Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Tulichowapiku Wengine sisi tunahusisha pia private hospitals that's why tuna Hospital nyingi na ICU nyingi
 
Hii habari ya barakoa ilipaswa itiliwe mkazo sn hasa dsm
Mimi nadhani kuna mapungufu kwenye hili, Makonda kapewa sanitizer booths 25 leo, kakimbilia kuziita sanitizer za Makonda badala ya kuja na concrete measures!
 
Mimi nadhani kuna mapungufu kwenye hili, Makonda kapewa sanitizer booths 25 leo, kakimbilia kuziita sanitizer za Makonda badala ya kuja na concrete measures!
Lazima tukiri kuwa jamaa ana mapungufu mengi sana hawezi kuwa serious kabisa hata kwenye suala nyeti km hili na ndiyo maana huwa nadhani kuna uhusiano mkubwa wa elimu ya darasani na real life, Magu hapa ndio cmuelewi kabisa kuendelea na huyu mtu ofisini, cmuelewi na ctakuja kumuelewa kuhusu huyu mtu.
 
Lazima tukiri kuwa jamaa ana mapungufu mengi sana hawezi kuwa serious kabisa hata kwenye suala nyeti km hili na ndiyo maana huwa nadhani kuna uhusiano mkubwa wa elimu ya darasani na real life, Magu hapa ndio cmuelewi kabisa kuendelea na huyu mtu ofisini, cmuelewi na ctakuja kumuelewa kuhusu huyu mtu.
yeye mwenyewe kahimiza msali badala ya kutoa concrete measures! Ningekuwa mimi yeye zaidi ya kupitisha sheria ya barakoa ningeweka checkpoints kila mkoa haswa palipo na weight bridges nikaweka hizo sanitizer booths na vipima joto! Na ningezuia mikusanyo nyumba za Ibada!
 
yeye mwenyewe kahimiza msali badala ya kutoa concrete measures! Ningekuwa mimi yeye zaidi ya kupitisha sheria ya barakoa ningeweka checkpoints kila mkoa haswa palipo na weight bridges nikaweka hizo sanitizer booths na vipima joto! Na ningezuia mikusanyo nyumba za Ibada!
Yeye anafuata maagizo ya Jiwe. hapa hakuna kujikwamua, kwa siku tatu mtajazana katika sehemu za ibada ili kuikemea na vilevile kuipokea na kuisambaza corona.
IMG_20200416_234622.jpg
 
Mm nahisi serikali inapaswa kufanya zaidi kuhusu hili tatizo,mfano.
1.kuzuia mikusanyiko ya ibada.
2.kufanay mass testing (japo wengi tunaona haina umuhimu).
3.kudhibiti msongamano masokoni na kwenye usafiri,mfano,mwendo kasi.
4.Kufunga mipaka kama wenzetu,kwa sababu wakenya wengi wanakamatwa sana wakiingia Tanzania kwa njia za.panya.
5.Kufunga mabaa,na kupiga marufuku uzururaji usiokuwa wa lazima.
maombi pekee na kunawa mikono hakutasaidia,naamini Tanzania INA maambukizi makubwa sana kwa sasa sababu hatujafanyi mass testing, nahisi kufikia J'tano,idadi itagota karibu 180!
 
Mbona mtaani kwetu huku Pugu Kajiungeni sijawaona? Au huwa nakuwa nimelala fofofo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom