Tanzania ndio nchi yenye mzigo mdogo wa deni Afrika Mashariki kwa sasa

Tanzania ndio nchi yenye mzigo mdogo wa deni Afrika Mashariki kwa sasa

Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Kama kutokukopa ni sifa, basi apewe sifa JPM kwa kukopa kidogo sana.
Na kama kukopa ni sifa, basi muda sio mrefu Hangaya atapewa medali ya dhahabu.

Kushindana kukopa bila kusimamia vyema malengo na matumizi ya hizo fedha ni upumbavu.
 
Safi sana Rais Samia tunakupenda sana na tuko pamoja na ww,
Viva SAMIA
 
Kwa hiyo nchi utaendelea kwa kufanya mradi mmoja mmoja?
Kijana kasome opportunity cost kwenye economics, tatizo ni pale laymen mnataka kuchangia masuala ya uchumi, Ile ni taaluma sio ujuaji.

Kajifunze pia masuala ya competitive advantage na comparative advantage. Ukielewa utajua kwanini kuna nchi ilispecialize kwenye mafuta ya mawese tu na wamekua nchi yenye uchumi wa juu, kuna Macau wame specialize kwenye betting na gaming industry na uchumi wao umepaa. Kuwekeza kwenye mambo 10 kwa mkupuo sio kigezo cha mafanikio ila EFFICIENCY ni muhimu.

Tunaweza kuamua tufanye Bwawa la Nyerere au Mradi wa Gesi moja uanze Ili kusave gharama yote inafanyika ila kwa kuachiana pumzi. Sasa sisi tunapambana tujenge SGR hapo hapo bwawa la Nyerere hapo hapo Bado Dodoma nayo Bado inajengwa maofisi na majumba ya watumishi!! Uchumi hauendeshwi hivyo, ikitokea any stagnation kwenye inflows (Mfano Covid ikirudi) Ina maana uchumi unaporomoka Mazima.
 
Kijana kasome opportunity cost kwenye economics, tatizo ni pale laymen mnataka kuchangia masuala ya uchumi, Ile ni taaluma sio ujuaji.

Kajifunze pia masuala ya competitive advantage na comparative advantage. Ukielewa utajua kwanini kuna nchi ilispecialize kwenye mafuta ya mawese tu na wamekua nchi yenye uchumi wa juu, kuna Macau wame specialize kwenye betting na gaming industry na uchumi wao umepaa. Kuwekeza kwenye mambo 10 kwa mkupuo sio kigezo cha mafanikio ila EFFICIENCY ni muhimu.

Tunaweza kuamua tufanye Bwawa la Nyerere au Mradi wa Gesi moja uanze Ili kusave gharama yote inafanyika ila kwa kuachiana pumzi. Sasa sisi tunapambana tujenge SGR hapo hapo bwawa la Nyerere hapo hapo Bado Dodoma nayo Bado inajengwa maofisi na majumba ya watumishi!! Uchumi hauendeshwi hivyo, ikitokea any stagnation kwenye inflows (Mfano Covid ikirudi) Ina maana uchumi unaporomoka Mazima.
Naona Mbowe akili zimekurudi,,comment ya kizalendo hii
 
Kinacho

Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,

Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,

RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.

Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.

Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.

Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.

Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.

Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."

#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Kinacho ongea ni Asali mzee,kumbuka Kuna darasa la wajinga wa kwanza akipata alama 15 na wa pili 10 na wa tatu alama 5 kati ya mia % Kuna mwenye akili hapo ww unatuletea clip za walamba asali hapa.
 
Kinacho

Kinacho ongea ni Asali mzee,kumbuka Kuna darasa la wajinga wa kwanza akipata alama 15 na wa pili 10 na wa tatu alama 5 kati ya mia % Kuna mwenye akili hapo ww unatuletea clip za walamba asali hapa.
Kinacho

Kinacho ongea ni Asali mzee,kumbuka Kuna darasa la wajinga wa kwanza akipata alama 15 na wa pili 10 na wa tatu alama 5 kati ya mia % Kuna mwenye akili hapo ww unatuletea clip za walamba asali hapa.
Nadhani ungekuja na hoja za ama kukanusha ama kukubli, Mambo ya walamba asali sijui walamba sukari ni dalili za kukosa hoja,

Ufafanuzi huu ni mkubwa Sana,
 

Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,

Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,

RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.

Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.

Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.

Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.

Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.

Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."

#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Sukuma gang na Chadomo watapinga 😂😂
 
Tatizo sio kukopa ila hiyo mikopo kama nchi inanufaikaje? Au ndio zinaishia kulipana posho za safari, vikao na mishahara?

Mpaka sasa mama ameshakopa karibia tr 10. Ila haiendani na thamani ya hiyo miradi anayokopea. Hapo ndipo changamoto. Hao wengine tusijifananishe nao sababu kwao maendeleo yanaonekana.
Sasa kama hufuatilii ulitegemea serikali ikuletee taarifa chumbani kwako?

Taarifa ziko wazi fuatilia matumizi yake.
 
Tena hata hiyo 31% sio sahihi kwa Tanzania kwa sababu Tanzania bado haijafanya update ya GDP yetu kiuhalisia..

Bado tunatumia figures za enzi za JK za dola bil.63 kitu ambacho sio sahihi..

Hata hivyo Waziri wa Fedha Amesema wameitiaha hao jamaa wafanye tathmni ya kina ya ukubwa wa Uchumi na deni letu.
 
Tena hata hiyo 31% sio sahihi kwa Tanzania kwa sababu Tanzania bado haijafanya update ya GDP yetu kiuhalisia..

Bado tunatumia figures za enzi za JK za dola bil.63 kitu ambacho sio sahihi..

Hata hivyo Waziri wa Fedha Amesema wameitiaha hao jamaa wafanye tathmni ya kina ya ukubwa wa Uchumi na deni letu.
Nakuamini Sana ndg yangu the Sunk
 
Kama kutokukopa ni sifa, basi apewe sifa JPM kwa kukopa kidogo sana.
Na kama kukopa ni sifa, basi muda sio mrefu Hangaya atapewa medali ya dhahabu.

Kushindana kukopa bila kusimamia vyema malengo na matumizi ya hizo fedha ni upumbavu.
JPM alikopa TZS 29trl kwa miaka mitano, Kikwete alikopa 32trl kwa miaka 10
 
Kwani kuingia kwenye mkwamo ni bin vuu, Huwa ni taratibu tu deni Lina afya tuendelee kukopa itafikia kikomo mjue hilo
 
Back
Top Bottom