Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Yebo ulipotelea wapi?Nilijua Mkuu umejichikea na porojo ukaamua kuondoka kumbe bado unagaagaa na upwa?Utakula wali mkavu tuu leo hatoi mboga huyu!


Ndio pengine anatoa mboga sasa...lakini kwanza story ndeeeffffuuuuuuuuu
 
He wants to prove his innocemnce against allegations,.... but he politics stinks.

Anashindwa kuzungumzia matatizo ya wananchi yanayojadiliwa kila siku???

Tutakula hizo smile zake??
 
mbona hawajakata umeme tu, basi hamna kitu, kungekuwa na kitu umeme ungekuwa ziiii
 
Kuhusu Megji kuwafukuza wakaguzi wa Benki kuu eti alidanganywa na wasaidizi ndo akawafukuza.
 
yaani cant wait for the conclusion! i hope atatueleza ukweli whose money they were - watanzania au???!
 
Huyu jamaa asipokua makini anweza kujiharibia completely.

Ana bahati sana manake sula la Zanzibar ni Nchi ama la,amelichhezea usanii
 
bil 90 zililipwa kwa makampuni 13 kwa kutumia nyaraka feki. Nyingine nyaraka hazikupatikana kwa sababu ya miaka mingi kupita.
 
Je Kuwa za siku nyingi maana yake hatuweki kumbukumbu?
 
Not a good speech ... kwa vile wamemlazimisha kuwa marehemu wakati yuko hai??
 
Mh Rais hata kama suala la EPA ni la miaka 23 tunataka uwawajibishe wahusika hata kama ni maswahiba wako.

Uwepo hapo Bungeni kwa manufaa ya umma si history ya lini walipoanza kula unazidi kutuumiza.
 
I was dozing, do I hear EPA in the air? May he is talking... the hammer will rest on BoT alone? Watch
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 326 (110 members and 216 guests)
ladymzuri, 7ceven, africa6666, Aluta, august, Augustoons, BabaH, badonipo, Bazobonankira, Beautiful, Ben, bill, bj, bob, bokassa, Bowbow, Bubu Msemaovyo, chakaza, Chuma, congo, Dommy, Dotori, FairPlayer, fidel80, freddywm, Fundi Mchundo, gamaha, haika, Haki.tupu, hofstede, Invincible, jacobae, jamco_za, jilunga, Kamende, katibu tarafa, Kevo, Kichwangumu, kijunjwe, kilongwe, kinyau, Kutikavu, Lady Capricorn, Lasthope, Liganga, lizzard, Loi, Lyampinga, mafole, Magehema, mamaparoko, maskini mimi, Mbalamwezi, mbogela, Mchola+, Mfamaji, mfwatiliaji, mgafilika, middle, MiratKad, Mnyoofu, mpiganajinambamoja, Mtanzania, MTM, Mtuwamungu, muadilifu, mujuni2, mukubwa, mwakyj, mwikimbi, MWITA MARANYA, mzeeba, Mzozo wa Mizozo, nat867, Ng'azagala, ngonalugali, ngorunde, nono, norbit, Nsololi, ochu, Orkesumet, Pakacha, PEZZONOVANTE, Pipiro, positive Thinker, power to the people, ques, remyshas, Scorpion, Sekenke, Shadow, sikonge, Silencer, son of alaska, TEMA, Tshala, Tuandamane, Typical, tzengo, UFUNUO WA YOHANA, Ushirombo, visenti, Wakuja, Wakunyuti, wanzagi, WildCard, Yebo Yebo, Zanaki, Zion Train
 
Haya yote twayajua alete habari mpya mpaka sasa anatupa stori za kahawa tu
 
MKAGUZI ALITOA PENDEKEZO (MOJAWAPO)....HATUA ZA NITHAMU ZICHUKULIWE KWA WAFANYAKAZI WOTE WA BoT WALIOHUSIKA NA EPA KWA MUJIBU WA AJIRA...GOV. ANAZIDI KUPEWA LAWAMA....
 
Ado ado!

jamaa bado hajaanza kuzungumzia report ya tume aliyounda, bado anakumbushia yaliyojiri kabla ya sokomoko!
 
Back
Top Bottom