Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Lakini Atleast geza saw the light and tried to talk some sense into his fellow propagandist

Nasoma first page nacheka tuu even back then nlikua nacheka hii ujinga sikucomment knowing it will come full circle and the joto la jinga and his gang low intelligence will be further exposed
Im sure nobody here will look at him and his crew in the same way after this.
Yes, pale mwaanzoni geza was real sensible hata alikua anaonya watanzania wenzake watulie kwanza na wasianze kusherehekea mapema, but then kesi za Kenya zikaendelea kuongezeka hadi zikapita 100 wakati za Tz zilikua zimebaki pale pale karibia wiki moja, geza akageuka akakua cocky akaanza kuiponda Kenya na kuingilia juhudi zake wakati huo huo akipost picha na video za Tanzania akionyesha huko hali shwari kwasababu ya juhudi wanazoweka. Nika muonya mara nyingi sana, akaniambia nifunge domo langu chafu.... karma is a real b!tch
 
Lakini Atleast geza saw the light and tried to talk some sense into his fellow propagandist

Nasoma first page nacheka tuu even back then nlikua nacheka hii ujinga sikucomment knowing it will come full circle and the joto la jinga and his gang low intelligence will be further exposed

Im sure nobody here will look at him and his crew in the same way
Mimi niliona matope imeongewa sana nikasema we shall revisit and nobody can stop reggae,imagine na venye napenda rock, sasa ona kiherehere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think we should give joto la jiwe AKA Joto la jinga the gold medal for being the most stupid person on this forum already.
How Joto la Jinga is reading these comments on his own thread 😂 😂 😂
PhotoGrid_1587412794896.jpg
 
Yes, pale mwaanzoni geza was real sensible hata alikua anaonya watanzania wenzake watulie kwanza na wasianze kusherehekea mapema, but then kesi za Kenya zikaendelea kuongezeka hadi zikapita 100 wakati za Tz zilikua zimebaki pale pale karibia wiki moja, geza akageuka akakua cocky akaanza kuiponda Kenya na kuingilia juhudi zake wakati huo huo akipost picha na video za Tanzania akionyesha huko hali shwari kwasababu ya juhudi wanazoweka. Nika muonya mara nyingi sana, akaniambia nifunge domo langu chafu.... karma is a real b!tch
One thing this people forget most companies in kenya hav implemented a work from home policy, and we are really taking precaution aside from a few, now Geuza ulale and his cohorts here think that the only thing up our sleeves is curfew only, he should come to the ground, i havent stepped at work since the first case was reported including most peeps from my circle, zoom comes in handy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nahisi serikali inapaswa kufanya zaidi kuhusu hili tatizo,mfano.
1.kuzuia mikusanyiko ya ibada.
2.kufanay mass testing (japo wengi tunaona haina umuhimu).
3.kudhibiti msongamano masokoni na kwenye usafiri,mfano,mwendo kasi.
4.Kufunga mipaka kama wenzetu,kwa sababu wakenya wengi wanakamatwa sana wakiingia Tanzania kwa njia za.panya.
5.Kufunga mabaa,na kupiga marufuku uzururaji usiokuwa wa lazima.
maombi pekee na kunawa mikono hakutasaidia,naamini Tanzania INA maambukizi makubwa sana kwa sasa sababu hatujafanyi mass testing, nahisi kufikia J'tano,idadi itagota karibu 180!
Mass testing unapima watu miasaba unapata positive wawili..Bei ya kipimo kimoja Ni Dola 400.
 

Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?.

Ikumbukwe kwamba, nguvu za Tanzania zimewekweza zaidi katika kuhakikisha kwamba virusi haviingizwi nchini toka nje ya nchi, na pale ikitokea kwamba vimeingia, basi havisambai kwa watu wengine.

Viva Tanzania; Tumejipanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tarehe 21 April tuletee Uzi mwingine wa kusifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisha kuna ile video ya RC wa Dar akiwaambia watu ya kwamba corona ni ugonjwa wa kawaida kama tu mafua hapo ndiyo nilijua ya kwamba watz wengi si werevu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom