Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
You Kenyans shut up your mouth
 
Co tu kwamba Marekani wanapima watu wengi lkn pia idadi ya vifo ni kubwa sana inayopelekea serikali kulazimika kupima watu wengi.
 
Co tu kwamba Marekani wanapima watu wengi lkn pia idadi ya vifo ni kubwa sana inayopelekea serikali kulazimika kupima watu wengi.

Marekani inapaswa iongoze dunia kwa idadi ya vifo maana Wamarekani wanafahamika kama watu walio na uzembe sana kwenye suala la afya, wanaongoza dunia kwa obesity, kisukari, presure na magonjwa mengine mengi yanayotokana na siha mbaya halafu wenyewe wabishi kuliko maelezo.
Mmarekani atapigwa na Corona hadi akome, bora wanapima kwa kasi ili ibainike kinavyotamalaki.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…