Povuuuuuuuu, wivuuuuuuuuuuuuuuu!!!! π π π π π π Nyi hata hamjui idadi kamili walio na corona ndani ya nchiAcheni ujinga ninyi, katika vita shujaa ni MTU anayeongoza kuoatikana kwa ushindi, katika hivi vita vya Corona, Kenya ni " very bad example and total failure " ukilinganisha na nchi zingine katika eneo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye vita vya corona marekani, msikilize DR. Fauci ambaye ndo anaongoza vita didhi ya corona, usimsikilize Trump jamaa ambaye alisema chloroquin inatibu corona...... Marekani haijaacha kufanya mass testing, infact, huko marekani, vita vya corona vinaendeshwa na ma gavana wa majimbo ya marekani, Trump hana uwezo wowote wa kuamuru jinsi vipi jimbo la marekani litapigana na corona!Marekani iliyokua inafanya "mass testing " imeamua kuacha baada ya kuona haisaidii kitu kila siku idadi ya watu wenye kuambukiza virusi na vifo inaongezeka, kama " mass testing inasaidia" basi USA isingefikia hapo ilipofikia sasa hivi, Trump ameona haina maana ameamua kusimamisha hilo zoezi.
Museven wa Uganda pia alisema "mass tesing" ni upuuzi, akaamua kuweka nchi yake katika " lockdown ", sasa hivi hakuna tena visa vipya Uganda.
Kenya ninyi kwasababu ya ujinga wenu na akili zenu mbovu, hamjui nini mnataka, kila siku lazima kuna visa vipya vya maambukizi, Kenya hali itaendelea kuwa mbaya siku hadi siku hadi mtakapiacha ujinga wenu na kuanza kuchukua hatua thabiti kama za Rwanda na Uganda. Mnapoteza muda wenu kwa kupima na kutangaza bila kuchukua hatua muhimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nchi zengine zimesifiwa hapo ndani ya ripoti, wacha visingizio, hakuna mahali TZ imetajwa pazuri hapo ndani ya ripoti π π π NA WB wenyewe wamesema hatahawakuongelea kuhusu Tanzania!Km ni kweli this report is from WB, basi kuna namna hapa co bure, yawezekana hyo sentence ya kuitaja Tz ilikuwepo but wakubwa wakaiona wakailaumu so now km kujikosha flani hv [emoji3][emoji3][emoji3] kweli Tz kwa sasa ni baba laoo
Mbona nyinyi hamkuweka link ya WB mliposema Tanzania imesifiwa ya WB.... sahii vile WB imewakana ndo mnataka official source π π π π πKama kweli hio statement imetoka WB mbona hauweki link badala inaleta screenshot?
Weka link ya WB hapa ili tuamini kama sio Fake News!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama testing hazifanyika hao wamejukikana vipi kuwa wana virusi vya corona?Sisi tunasema hamfanyi testing! kama unabisha leta takwimu za testing ngapi mmefaanya so far!
Hao wamejulikana baada ya kuonyesha symtomps za Corona...... Zaidi ya 50% ya wanaopatwa na corona wako na mild symptoms au hawana Symtops kabisa lakini bado wanakua carriers wa ugonjwa na wanaendelea kuusambaza..... Geuza matusi mtoto wa mama, hilo moja limepoteza nguvu.Sasa kama testing hazifanyika hao wamejukikana vipi kuwa wana virusi vya corona?
Akili fupi kama sabuni za lodge.
Sasa wewe mjinga atajulikana vipi kuwa ana corona bila kufanyiwa vipimo?Hao wamejulikana baada ya kuonyesha symtomps za Corona...... Zaidi ya 50% ya wanaopatwa na corona wako na mild symptoms au hawana Symtops kabisa lakini bado wanakua carriers wa ugonjwa na wanaendelea kuusambaza..... Geuza matusi mtoto wa mama, hilo moja limepoteza nguvu.
Unaonekana hata haujielewi unaongea nini, rudi nyumbani utafute jirani atakae kuleza kuhusu tofauti kati ya ku test wagonjwa wanao jipeleka hospitali kwa kua ana dalili za corona sababu alisafiri nje na ku test watu wote ambao wanauezekano mkubwa wa kuambukizwa na corona ili uwaondoe kwa jamii hata kabla waonyeshe dalili.Sasa wewe mjinga atajulikana vipi kuwa ana corona bila kufanyiwa vipimo?
Sio kila homa ni corona!
Napoteza muda wangu wa maana kubishana na π©
Akili fupi kama sabuni za lodge.
!okUnaonekana hata haujielewi unaongea nini, rudi nyumbani utafute jirani atakae kuleza kuhusu tofauti kati ya ku test wagonjwa wanao jipeleka hospitali kwa kua ana dalili za corona sababu alisafiri nje na ku test watu wote ambao wanauezekano mkubwa wa kuambukizwa na corona ili uwaondoe kwa jamii hata kabla waonyeshe dalili.
Ukishaelezewa hio tofauti rudi kama umejipanga vizuri.
Mbn hamueleweki mara mseme Tz haifanyi test mara oohh tofauti ya kutest wanaojipeleka wenyewe na kuwafuata watu walipo, yn ni wajinga sana Wakenya eti mnaamini Tz haipimi watu duuhh ndo kusema vipimo gharama sn au ni vp, yn nchi fukara kama kenya ipime ishindwe Tz kweli unaamini??Unaonekana hata haujielewi unaongea nini, rudi nyumbani utafute jirani atakae kuleza kuhusu tofauti kati ya ku test wagonjwa wanao jipeleka hospitali kwa kua ana dalili za corona sababu alisafiri nje na ku test watu wote ambao wanauezekano mkubwa wa kuambukizwa na corona ili uwaondoe kwa jamii hata kabla waonyeshe dalili.
Ukishaelezewa hio tofauti rudi kama umejipanga vizuri.
Pumburian commentWanaCCM ni janga na balaa kwa taifa
Mwanzotuanze na hili swali, Unajua maana ya mass-testing?Mbn hamueleweki mara mseme Tz haifanyi test mara oohh tofauti ya kutest wanaojipeleka wenyewe na kuwafuata watu walipo, yn ni wajinga sana Wakenya eti mnaamini Tz haipimi watu duuhh ndo kusema vipimo gharama sn au ni vp, yn nchi fukara kama kenya ipime ishindwe Tz kweli unaamini??
Hapo ndipo akili zao zimeishia πππMbn hamueleweki mara mseme Tz haifanyi test mara oohh tofauti ya kutest wanaojipeleka wenyewe na kuwafuata watu walipo, yn ni wajinga sana Wakenya eti mnaamini Tz haipimi watu duuhh ndo kusema vipimo gharama sn au ni vp, yn nchi fukara kama kenya ipime ishindwe Tz kweli unaamini??
Wapi palipoandikwa kwmb ili nchi ionekane inafanya testing ni lazima ifanye mass testingMwanzotuanze na hili swali, Unajua maana ya mass-testing?
Ukijibu hil swali, uje unipe idadi ya watu wote waliopimwa Tanzania, alafu tuendelee kutoka hapo
Hivi unaweza kumaliza ukimwi kama hujui idadi kamili ya kila mwananchi alie HIV+ ???Wapi palipoandikwa kwmb ili nchi ionekane inafanya testing ni lazima ifanye mass testing
Hivi unaweza kumaliza ukimwi kama hujui idadi kamili ya kila mwananchi alie HIV+ ???
Wenzako SOuth Korea walifanyikiwa kumaliza idadi ya wagonjwa wapya wa corona hadi zero, wakabaki hivyo wiki moja, wakaamua kulegeza lock down watu warudi kazini, leo hii wamerudi pale pale, kesi mpya zimeanza kupanda tena!
China pia ni hivyo hivyo, walipigana na korona hadi wakashinda, walipo legeza kesi mpya zikaanza tena!
Mass testing is the only way to stop the virus β it's long overdue
Anthony Costello
Mass testing is the only way to stop the virus β it's long overdue | Anthony Costello
Without Mass Testing, the Coronavirus Pandemic Will Keep Spreading
Countries such as South Korea that test thousands of people per day have slowed the outbreak. Other nations must adopt Seoulβs model before itβs too late.
Without Mass Testing, the Coronavirus Pandemic Will Keep Spreading
WHO head: 'Our key message is: test, test, test'
World Health Organisation head Tedros Adhanom Ghebreyesus says there has not been an urgent enough escalation in testing, isolation and contact tracing, which should be the "backbone" of the global response.
He said it is not possible to "fight a fire blindfolded", and social distancing measures and handwashing will not alone extinguish the epidemic.
EU countries unable to follow WHO's call for mass testing
[Coronavirus] EU countries unable to follow WHO's call for mass testing
Ndo nilitaka nimuulize hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kenya mnafanya mass testing?