Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
😁Trl 7 zisizo na riba
Hizo ni fix za wanasiasa.
Kwa uelewa wako ina maana mikopo ya maraisi waliopita wote ilikuwa na riba isipokuwa ya awamu hii!?
Mwigulu sio mtu mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁Trl 7 zisizo na riba
Halilipwi?Kwani kuingia kwenye mkwamo ni bin vuu, Huwa ni taratibu tu deni Lina afya tuendelee kukopa itafikia kikomo mjue hilo
Safi Sana Tanzania, We proud of you Mama Samia
Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,
Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,
RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.
Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.
Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.
Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.
Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."
#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Hakika Mama anaonesha njiaSaf
Safi Sana Tanzania, We proud of you Mama Samia
yes, factJPM alikopa TZS 29trl kwa miaka mitano, Kikwete alikopa 32trl kwa miaka 10
Kazi na iendelee, KAFULILA JEMBE
Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,
Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,
RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.
Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.
Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.
Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.
Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."
#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Kukopa kutakuwa na maana tu mali za viongozi na watoto wao zitatangazwa gazetini na vyombo vingine vya umma.Baada ya hapo,tuone uzalishaji unaongezeka,na bei vitu vinavyotokana na raslimali zetu km gesi,cement,mbolea.nk ZIKIPUNGUA
Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,
Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,
RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.
Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.
Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.
Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.
Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."
#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Wanasiasa wanapotaka jambo flani huwa hawana aibu kabisa.David Kafulila unafanya kazi nzuri sanaaaaa
Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,
Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,
RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.
Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.
Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.
Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.
Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."
#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.
Issue sio umekopa hata wa 99 percent ya GDP sio kitu kikubwa
Issue hicho ulichokopa ulikopeleka pesa kwaweza paisha GDP ? Baada ya hizo pesa umepata?
Takwimu za Kafulila zinaangalia tu percent ya mikopo kwa GDP pekee bila kuingia kuna kuwa waweza kupa asilimia 100 ya GDP yako na sababu kuna grace period ya Miaka mingi toka uchukue mkopo kama umeutumia vizuri GDP itapanda na ku service mkopo una service vizuri tu
Sio sahihi ku judge mkopo kwa kuangalia ti percentage yake to Current GDP ni u Layman! Impact ya loan haionekani kwenye Current GDP!! But future GDP after completion of Grace period
Unatakiwa kutafsiri sio tu kuangalia ratio za hesabu za takwimuDENI/GDP ndio ratio ya kimataifa, wewe unasemaje watu wasifanye comparison
Yote haya uonesha Rais Samia Suluhu hafanyi kazi kwa bidiiUnatakiwa kutafsiri sio tu kuangalia ratio za hesabu za takwimu
Mfano nchi maskini duniani ni Burundi kuwa wanaishi chini ya dola moja kwa siku wakati hakuna homeless kama Marekani na asubuhi wanakula milo mitatu kwa siku ya vyakula toka mashamba yao tena fresh ambavyo mmarekani au Ulaya hawezi afford chakula fresh direct toka shambani
Nenda ulaya na Marekani chakula fresh iwe matunda au mboga hata kama umetoka Burundi kule utakula junk food wakati Burundi unakula fresh vegetable na fresh fruits direct kutoka shamba
I couldn't agree more. Kuwa na correct data ni kitu kimoja, na kuweza kuzichanganua vyema kuleta maana ni jambo lingine kabisa lenye kuhitaji utaalamu mkubwa sana.Issue sio umekopa hata wa 99 percent ya GDP sio kitu kikubwa
Issue hicho ulichokopa ulikopeleka pesa kwaweza paisha GDP ? Baada ya hizo pesa umepata?
Takwimu za Kafulila zinaangalia tu percent ya mikopo kwa GDP pekee bila kuingia kuna kuwa waweza kupa asilimia 100 ya GDP yako na sababu kuna grace period ya Miaka mingi toka uchukue mkopo kama umeutumia vizuri GDP itapanda na ku service mkopo una service vizuri tu
Sio sahihi ku judge mkopo kwa kuangalia ti percentage yake to Current GDP ni u Layman! Impact ya loan haionekani kwenye Current GDP!! But future GDP after completion of Grace period!!
Wale wanaopiga kelele kwamba Tanzania tunakopa na tumekopa Sana msikilize huyu Mwamba vizuri ndio utaelewa kwanini Mungu alimleta Rais Samia wakati huu,
Mkuu wa mkoa wa Simiyu akihojiwa na kituo cha redio cha E-FM amedadavua kwa undani Sana swala hili la deni la Taifa,
RC Kafulila anasema "tuangalie mjadala kuhusu ukubwa wa deni na afya ya kukopa.
Nianze kwa angalizo tu kwamba masuala ya kupima ukubwa wa deni na afya ya uchumi wa nchi kukopa ni sayansi ya uchumi na zipo kampuni 75 kimataifa (Global Credit Rating Agency). Maarufu ni3( MOODY'S, S&P na Fitch) ambazo zinamiliki zaidi ya 90% ya kazi hizi duniani.
Lakn kubwa kuliko zote ni MOODY'S. Ambayo inamiliki karibu 45% . Kwa mujibu wa Ripoti ya MOODY'S ya Agust30,2021, Tanzania imepewa daraja la B2 (stable) kwa afya yake ya kukopesheka( creditworthiness) ikiwa juu ya Kenya, Namibia, Msumbiji, Ghana, Ivorycoast, Senegal na nchi nyingi ukanda wa kusini, mashariki na magharibi ya Afrika.
Taasisi hii ya MOODY'S inapima uchumi wa USA, nchi za Ulaya, Asia na kote duniani, inatupa daraja hilo, ni kielelezo kwamba tupo imara na thabiti ktk usimamizi wa deni na uchumi.
Bank ya Dunia Juni2022, tathimini yake imeonesha mzigo wa deni kwa uchumi (GDP), Tanzania ni 31% wakati Kenya ikiwa na mzigo mkubwa wa 64% huku Rwanda 49.8% na Uganda 49.7%.
Nikweli deni ni changamoto kwa nchi nyingi za Afrika. Lakn bado afya ya Tanzania eneo hilo inaonekana imara kwa ulinganisho huo na vipimo vya taasisi zinazoheshimika kwa weledi wa kupima mambo haya dunaini."
#Tanzania tuko vizuri Sana, hongera Rais Samia, asante Kafulila kwa kulifungua Taifa kimtazamo.