MAJANI YA KUNDE
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 213
- 37
Kama Hatuba haifai ,haifai tu hata mkiandamana kuiungabado hamtabadilisha iwe nzuri.
Binafsi ninhekuwa mie ni muungwana ningeiunga mkono hotuba na shukurani ya Spika wa BUNGE kwani ndo ilibeba dhana halisi ya yale ambayo Rais alipaswa kuwaambia Watanzania.
Hivi nyie mnaosimama kidete na kuandaa maandamano ni watanzania wenzetu mnaoishi kwa mlo wa kubahatisha au ndo mamluki mlowekwa madarakani ili kuendeleza propaganda zao, maisha yanazidi kuwa magumu.utawala wa sheria umepotea.
Mahakama zimebaki kuwa za akina Ramadhani na vibaka wadogo wadogo, huku mafisadi wakigongewa milango na kubembelezwa waamke watoe jibu kama wanaweza kurudisha lini hela, bado mnaandamana kuipongeza Hotuba hiyo kweli wanaomsuport Mugabe ni wale wanaoshiba mgongoni kwake.
Binafsi ninhekuwa mie ni muungwana ningeiunga mkono hotuba na shukurani ya Spika wa BUNGE kwani ndo ilibeba dhana halisi ya yale ambayo Rais alipaswa kuwaambia Watanzania.
Hivi nyie mnaosimama kidete na kuandaa maandamano ni watanzania wenzetu mnaoishi kwa mlo wa kubahatisha au ndo mamluki mlowekwa madarakani ili kuendeleza propaganda zao, maisha yanazidi kuwa magumu.utawala wa sheria umepotea.
Mahakama zimebaki kuwa za akina Ramadhani na vibaka wadogo wadogo, huku mafisadi wakigongewa milango na kubembelezwa waamke watoe jibu kama wanaweza kurudisha lini hela, bado mnaandamana kuipongeza Hotuba hiyo kweli wanaomsuport Mugabe ni wale wanaoshiba mgongoni kwake.