Tanzania nchi kumi bora utajiri na uchumi Afrika

Tanzania nchi kumi bora utajiri na uchumi Afrika

Unareflect nn kwenye maisha yako ya kila siku huo uchumi? Zao la nchi karibu 80% linalambwa watu wasiozidi 1000 wa sisiemu we unasifia mijidata ya mtandaoni
Acha kulalamika tupo kwenye dunia ya kibepari maendeleo yako binafsi yapambanie mwenyewe nchi kama China na India zina uchumi mkubwa lakini lalahoi wapo.
 
Utakua mccm ww ushapambana na kupata mgao, sawa Ngoja nijaze fomu za uvccm Kiongozi niingie inner circle
 
Utakua mccm ww ushapambana na kupata mgao, sawa Ngoja nijaze fomu za uvccm Kiongozi niingie inner circle
Mimi sipo kwenye chama chochote. Ila ukweli ndo huo tupo kwenye dunia ya survival for the fittest. S.A ni ya pili kiuchumi Africa ila bado kuna watu wanaishi kwenye macontainer.
 
Njoo field Sasa ndo utajua kwanini ngiri huwaga anakimbia mwendo ule.
 
South Africa iliendelezwa tangia muda na wakaburu na pia imetawaliwa muda mrefu na waingereza kwahiyo ilipewa headstart na hao watu.
Unazungumzia utajiri wa raslimali au utajiri wa miundombinu na uchumi
 
Utashangaa wananchi wake wana njaa? uongo bab..!
Njaa kama yote lakini pia shangaa Ethiopia wametuzidi lakini kila kukicha wananchi wanakimbia nchi yao wanakamatwa kupitia Tanzania yetu
 
Back
Top Bottom