Acha kulalamika tupo kwenye dunia ya kibepari maendeleo yako binafsi yapambanie mwenyewe nchi kama China na India zina uchumi mkubwa lakini lalahoi wapo.Unareflect nn kwenye maisha yako ya kila siku huo uchumi? Zao la nchi karibu 80% linalambwa watu wasiozidi 1000 wa sisiemu we unasifia mijidata ya mtandaoni
Mimi sipo kwenye chama chochote. Ila ukweli ndo huo tupo kwenye dunia ya survival for the fittest. S.A ni ya pili kiuchumi Africa ila bado kuna watu wanaishi kwenye macontainer.Utakua mccm ww ushapambana na kupata mgao, sawa Ngoja nijaze fomu za uvccm Kiongozi niingie inner circle
Unazungumzia utajiri wa raslimali au utajiri wa miundombinu na uchumiSouth Africa iliendelezwa tangia muda na wakaburu na pia imetawaliwa muda mrefu na waingereza kwahiyo ilipewa headstart na hao watu.
Raslimali ghafiUtajiri upi wa Congo na Tanzania Madini?
Utashangaa wananchi wake wana njaa? uongo bab..!Tanzania imetajwa moja ya nchi kumi bora zenye uchumi mzuri, utajiri na pato la Taifa ikiziacha nchi nyingi za Afrika.View attachment 3257238
Tangu lini ikawa hivyo?Tanzania ni nchi ya pili Africa kua natural resources baada ya Africa kusini
Njaa kama yote lakini pia shangaa Ethiopia wametuzidi lakini kila kukicha wananchi wanakimbia nchi yao wanakamatwa kupitia Tanzania yetuUtashangaa wananchi wake wana njaa? uongo bab..!
Ya kwanza Brazil inafuatiwa na Tanzania angalia gap kati hapo na uakisi maisha halisi ya mwananchi na yasemwayo "nasema uongo jamani" naikumbuka sana hii sauti daaaahTangu lini ikawa hivyo?
Sema la moyoni Wakili wako msomi nimerejeaNgoja nikae kimya
Ethiopia haijawahi kuizidi TzNjaa kama yote lakini pia shangaa Ethiopia wametuzidi lakini kila kukicha wananchi wanakimbia nchi yao wanakamatwa kupitia Tanzania yetu
SawaEthiopia haijawahi kuizidi Tz
Outdated data chatGPT kapuyanga,nchi yenye uchumi ukubwa kwa sasa Africa ni Egypt,ikifuatiwa na Nigeria na South Africa kwenye nafasi ya tatu na Tz ;i ya tisaView attachment 3257256
Chat gpt hiyo.