Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Sawa mkuu kama unataka kujua nini maana ya Amri Jeshi Mkuu wa Tanzania... Endelea kusema hivyo, mimi simo!

Anyway... najua umeshaelewa...

..ndio, nimeelewa kuwa hujanielewa.

..chokochoko za zanzibar hazikuanza leo, na hazitakwisha!
 
Duh, maspin docta wameingia humu lakini ni vituko! Kuna mtu wa kumtetea lakini siyo JK he is beyond salvation!!!


kabisa ndugu yangu ..inaelekea wamepewa task kuwa baada ya hotuba waje huku kuangalia respond ipoje..wamekuta mawe!!..wengine watakuwa wametumwa kwenye media houses ili magazeti ya kesho yampe coverage nzuri...lakini ukweli ni kuwa wahariri wengi wanapita huku...na mwelekeo wa hoja hapa

kwa kiasi fulani huchangia mwelekeo wa headlines za kesho....wahesabu maumivu..unless wanapeleka story toka kwa salva ..na bahasha kwenye media kama walivyozoea.
 
Hapa nakuunga mkono ila na wezi wote walio jela na hata wa kutumia silaha nao waachiwe warudi mitaani tuanze upya, yaani nchi safi, maisha mapya hali mpya nguvu mpya kasi mpya.

Hoja nzuri!!!!

1. Haya ni makosa ya kwanza kuitwa makosa kwenye jamii yetu... uliwahi kuwa na EPA nyingine? alafu hii ikawa ya pili?

2. Mwenye akili timamu yeyote anajua huyo aliyefaidika na EPA tayari choka mbaya. hii ni adhabu kubwa sana... kuliko ukimpeleka mtu gerezani... kwa miaka miwili au faini... mil. 5, ambazo huenda ndio ziko kwenye sheria kama adhabu... kumbuka sheria nyingi zina adhabu za juu..... jamaa wangeweka fedha zao kwenye Hisa mfano za NMB. wakitoka kifungo baada ya mwaka au miezi... kwa kuwa hawakutumia silaha misamaha mingi inge-apply kwao... wange-endelea kuwa mamilionea...

Think Big bro.
 
..ndio, nimeelewa kuwa hujanielewa.

..chokochoko za zanzibar hazikuanza leo, na hazitakwisha!


Sawa mkuu ... endelezeni..... mimi simo... lakini ole ole wenu... muweke kwenye kundi la uasi... au kwenye kundi la magaidi...

Naomba Mungu aepushe hayo...

Kumbuka Rais alirudia maneno haya at least mara mbili "Kama munayo hoja yenu nyingine semeni" tena kwa hasira.

Tumalize... Kuelewesha waZanzibar ni kazi... nadhani nimejitahidi... naomba niishie hapo...

Hoja nyingine?
 
Sawa mkuu ... endelezeni..... mimi simo... lakini ole ole wenu... muweke kwenye uasi... au kwenye kundi la magaidi...

Naomba Mungu aepushe hayo...

Tumalize... Kuelewesha waZanzibar ni kazi... nadhani nimejitahidi... naomba niishie hapo...

Hoja nyingine?

..hakuna hoja, au we leo umeona kulikuwa na hoja?
 
Sawa mkuu kama unataka kujua nini maana ya Amri Jeshi Mkuu wa Tanzania... Endelea kusema hivyo, mimi simo!

Anyway... najua umeshaelewa...

..hivi tanzania siku hizi ina amiri jeshi mkuu.......

..kijijini kwetu enzi ya operesheni vijiji tulikuwa na AMIRI MGAMBO MKUU ..alikuwa na nguvu kweli...akiongea yes unajua mwenyekiti wa kijiji kaongea!!!!

LEO INGEPENDEZA KWA KUWA ALIKUWA ANAONGELEA MUUNGANO...BAADHI YA KAULI AZITOE MBELE YA KARUME ....ILI KUTUAMINISHA KUWA HE IS IN CONTROL..INGEKUWA SAFI KAMA LEO ..ANGEONGOZANA NA KARUME .... HII INGESAIDIA SANA...KWA SABABU IKULU HII YA ZANZIBAR NDIO ILIKUWA IKIJIBIZANA KILA SIKU NA PINDA......SASA KWA HILI SUBIRINI KINA SHAMHUNA WAAZE KUMJIBU KIKWETE USONI...STATEMENT ZA IKULU YA ZANZIBAR..
 
..hivi tanzania siku hizi ina amiri jeshi mkuu.......

..kijijini kwetu enzi ya operesheni vijiji tulikuwa na AMIRI MGAMBO MKUU ..alikuwa na nguvu kweli...akiongea yes unajua mwenyekiti wa kijiji kaongea!!!!

LEO INGEPENDEZA KWA KUWA ALIKUWA ANAONGELEA MUUNGANO...BAADHI YA KAULI AZITOE MBELE YA KARUME ....ILI KUTUAMINISHA KUWA HE IS IN CONTROL..INGEKUWA SAFI KAMA LEO ..ANGEONGOZANA NA KARUME .... HII INGESAIDIA SANA...KWA SABABU IKULU HII YA ZANZIBAR NDIO ILIKUWA IKIJIBIZANA KILA SIKU NA PINDA......SASA KWA HILI SUBIRINI KINA SHAMHUNA WAAZE KUMJIBU KIKWETE USONI...STATEMENT ZA IKULU YA ZANZIBAR..

..phil,

..kwa mara nyingine tena, umefafanua vizuri.
 
.ANGEONGOZANA NA KARUME .... HII INGESAIDIA SANA...KWA SABABU IKULU HII YA ZANZIBAR NDIO ILIKUWA IKIJIBIZANA KILA SIKU NA PINDA......SASA KWA HILI SUBIRINI KINA SHAMHUNA WAAZE KUMJIBU KIKWETE USONI...STATEMENT ZA IKULU YA ZANZIBAR..

Heshima Mbele,

Wait 'n' See. Mwanadiplomasia yeyote huanza na maridhiano... mitisho...amri inafuata baadaye kabisa...

Well. Hivi unasahau vipi kwamba Shamhuna ali-miss uNEC wa CCM... hivi atatoka na nini kama wanavyosema vijana wa siku hizi wa bongo flavour... aliona hili ndio la kutokea...

Lakini Rais ana-uhakika kwamba it is something manageable.
 
hoja nzuri!!!!


2. Mwenye akili timamu yeyote anajua huyo aliyefaidika na epa tayari choka mbaya. Hii ni adhabu kubwa sana... Kuliko ukimpeleka mtu gerezani... ...

Think big bro.

...basi ndio maana spika akamwambia akitaka apeleke mapendekezo bungeni wamsaidie kutunga sheria...like anaweza kuomba bunge litunge sheria kuwa..mtu akiiba pesa akisharudisha ..basi hana kosa....ijulikane kwa sasa huu uamuzi wa kikwete wa kuwasamehe mafisadi wanaolipa madeni kwenye akauti ya kufikirika ....na kusamehewa ..wanavunja sheria ..na wala si utawala wa sheria kikwete anaotaka tuamini anautii.....offcourse anajua ikifuatwa sheria nayeye atatajwa!!

..basi afute mahakama ....maana anaingilia kazi yao ya kupanga adhabu..~~!
 
Hoja nzuri!!!!

1. Haya ni makosa ya kwanza kuitwa makosa kwenye jamii yetu... uliwahi kuwa na EPA nyingine? alafu hii ikawa ya pili?

2. Mwenye akili timamu yeyote anajua huyo aliyefaidika na EPA tayari choka mbaya. hii ni adhabu kubwa sana... kuliko ukimpeleka mtu gerezani... kwa miaka miwili au faini... mil. 5, ambazo huenda ndio ziko kwenye sheria kama adhabu... kumbuka sheria nyingi zina adhabu za juu..... jamaa wangeweka fedha zao kwenye Hisa mfano za NMB. wakitoka kifungo baada ya mwaka au miezi... kwa kuwa hawakutumia silaha misamaha mingi inge-apply kwao... wange-endelea kuwa mamilionea...

Think Big bro.

Hawa ni wahujumu uchumi ambao wanaangukia kwenye sheria ya uhujumu uchumi ya mwaka 1984. Adhabu yao ni kifungo na kukabidhiwa majembe ya mkono wayatumie mpaka yaishe.

Wizi ni wizi tu uwe wa EPA ni wizi tu. Kuna tofauti gani kati mwizi wa EPA ambaye ameenda kuchukua fedha ambazo anajua si zake kwa udanganyifu na Jambazi wa kutumia silaha ambaye anaenda kuchukua fedha ambazo si zake pale bank bila kuua mtu mpaka mumbishie kumpa hela ndio analeta madhara.

Je una uhakika gani kuwa hii ndio EPA ya mwanzo, na je kama hawa watu waliweza kuchukua fedha ambazo si zao kwa udanganyifu una uhakika gani wakiendelea kukaa nje hawataleta madhara mengine ya uhujumu uchumi.

Sheria zinawekwa ili kuonya kwa wale wenye malengo hayo na kumfanya aliyefanya kosa ajute na asirudie tena kosa.

unapoleta mfano wa South Africa, Rwanda na Kenya ni mifano isiyo hai na yenye "Negative correlation". Huwezi kusema kwa kuwa rais wa Kenya ni Kenyatta basi na wa Tanzania ni Tanzaniatta". ni vitu viwili tofauti. Hawa ni wahalifu na lazima sheria ichukue mkondo wake, vinginevyo na walio jela waachiwe tuanze upya.
 
Haya!!!!!!! Tumehujumiwa muda wetu kutulia vitini kumsikiliza, Kuacha kazi zetu nyingi kwa ajili ya kusikiliza hotuba tuliyokuwa tuna matarajio makubwa kuwa leo angemwagwa mtu pale. Lakini kama alivyosema Kitila kwamba yeye hakumtegemea afanye lolote, basi sisi tulikosea sana kutegemea kitokee kitu.


Well!!!!!!!!! Hii ni CCM na wala si JK peke yake. Wote wako hivyo


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Kwa hiyo it means kama umeajiri mkata majani ndio moja kati ya zile ajira milln 1.zilizoahidiwa na bwana mkubwa?
 
heshima mbele,

wait 'n' see. Mwanadiplomasia yeyote huanza na maridhiano... Mitisho...amri inafuata baadaye kabisa...

Well. Hivi unasahau vipi kwamba shamhuna ali-miss unec wa ccm... Hivi atatoka na nini kama wanavyosema vijana wa siku hizi wa bongo flavour... Aliona hili ndio la kutokea...

Lakini rais ana-uhakika kwamba it is something manageable.

..ukweli ni kuwa kimkakati uwepo wa karume pale bungeni kwenye hutuba ya leo ungekuwa na impact kubwa sana...nadhani wanamkakati wa jk hawakuliona hili......kuna taarifa kuwa maneno wanayoongea raza na shamhuna ..yana baraka za karume mwenyewe.....uwepo wa karume wakati jk ana make that necessary statement ..could be defined as karume outright distanting himself from such comments....hasa ikizingatiwa kuwa karume hajatoa kauli yeyote kukemea kauli za kejeli za ...kina shamhuna!...........inazidi kupigilia hoja kuwa haya ni maneno ambayo huyaongea kahawani kwenye corridor za ikulu ya zanzibar..kwa pamoja...

Cuf wameungana na ccm zanzibar kumpinga pinda..lakini ijulikane kuwa cuf wapo kimkakati zaidi wakijua kuwa muungano ukivunjiaka ..watakuwa na kazi rahisi sana kuishinda ccm/asp kwa kura au lolote...
 
Si kwamba nafikiri ila naamini huko tunakokwenda kutakuwa kubaya zaidi ya Pakistani. Wananchi hawawezi kuendelea kunyamaza JK na fisadiz wenzake wakiendelea kufilisi nchi. Na inapofika sehemu wananchi wanashindwa kuvumilia mnajua nini kitatokea.

Tumeona na tumewahi kuwasikia viongozi/marais ambao walikuwa wakali na MATAPELI kwa wananchi pamoja na kuwa wezi wa mali za wananchi. Lakini wananchi walipochoka na fedheha hizo waliamua ku-turn the table upside down.

Sasa mie naamini huko ndiko tunakoelekea maana wale waliopewa dhamana inawapendeza kuona wananchi wakifedheheka nchini mwao kwa kukosa mahitaji muhimu kama maji safi, madawa n.k huku wenyewe wakiendelea na u-TP wao.

Siko hapa kuchochea hali yoyote ambayo itaathiri amani nchini kwetu ila nasema ukweli kuwa itakapofika wananchi wakashindwa kumeza vidonge, athari zake zinajulikana.
 
I couldn't expect a statement of this kind from a person like you! ingetoka kwa wale jamaa wengine ningekubali!!!

Let take this as weakness or strength depending on how you take it! Rais hapendi kumfunga mtu ati tu kwa kuwa yeye ni Rais... Ana uvumilivu ana subira na anahakikisha haki inatendeka.

Na amesema kufanya pupa kunaweza kufanya tuwazawadie wahalifu... alichosema... akimfukuza mtu... baada ya siku chache akirudishwa kazini kwa sheria za nchi akiambia serikali ilipe fidia... kwamba huu ni upuuzi....

Tusubiri madikteta wachukua nchi kwa yeye ameelezea vizuri pale alipokuwa amemtaja Dr. Slaa(Kwa utani) kwamba that is not something he will do... ndio maana tuna haki ya kujadili bila kuwaingilia ... na hata wengine wanafika kumtukana Mh. Rais... huu ni upuuzi.


Kasheshe, mojawapo ya matatizo ya utumishi Tanzania ni haya ya kushindwa kuwa na utaratibu wa kumfukuza mtu at will. Kuna ajira ambazo watu waajiriwe at will akiamua kuacha ana acha bila gharama yoyote na mtu akiamua kumfukuza anamfukuza. Italeta discipline.

Huu woga ati ukimfukuza atakimbilia mahakamani ni woga usio na msingi; Sijapendekeza kitu ambacho hakiko kwenye sheria. Tunaposema kuwa mtu anafanya kazi at the pleasure of the president hata aende mahakamani hana kesi. Leo hii Kikwete akiamua kumtimua Waziri halafu Waziri aende mahakamani ati kaonewa?

Leo hii Rais akimfukuza mwandishi wake au mshauiri wake ambaye yeye amemteua na anafanya kazi at his pleasure akimfukuza huyo mshauri aende mahakamani? labda njozini. Rais asiye na nguvu au uwezo wa kisheria wa kumtimua mtu aliyempa ajira bila kuogopa mahakama ni Rais mvivu na dhaifu. Kama hana nguvu hizo angehakikisha anakuwa nazo. Na my argument ni kuwa anazo.

Angalia ibara hii hii ya Katiba:

36.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika
Katiba hii na ya sheria nyingine yoyote, Rais atakuwa na
mamlaka ya kuanzisha na kufuta nafasi za madaraka ya namna
mbalimbali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

(2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika
nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za
idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika
kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika
utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo
zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali
zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi
unaofanywa na Rais.

(3) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (2), masharti
mengineyo yaliyomo katika Katiba hii na ya sheria yoyote
inayohusika, mamlaka ya kuwateua watu wengine wote
wasiokuwa viongozi wala watendaji wakuu, kushika nafasi za
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, na pia mamalaka ya kuwapandisha vyeo watu hao, kuwaondoa katika madaraka, kuwafukuza kazi na mamlaka ya kudhibiti nidhamu ya watu waliokabidhiwa madaraka, yatakuwa mikononi
mwa Tume za Utumishi na mamlaka mengineyo yaliyotajwa na
kupewa madaraka kuhusu nafasi za madaraka kwa mujibu wa
Katiba hii au kwa mujibu wa sheria yoyote inayohusika.

(4) Masharti ya ibara ndogo ya (2) na ya (3) hayatahesabiwa
kuwa yanamzuia Rais kuchukua hatua za kudhibiti nidhamu ya
watumishi na utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano
.

Sasa utaona kuwa kuna nafasi ambazo Rais anaweza kuzijaza na nyingine ambazo zinajazwa na vyombo vingine; lakini katika yoyote yale kipengele cha 4 ni muhimu sana. Kuwa Rais hazuiwi na vipengele vya 2 na 3 kudhibiti nidhamu ya "watumishi na utumishi katika serikali ya Jamhuri ya Muungano".
 
Wengine tunajadili hoja! Njoo kwa hoja achana na viroja!!!

Naomba nikusahihishe Bwana Kasheshe maana uko busy sana ukichapa positive spin ni VIOJA siyo VIROJA. Ukirudi nyuma kidogo unaweza kuona niliandika that I have nothing to say maana hata kujadili this so-called hotuba ni kupoteza muda.

Mi nawa-admire tu ma-spin doctors. Hongereni kwa kujaribu kuokoa jahazi.
 
Hoja nzuri!!!!

1. Haya ni makosa ya kwanza kuitwa makosa kwenye jamii yetu... uliwahi kuwa na EPA nyingine? alafu hii ikawa ya pili?

are you kidding me? yaani haya ni makosa ya kwanza kuitwa makosa kwenye jamii yetu? Unakumbuka kesi ya Simbaulanga?

2. Mwenye akili timamu yeyote anajua huyo aliyefaidika na EPA tayari choka mbaya. hii ni adhabu kubwa sana... kuliko ukimpeleka mtu gerezani... kwa miaka miwili au faini... mil. 5, ambazo huenda ndio ziko kwenye sheria kama adhabu... kumbuka sheria nyingi zina adhabu za juu..... jamaa wangeweka fedha zao kwenye Hisa mfano za NMB. wakitoka kifungo baada ya mwaka au miezi... kwa kuwa hawakutumia silaha misamaha mingi inge-apply kwao... wange-endelea kuwa mamilionea...

Kasheshe sheria lazima ifuatwe siyo kwa sababu ya convenience bali ni kwa sababu ni sheria. Vinginevyo tunahalalisha watu kujichukulia sheria mikononi mwao kwa sababu wanajua adhabu itakayotolewa ni ndogo. Tunaposema sheria ni msumeno maana tukubali inaweza kukata pande zote. Haiwezekani tukimbilie mahakamani pale tunapoona sheria iko upande wetu lakini pale ambapo haipo hatuendi.

Kutokwenda mahakamani kumedhihirisha jambo moja kuwa serikali haina kesi dhidi ya watu wa EPA. Kosa la kughushi ni kosa ambalo kuna watu wanasota leo lupango; na inajulikana kuwa Kagoda walighushi nyaraka na wakachotewa bilioni 40. Kwanini Kagoda hawakupelekwa mahakamani kwa kosa la kughushi? Serikali haitaki kwenda mahakamani kwa sababu ikienda ushahidi utawekwa wazi na watu watahojiwa hadharani, na majina yatatajwa!!!! Si kwa sababu inaogopwa kiwango cha adhabu.
 
Heri wangetuambia hii ni speech ya kuandaa mazingira mazuri kwa waheshimiwa watakao hudhuria harusi ya mwanae hapo weekend ikiwadia. Maana EL kasafishwa na mafisadi wamelindwa.............

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom