Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Ujinga gani hii, without robust testing you can't say how many cases you have.
and the Magufuli govt is capable of shutting down anyone who announces any infection numbers against the govt sources.
Hahahaha, hivi ninyi wakenya mnaakili kweli, ninyi hamzuii kuenea kwa maambukizi, badala take mnazuia hadi wapi wapate maambukizi ndio mfanye testing na kutangaza.

1) Sisi tunaimarisha juhudi za kuzuia watu mipakani ili wasiingie nchini kabla ya kuwekwa chini ya karantini kwa siku 14.

2) Kwa wale ambao kwa bahati mbaya wameingia nchini wakiwa na ugonjwa na tulishindwa kuwagundua, basi watakutana na dawa zinanyunyizwa kila eneo la nchi, kamwe hawawezi kuambukiza wengine.

Eleza ninyi zaidi ya kupima na kutangaza, ni hatua gani zingine mnazotumia kuzuia maambukizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta Mada anamatatizo mengi sana, hata hajielewi kazi nikupagawa kuhusu Kenya.
Juzi ameweka Mada kuhusu watu 84 kutoka SA kuwekwa kwenye karatini alafu anawaambia wenzake eti hii ndio siri kubwa ya mafanikio.[emoji23][emoji23]
Nitaendelea kukuelimisha.

Soma Maelezo ya hiyo post yangu katika "paragraph" ya PILI, nimeandika kwamba, mbinu hii inakwenda sambamba na udhibiti wa wageni mipakani ili wasiingize ugonjwa hapa nchini.

Ninaomba kurudia kwa faida ya wakenya ili muweze kujifunza zaidi.

Tanzania tunaweka nguvu katika kupunguza kasi ya kuenea kwa maambukizi kwa kufanya mambo yafuatayo, tukiamini kwamba chimbuko kubwa la maambukizi ni kutoka nje ya Tanzania
1) Kuimarisha udhimiti wa watu wote wanaoingia nchini kwa kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14
2) Kuwapima wale wote wenye kuonyesha dalili za ugonjwa wa Corona.
3) Kuwatenga wote wenye kugundulika kuwa na Virus vya Corona, na kuwatafuta watu wote waliokutana nao na kuwaweka chini ya karantini.
4) Kunyunyizia dawa katika maeneo yote ya miji na vijiji vyenye wagonjwa na watu waliopo katika karantini.

Mkifanya hata kwa dhati. Idadi ya maambukizi na vifo vitapungua sana hapo Kenya, msipofanya hivyo, tegemeeni idadi kubwa ya wagonjwa na vifo ndani ya wiki chache zijazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Senegal wanatengeneza a one dollar Covid-19 test.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
For a whole month US had only 15 cases.That means there were so many undetected persons who were still roaming around and spreading the virus without their knowledge. The numbers only increased exponentially when they started rigorous testing Alafu jamaa anaisifu serekali yake kwa kuwaweka watu 84 kwenye mandatory quarantine ati ndiko kuwadhibiti wageni. While more than 2000 people are in different government facilities here in Kenya.
Now come back to Japan where they have managed to stabilize the rate of infection by applying the same measures as Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, hivi ninyi wakenya mnaakili kweli, ninyi hamzuii kuenea kwa maambukizi, badala take mnazuia hadi wapi wapate maambukizi ndio mfanye testing na kutangaza.

1)Sisi tunaimarisha juhudi za kuzuia watu mipakani ili wasiingie nchini kabla ya kuwekwa chini ya karantini kwa siku 14.

2) Kwa wale ambao kwa bahati mbaya wameingia nchini wakiwa na ugonjwa na tulishindwa kuwagundua, basi watakutana na dawa zinanyunyizwa kila eneo la nchi, kamwe hawawezi kuambukiza wengine.

Eleza ninyi zaidi ya kupima na kutangaza, ni hatua gani zingine mnazotumia kuzuia maambukizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nyinyi ni hodari, endeni muwasaidie Italy, USA, Spain na South Africa. Tanzania hoiyee, Magufuli Hoiyee.
 
Kwanini usitoe mfano wa Japan ambayo ilifanya kama tunavyofanya sisi na imefanikiwa japo kupunguza kasi ya maambukizi kwa kiwango kikubwa sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hawa majirani zetu wanachukua hatua nzuri kuizidi Japan? Au Marekani?

Maana ndicho unachotaka kusema.
 
Cases elfu kadhaa sio chache mkuu...na vifo zaidi ya 50.

Waligawa masks kwa kaya million 50...na pesa juu kwa kaya zilizoathirika.

Tunaweza haya.
Ukilinganisha na USA, china , Italy na Spain, Japan wamefanikiwa sana. Hata sisi ukilinganisha na Kenya, Rwanda na hata Uganda, sisi timefanikiwa sana.

Kwahiyo wewe unachagua kitu kimoja ambacho sisi hatujafanya, ndio unadhani kimewasaidia? WHO imetoa ripoti na kusema kwamba, sio muhimu wala lazima kwa watu wote kuvaa masks, isipokua kwa mtu mwenye dalili za ugonjwa, wahudumu wa afya, na kama unamuhudumia MTU mwenye maambukizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezo wsko wa akili ni mdogo sana, ila ninakusamehe, nitaendelea kukuelimisha.

Soma Maelezo ya hiyo post yangu katika "paragraph" ya PILI, nimeandika kwamba, mbinu hii inakwenda sambamba na uthibiti wa wageni mipakani ili wasiingize ugonjwa hapa nchini.

Ninaomba kurudia kwa faida ya wakenya ili muweze kujifunza zaidi.

Tanzania tunaweka nguvu katika kupunguza kasi ya kuenea kwa maambukizi kwa kufanya mambo yafuatayo, tukiamini kwamba chimbuko kubwa la maambukizi ni kutoka nje ya Tanzania
1)Kuimarisha udhimiti wa watu wote wanaoingia nchini kwa kuwaweka chini ya karantini kwa siku 14
2) Kuwapima wale wote wenye kuonyesha dalili za ugonjwa wa Corona.
3) Kuwatenga wote wenye kugundulika kuwa na Virus vya Corona, na kuwatafuta watu wote waliokutana nao na kuwaweka chini ya karantini.
4)Kunyunyizia dawa katika maeneo yote ya miji na vijiji vyenye wagonjwa na watu waliopo katika karantini.

Mkifanya hata kwa dhati. Idadi ya maambukizi na vifo vitapungua sana hapo Kenya, msipofanya hivyo, tegemeeni idadi kubwa ya wagonjwa na vifo ndani ya wiki chache zijazo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwakuwa unajidanganya ati mnatumia mbinu ya kudhibiti wageni wanaoingia Tanzania let me ask you some simple questions.

Are you testing all vistors entering Tanzania ama mnawapima joto? 😂😂

Since all vistors to Tanzania are being put under Mandatory government quarantine
why is it that less than 200 people are in quarantine?....
ama unataka kutuambia since March 19 watu less than 200 ndo wameingia Tanzania?

Are your borders closed or open?

Are their passenger flights still using JNIA?
 
haya nyinyi ni hodari , endeni muwasaidie Italy, USA , Spain na South Africa...
Tanzania hoiyee, Magufuli Hoiyee
USA, Spain, Italy na UK, wslichelewa kuchukua hatua sahihi mwanzoni kabisa hadi virusi vikaenea sana nchini mwao, kosa ambalo na Kenya inalifanya bila kushituka, ukishindwa kudhibiti maambukizi mapema kwa kufanya makosa ya kupima na kutangaza pekee bila kuchukua hatua sahihi za kuzuia kusambaa kwa virusi, lazima mtapata taabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukilinganisha na USA, china , Italy na Spain, Japan wamefanikiwa sana. Hata sisi ukilinganisha na Kenya, Rwanda na hata Uganda, sisi timefanikiwa sana.

Kwahiyo wewe unachagua kitu kimoja ambacho sisi hatujafanya, ndio unadhani kimewasaidia?. WHO imetoa ripoti na kusema kwamba, sio muhimu wala lazima kwa watu wote kuvaa masks, isipokua kwa mtu mwenye dalili za ugonjwa, wahudumu wa afya, na kama unamuhudumia MTU mwenye maambukizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Japan anafanya targeted testing mzee baba.

Huku uliowataja wakifanya mass testing.

-Nikubali pia Japan kaimarisha mipaka na mipaka ya Japan siku zote ipo imara.

Ila anafanya targeted testing.

Sijajua sisi na hawa majirani zetu tunapimaje.

Kenya kwa siku anapima wangapi? Na sisi kwa siku tunapima wangapi?

Cc MK254
 
Kwakuwa unajidanganya ati mnatumia mbinu ya kudhibiti wageni wanaoingia Tanzania let me ask you some simple questions.

Are you testing all vistors entering Tanzania ama mnawapima joto? [emoji23][emoji23]

Since all vistors to Tanzania are being put under Mandatory government quarantine
why is it that less than 200 people are in quarantine?....
ama unataka kutuambia since March 19 watu less than 200 ndo wameingia Tanzania?

Are your borders closed or open?

Are their passenger flights still using JNIA?
Tunarudia tena, sisi ni mfano wa kuigwa hapa EA, kama tulivyoushinda ukabila wakati nchi zote zilizotuzunguka zimeathiriwa na ukabila, hivyo hivyo ndivyo tutakavyoishinda Corona wakati wengine inawasumbua.

Haya mapambano yabaongozwa na kusimamiwa na WHO katika nchi zote kasoro North Korea.

Hizo idadi unazosema wewe, sisi hatuzijui, tunachojua na kufanya ni kuhakikisha kila mtu anayeingia Tanzania anawekwa chini ya karantini kwa siku 14, kama viongozi kama makamo wa rais Zanzibar, yupo chini ya karantini, nani mwengine atakwepa?' Waulize Wasifi team watakuambia tulivyo serious katika hilo

Sisi kwetu "Quarantine" tunaipa umuhimu zaidi ya " mass testing", kwasababu mtu aliyeko kwrnye " Quarantine " hata kama anavyo virusi, hawezi kuambukiza, tunawapima wale tu wenye kuonyesha dalili za Ugonjwa.

Mbinu hizo ndizo zinatufanya kuwa na maambukizi machache kuliko Kenya, Uganda na Rwanda. Kenya zaidi ya kupima na kutangaza matokeo, hakuna jambo lolote linafanyika mitaani kuzuia maambukizi zaidi ya POLISI kuwapiga RAIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA, Spain, Italy na UK, wslichelewa kuchukua hatua sahihi mwanzoni kabisa hadi virusi vikaenea sana nchini mwao, kosa ambalo na Kenya inalifanya bila kushituka, ukishindwa kudhibiti maambukizi mapema kwa kufanya makosa ya kupima na kutangaza pekee bila kuchukua hatua sahihi za kuzuia kusambaa kwa virusi, lazima mtapata taabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Last I checked you guys were even late to even enforce simple things such as social distancing protocols.
You are still allowing social gatherings.
Your public transport is still carrying full capacity if am not wrong
You are still going to mosques and Churches etc
This is Mecca
download.jpeg
 
Tunarudia tena, sisi ni mfano wa kuigwa hapa EA, kama tulivyoushinda ukabila wakati nchi zote zilizotuzunguka zimeathiriwa na ukabila, hivyo hivyo ndivyo tutakavyoishinda Corona wakati wengine inawasumbua.

Haya mapambano yabaongozwa na kusimamiwa na WHO katika nchi zote kasoro North Korea.

Hizo idadi unazosema wewe, sisi hatuzijui, tunachojua na kufanya ni kuhakikisha kila mtu anayeingia Tanzania anawekwa chini ya karantini kwa siku 14, kama viongozi kama makamo wa rais Zanzibar, yupo chini ya karantini, nani mwengine atakwepa?' Waulize Wasifi team watakuambia tulivyo serious katika hilo

Sisi kwetu "Quarantine" tunaipa umuhimu zaidi ya " mass testing", kwasababu mtu aliyeko kwrnye " Quarantine " hata kama anavyo virusi, hawezi kuambukiza, tunawapima wale tu wenye kuonyesha dalili za Ugonjwa.

Mbinu hizo ndizo zinatufanya kuwa na maambukizi machache kuliko Kenya, Uganda na Rwanda. Kenya zaidi ya kupima na kutangaza matokeo, hakuna jambo lolote linafanyika mitaani kuzuia maambukizi zaidi ya POLISI kuwapiga RAIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika maneno mengi ila sijaona ukijibu maswali niliyo uliza.
 
Japan anafanya targeted testing mzee baba.

Huku uliowataja wakifanya mass testing.

-Nikubali pia Japan kaimarisha mipaka na mipaka ya Japan siku zote ipo imara.

Ila anafanya targeted testing.

Sijajua sisi na hawa majirani zetu tunapimaje.

Kenya kwa siku anapima wangapi? Na sisi kwa siku tunapima wangapi?

Cc MK254
Sisi tunafanya kama Japan, targeted testing, yaani kwa watu wenye kuonyesha dalili za ugonjwa au kama kuna mahitaji maalumu.

Kama ugonjwa bado haujafika kwenye community level, yaani bado main sources of infections are imported kama ilivyo Tanzania, mass testing haina umuhimu wowote. Tanzania ukipima watu 1000 kwa sasa unaweza kupata ni mtu mmoja au hata usipate hata mmoja, kwanini upoteze pesa nyingi katika mazingira hayo.

Ila kwa nchi zenye kuathirika sana kama USA, tena sio nchi nzima, ni katika yale majimbo ambayo yameathirika pakubwa, mass testing kidogo ndio inaleta maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Last I checked you guys were even late to even enforce simple things such as social distancing protocols.
You are still allowing social gatherings.
Your public transport is still carrying full capacity if am not wrong
You are still going to mosques and Churches etc
This is Mecca
View attachment 1408555
Exactly like Japan and Belarus where lives go normally, if you have managed to contain the disease not to have local sources of infections like Tanzania, what is wrong with that?, but as soon as we start recording local sources of infections, we shall definitely change accordingly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tunafanya kama Japan, targeted testing, yaani kwa watu wenye kuonyesha dalili za ugonjwa au kama kuna mahitaji maalumu.

Kama ugonjwa bado haujafika kwenye community level, yaani bado main sources of infections are imported kama ilivyo Tanzania, mass testing haina umuhimu wowote. Tanzania ukipima watu 1000 kwa sasa unaweza kupata ni mtu mmoja au hata usipate hata mmoja, kwanini upoteze pesa nyingi katika mazingira hayo.

Ila kwa nchi zenye kuathirika sana kama USA, tena sio nchi nzima, ni katika yale majimbo ambayo yameathirika pakubwa, mass testing kidogo ndio inaleta maana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani kinachoweza kuthibitisha hapo nilipokoleza ni vipimo tu na sio maneno ya mtu.

Kumbuka ugonjwa unaweza kuchukua zaidi ya week kutambua dalili.

Ila nidiriki kusema kwa maoni yangu hatua tunazochukua hazitoshi kudhibiti Corona. Time shall tell.
 
Japan anafanya targeted testing mzee baba.

Huku uliowataja wakifanya mass testing.

-Nikubali pia Japan kaimarisha mipaka na mipaka ya Japan siku zote ipo imara.

Ila anafanya targeted testing.

Sijajua sisi na hawa majirani zetu tunapimaje.

Kenya kwa siku anapima wangapi? Na sisi kwa siku tunapima wangapi?

Cc MK254

Kwa siku tunapima 300, nyie hadi juzi waziri wenu alisema mumepima 300, sisi tuna maabara tano za kupima Corona ambazo zimezagaa nchi yote kuanzia Mombasa kupitia Nairobi hadi Eldoret kule magharibi, nyie mna moja inayotegemewa Tanzania yote kuanzia visiwani, kuja bara, kwenda mikoani Tanzania kaskazini, kanda ya ziwa mpaka Kigoma, sasa hapo sijaelewa mna nini cha kuigwa.

Kwetu hadi juzi tulikua tumepima 1,400 na kugundua kesi 110
Nyie hadi juzi mlikua mumepima 300 na kugundua kesi 20
Sasa hapo kwa mahesabu ya haraka hamuwezi mkakaa na kubweteka kwamba mna mfano wa kuigwa, ni kama mtu ambaye hajapima UKIMWI aanze kuwachekelea wale ambao wamepima.
Ifahamike hiki kirusi kinasambaa kwa watu kiasi kwamba unaweza ukaambukizwa na kuanza kuambukiza bila ya wewe kuhisi dalili zozote, yaani mpaka uje kuhisi dalili, umekitembeza tayari na ndio kinachowamaliza Ulaya.

Huu sio muda muafaka kwa Watanzania kujiona wababe kisa kesi zao chache ilhali hawana uwezo wa kupima watu wengi, maabara moja ya Dar ina msongamano wa sampuli zinazosubiri kupimwa. Hao wachache mliowagundua ifahamike huko walikotoka kuna uwezekano kila mmoja aliambukiza kadhaa na hao kadhaa wakaambukiza, mtandao mkubwa wa kutisha, muhimu mkachukua tahadhari, acheni misifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom