Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,139
- 707
Angaliaga na GDP za watu Rwanda ni Landlocked Umeme wao kwa asilimia kubwa unatumia Diesel ambayo lazima isafirishwe kupitia Dar au Msa.
Iko siku utasema tumsifie Mama kwa sababu anapigia Colgate Raisi wa Somalia apigia mswaki wa mti.
Mnatuona wajinga sana
Watu wataenda kununua kiwese Zambia huko. Na naanzaje kujilinganisha na Rwanda
Amen, Mungu mbariki SamiaMungu ibariki Tanzania
Ni bora afanye yeye mwenyewe kwani inawezekana sijamuelewa vyema katika hizo data alizotoa,
Kwahesabu za (unit Kwhr), kwa kila nchi hesabu inakuwa hivi:-
1---Rwanda 0.258 kwhr --- Tsh 567.6
(kwa 1kwhr=Tsh 2,200.)
2----Kenya 0.212 kwhr----Tsh466.4.
(Kwa 1kwhr =Tsh, 2200)
3---Uganda 0.191 kwhr ----Tsh 420.
(Kwa 1kwhr=Tsh2,198)
4----Tz 0.099 kwhr---Tsh217.8
Kwa 1 kwhr= Tsh 2,200
Ndio maana nikataka yeye mwenyewe atoe ufafanuzi wa hicho alichoandika kwani simuelewi, kwani nijuavyo hapa Tz unit 1 (1kwhr) ni karibu Tsh 355.
Naona chapa yako ya CCM ikianzia na CM 177…Kuna mambo mengi ya kulinganisha hadi useme nchi moja ni bei nafuu kuliko nyingine manake shilling 100 Rwanda thamani yake ni tofauti na Burundi au nchi nyingine. Tusifanye direct comparisons kuna mengi mengine ya kulinganisha.Wasalaam JMT,
.........Kazi iendelee .........
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada Tanzania kutajwa kuwa nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda 0.258kWh au TZS 567,6
2.Kenya 0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda 0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania 0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme anaotumia Mtanzania kwa siku mbili akienda Rwanda, Kenya au Uganda atatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani nchi yetu iko vizuri Sana,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana tusijidharau wala kujilalamikia God loves us "
VIVA TANZANIA VIVA | VIVA SAMIA VIVAElectricity prices around the world | GlobalPetrolPrices.com
.table-container { width: 100%; max-width: 800px; margin: 0 auto; font-family: Arial, sans-serif; } table { width: 100%; border-collapse: collapse; margin: 0; } th { background-color: #f9f9f9; border-top: 1px solid lightgray; border-bottom: 1px solid...www.globalpetrolprices.com
View attachment 1954959
Naona siku hizi hata PM hapewi heading ya kutosha kama kuna mkakati fulani hivi wa makusudi ..
Lazima tuone juhudi za serikali ya Rais SAMIA
Soma hiyo attachment bei zote ziko kwenye US$ ,Naona chapa yako ya CCM ikianzia na CM 177…Kuna mambo mengi ya kulinganisha hadi useme nchi moja ni bei nafuu kuliko nyingine manake shilling 100 Rwanda thamani yake ni tofauti na Burundi au nchi nyingine. Tusifanye direct comparisons kuna mengi mengine ya kulinganisha.
Unachoweza kufanya na 1U$ Rwanda ni tofauti na unachoweza kufanya Tanzania kwa hela hiyo hiyo.Soma hiyo attachment bei zote ziko kwenye US$ ,
Alichofanya ni kuzibali kuwa TZS kama standard yake
Mungu ibariki Tanzania,Wasalaam JMT,
.........Kazi iendelee .........
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada Tanzania kutajwa kuwa nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda 0.258kWh au TZS 567,6
2.Kenya 0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda 0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania 0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme anaotumia Mtanzania kwa siku mbili akienda Rwanda, Kenya au Uganda atatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani nchi yetu iko vizuri Sana,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana tusijidharau wala kujilalamikia God loves us "
VIVA TANZANIA VIVA | VIVA SAMIA VIVAElectricity prices around the world | GlobalPetrolPrices.com
.table-container { width: 100%; max-width: 800px; margin: 0 auto; font-family: Arial, sans-serif; } table { width: 100%; border-collapse: collapse; margin: 0; } th { background-color: #f9f9f9; border-top: 1px solid lightgray; border-bottom: 1px solid...www.globalpetrolprices.com
View attachment 1954959
Nilichogundua walalamishi wengi hawana data za kutosha na taarifa sahihi kiasi cha kuweza kulinganisha kinachoendelea nchini na nje ya nchi.
Wakiambiwa fact wanabaki kubishana tu.... hongera sana CM 1774858 kwa kubainisha hayo.
Tuko vizuri SanaMungu ibariki Tanzania,
Kumbe Tanzania tuko vizuri Sana tu
Naona kina Makamba & company mnaanza kutuandaa kisaikolojia.
Mwee! Mungu anawaona!
naona ndo umetumwa kuzuia lawama ztu.Wasalaam JMT,
.........Kazi iendelee .........
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada Tanzania kutajwa kuwa nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda 0.258kWh au TZS 567,6
2.Kenya 0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda 0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania 0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme anaotumia Mtanzania kwa siku mbili akienda Rwanda, Kenya au Uganda atatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani nchi yetu iko vizuri Sana,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana tusijidharau wala kujilalamikia God loves us "
VIVA TANZANIA VIVA | VIVA SAMIA VIVAElectricity prices around the world | GlobalPetrolPrices.com
.table-container { width: 100%; max-width: 800px; margin: 0 auto; font-family: Arial, sans-serif; } table { width: 100%; border-collapse: collapse; margin: 0; } th { background-color: #f9f9f9; border-top: 1px solid lightgray; border-bottom: 1px solid...www.globalpetrolprices.com
View attachment 1954959
Naona chapa yako ya CCM ikianzia na CM 177…Kuna mambo mengi ya kulinganisha hadi useme nchi moja ni bei nafuu kuliko nyingine manake shilling 100 Rwanda thamani yake ni tofauti na Burundi au nchi nyingine. Tusifanye direct comparisons kuna mengi mengine ya kulinganisha.
naona ndo umetumwa kuzuia lawama z
Unafahamu vizuri maana ya exchange rate?Unachoweza kufanya na 1U$ Rwanda ni tofauti na unachoweza kufanya Tanzania kwa hela hiyo hiyo.
Asante kwa ufafanuzi mzuriSoma hiyo attachment bei zote ziko kwenye US$ ,
Alichofanya ni kuzibali kuwa TZS kama standard yake