joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #261
Muulize Trump.Kwhyo ni uongo mass testing ndio imeifanya USA kuwa na idadi ya watu wengi wa corona[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo ni uongo mass testing ndio imeifanya USA kuwa na idadi ya watu wengi wa corona[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu USA ndio mlikua mnaitumia kama nchi ya mfano na iliyokua mfano katika " mass testing". Mtalazimika kutafuta nchi zingine zenye kufanya " mass testing" kuwa benchmark yenu, ila itakua vigumu sana kuzipata kwasababu duniani kote wameacha kufanya hiyo ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]Ukitaka wakenya wakuamini chochote hata kama ni uongo.. Mtume mzungu akawaambie [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimelisema hili tangu tunaanza kuzungumza kuhusu Corona, ila kwasababu amesema Trump, ninaamini sasa mtaamini, ninyi wazungu kwenu ni zaidi ya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni matumaini yangu kwamba mtapunguza kukurupuka na kuiga bila kutumia akili.
Km ulivyokurupuka na kushindwa kuelewa kwann wamarekani wanaongoza kwa idadi ya maambukizi...Ni matumaini yangu kwamba mtapunguza kukurupuka na kuiga bila kutumia akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hamna akili ninyi. Watu wanapambana kupunguza maambukizi, ninyi mnapambana kujua idadi ya maambukizi, wajinga wakubwa ninyi.Km ulivyokurupuka na kushindwa kuelewa kwann wamarekani wanaongoza kwa idadi ya maambukizi...
Usijali, dozi haijaisha rudi tena baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]
Baada ya kuona umekalia kuti kavu sasa umeanza kurukaruka sio[emoji122][emoji122][emoji122]Hahahaha, hamna akili ninyi. Watu wanapambana kupunguza maambukizi, ninyi mnapambana kujua idadi ya maambukizi, wajinga wakubwa ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hovyo kabisa ninyi.Baada ya kuona umekalia kuti kavu sasa umeanza kurukaruka sio[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
How does it work? Is it by spraying OH or UV rays?
hata sijui pitia www.crystalmms.co.tzHow does it work? Is it by spraying OH or UV rays?
Bro, hiyo site hata index page hawajaiweka.hata sijui pitia www.crystalmms.co.tz
But this one was already reported, the issue with kenyans was he wasnt given a decent burialHivi ni kweli media inapaswa kuripoti kila kitu kwa namna hii? Mbona mazishi yako hivi nchi zilizoendelea kutokana na hali halisi ya maambukizi ? angalieni huko Kenya watu wakiuguliwa watakuwa hawatoi ripoti serikalini
what decent burial? Umeona nchi zilizoendelea wanavyozika waliokufa na corona? they cremate them! I dont see difference a reason i see at time media needs to stop instigating the mass from not abiding the set procedures! Si kila kitu kiripotiwe na kuamsha emotions kipindi cha COVID19! watu wataacha kuripoti wagonjwa wa Corona!But this one was already reported, the issue with kenyans was he wasnt given a decent burial
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....