Tanzania: Nchi pekee inayoshiriki michuano ya AFCON ambayo Television ya Taifa lake haioneshi michuano hiyo

labda wamepanga kutufanyia surprise. wanasubiri dakika chache mpira kuanza, ndio watatangaza kuwa wanaonyesha.
 
television ya taifa ni ipi?
 
TBC ya Tido ilionyesha mpk EPL, japo game 1 kwa wiki!
 
Chadema raha sana,TBC wakionesha wao hawaangalii. Ahahahaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…