasa kutembea na wake za watu ili watu wapewe ajira,ukitaka kazi liwa kwanza ndio upate,ukitaka tender liwa ndio upate saa hivi dili ni kuliwa tuu ndio kimebaki!
Ukisikia wendawazimu ndio huu!Rubbish kabisa he is a fool!
 
Uliza wanaopata hizo government sponsorship ktk hivyo vyuo ni jkina nani kama sio watoto wa mafisi maji??? Ndo maana wanapiga makofi na kuchekelea
 
sekondari za kata ni kashfa kubwa, si moja yamafanikio kwa sasa.
Atakae weza kuzigeuza ziwe za mafanikio ndio atakaesifiwa.

Sio hawa wa sasa wanaopotezea watoto miaka bila kuwafundisha chochote, (hii ni topik ambayo inanigusa sana0 nakerwa napowaona wanapozunguka kutafuta walimu nchi nzima!!
 
Can someone please help me understand what exactly made eeeverybody laugh after such words?I simply thought he was talkin abt the advertisement thing?whats the other meaning behind?Just curious.

ES na Beautiful.

Ilikuwa lazima ACHEKESHE Wabunge kwani walikuwa wanasinzia!!
 
Jamni naomba kuuliza, Hivi hii nchi inaongozwa na nani? Majibu yenu elekezeni katika hotuba ya waziri mkuu kwenye masuala ya ufisadi yani WABAKA UCHUMI.

Mkishajua hilo then shime wadanganyika kutafuta njia mbadala wa kujikwamua.
 
Mbolea kaongelea kidogo, jamani mfuko wa mbolea aina ya UREA ni sh. 50,000/= hiyo ndio bei ya ruzuku, halafu unadhani mkulima wa hali ya chini ata-afford?

JK anasimama na suti yake kuzungumzia suala hilo badala ya kusema fedha zinazorudishwa na wezi wa EPA zitakwenda kuongeza ruzuku ya mbolea kupunguzia wakulima adha

This is bull shit
 
Can someone please help me understand what exactly made eeeverybody laugh after such words?I simply thought he was talkin abt the advertisement thing?whats the other meaning behind?Just curious.

Matumizi ya tafsida!Alikuwa anapunguza ukali wa maneno.Mswahili huyo utamwezea wapi!
 
Asubiri migomo ya walimu akitoka huko Dom ikifuatiwa na ile ya TUCTA
 
Wabunge kuchekelea ni muhimu ili wakileta mapendekezo ya kupandishiwa posho wasitoswe!!! This is business ....
 
Mtoa taarifa amejitahidi, nimesikia baadhi ya mambo aliyotutajia. Mheshimiwa Rais ameyataja tena kwa mtiririko ule ule alotueleza mtoa habari. Keep it up!
 
Richmond analo la kuongea wakati yeye ana mkono??? Wote wamemshika sehemu mbaya hivyo anagugumia tu!!!

Ila hiyo migomo nami naunga mkono wa asilimia 300
 
Back
Top Bottom