Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
..and they have just realized that they were wrong about the lockdown.
1587854040990.png
 
Ansbert Ngurumo

@ngurumo



Serikali ipanue wigo, iongeze vituo vya kuripoti visa vya Korona, walau kuwe na kituo kimoja kila mkoa. Watu wanakufa hovyo!

Image



Replying to
@ngurumo
Akiri kuwa hajisikii vizuri. Kikosi cha wilaya ya Kyerwa kikaenda kumchukua na yeye tingo wake ili wapelekwe kambi ya Korona iliyopo Kamuli Kyerwa. Huko Nkwenda kwenye gesti alikokuwa na kwenye mgahawa alikokula chakula kwa siku mbili, sasa ni taharuki tupu!


Replying to
@ngurumo
Alipofika Nkwenda akaanza kuhisi maumivu makali. Akachukua chumba gesti hapo kwa mama aitwaye "Cheupe." Majibu ya vipimo yaliporudi Mutukula yakiwa positive akatafutwa, lakini hakuonekana. Mamlaka za mkoa zikajulishwa. Akapigiwa simu, kwa kuwa aliwapa namba zake. Akakutwa Nkwenda


Replying to
@ngurumo
Aliye huko Kyerwa ni dereva wa lori kubwa. Alitoka Dar akafika Mtukula. Akachukuliwa vipimo na kuachiwa. Akashusha mizigo na kuanza kurudi Dar. Alipofika Bukoba akaamua kwenda Kyerwa ili apakie mzigo wa kupeleka Dar.
 
Ansbert Ngurumo

@ngurumo



Serikali ipanue wigo, iongeze vituo vya kuripoti visa vya Korona, walau kuwe na kituo kimoja kila mkoa. Watu wanakufa hovyo!
Image


Replying to
@ngurumo
Akiri kuwa hajisikii vizuri. Kikosi cha wilaya ya Kyerwa kikaenda kumchukua na yeye tingo wake ili wapelekwe kambi ya Korona iliyopo Kamuli Kyerwa. Huko Nkwenda kwenye gesti alikokuwa na kwenye mgahawa alikokula chakula kwa siku mbili, sasa ni taharuki tupu!


Replying to
@ngurumo
Alipofika Nkwenda akaanza kuhisi maumivu makali. Akachukua chumba gesti hapo kwa mama aitwaye "Cheupe." Majibu ya vipimo yaliporudi Mutukula yakiwa positive akatafutwa, lakini hakuonekana. Mamlaka za mkoa zikajulishwa. Akapigiwa simu, kwa kuwa aliwapa namba zake. Akakutwa Nkwenda


Replying to
@ngurumo
Aliye huko Kyerwa ni dereva wa lori kubwa. Alitoka Dar akafika Mtukula. Akachukuliwa vipimo na kuachiwa. Akashusha mizigo na kuanza kurudi Dar. Alipofika Bukoba akaamua kwenda Kyerwa ili apakie mzigo wa kupeleka Dar.
 
Ansbert Ngurumo

@ngurumo



Serikali ipanue wigo, iongeze vituo vya kuripoti visa vya Korona, walau kuwe na kituo kimoja kila mkoa. Watu wanakufa hovyo!
Image


Replying to
@ngurumo
Akiri kuwa hajisikii vizuri. Kikosi cha wilaya ya Kyerwa kikaenda kumchukua na yeye tingo wake ili wapelekwe kambi ya Korona iliyopo Kamuli Kyerwa. Huko Nkwenda kwenye gesti alikokuwa na kwenye mgahawa alikokula chakula kwa siku mbili, sasa ni taharuki tupu!


Replying to
@ngurumo
Alipofika Nkwenda akaanza kuhisi maumivu makali. Akachukua chumba gesti hapo kwa mama aitwaye "Cheupe." Majibu ya vipimo yaliporudi Mutukula yakiwa positive akatafutwa, lakini hakuonekana. Mamlaka za mkoa zikajulishwa. Akapigiwa simu, kwa kuwa aliwapa namba zake. Akakutwa Nkwenda


Replying to
@ngurumo
Aliye huko Kyerwa ni dereva wa lori kubwa. Alitoka Dar akafika Mtukula. Akachukuliwa vipimo na kuachiwa. Akashusha mizigo na kuanza kurudi Dar. Alipofika Bukoba akaamua kwenda Kyerwa ili apakie mzigo wa kupeleka Dar.
Unaleta habari za mitandaoni humu, hao wanaeza kukwambia Tz imezd Amerika kwa vifo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
@Tanzania
Tanzania looking at the rest of the world fighting corona

Image
Undreadedrasta2
[emoji116][emoji116][emoji116] (ushuhuda toka kwa jamaa fulani)

Wapendwa hbr za mida hii . J3 usiku nilipata taarifa kuwa binamu yangu yuko hospitali na ana dalili zote za corona na hali ilikuwa mbaya sana, anakohoa kichizi, mafua, hawezi kupumua, homa kali na kichwa kuuma. Wamem isolate. Hakupewa dawa zaidi ya diclofenac.

Mie usiku huo maombi kwa kwenda mbele. Kesho yake sikuwa na jinsi zaidi ya kumhudumia, nikiwa na hofu kubwa, maana hakuna ndugu yeyote wa karibu zaidi yangu.

Asb J4 nikapeleka chai na nikakumbuka piriton. Vipimo vilichukuliwa. Mchana akaniambia akikohoa anatema mabonge ya makohozi yenye damu. Akawa na hofu sana. Nikaishiwa pia nguvu.

Nikampigia rafiki yangu mmoja ni Dr. na ni muhaya pia. Akaniambia *"Acha ujinga. Nyanyuka chemsha hayo madawa ya kufukiza. Kuwa aggresive. Kwa hali hiyo unampoteza sasa hivi"*.

Nikapata nguvu na kumpelekea mchanganyiko huo, pia Arithromicin, citrizen na vicks. Nikaona maji ninayopeleka yanakuwa yamepoa. Nikanunua kettle nikaliingiza.

*Nikawa napeleka tanzawizi, muharobaini, karafuu, mpera, muembe, na mchaichai. Alipoanza kujifukiza, huwezi amini ndani ya 2 hrs, mafua yalikata, alikuwa anapumulia mdomoni ikaisha, homa ikakata, akanipigia akiwa na furaha sana, tumaini likarudi. Kufikia jioni mzima wa afya.*

Ananiambia "siumwi popote, labda haikuwa corona, ni mafua kawaida" nikamwambia endelea maana majibu bado, huwezi jua.

Wapendwa majibu yalitoka Alhamis usiku kuwa ni covid 19 positive na usiku huo alihamishiwa kambi ya corona, lakini akiwa amepona kabisa. Kule alikuta wenzie bado wanapata tabu, wengine hoi, kupumua shida n.k. Akalia sana akaniambia *"sasa huku naambukizwa na ndo nakufa"* Nikampa moyo.

So, nilimpelekea huo mchanganyiko, ijumaa alikesha anawafukiza wenzie. Huwezi amini, Jana J1, hakuna mwenye shida tena. Ananiambia wote wameamka tunapiga story tu ni vicheko kwenda mbele. Tumepewa kamba tunaruka mazoezi.

So, Kufukiza ni real solution ya corona wapendwa. Muombe Mungu akupe courage ya kuifanya kama ulikuwa huamini. Naamini ni ufunuo ambao Mungu alimpa kiongozi wa nchi ili tupone.

Nimeshuhudia kwa macho yangu. Hivi sasa niko home nami nimeji isolate kwa mfukizo wa maana. MUNGu IBARIKI TZ.
Naomba usiipuuze hii.


My take
Tz tumeshashinda hii vita
 
[emoji116][emoji116][emoji116] (ushuhuda toka kwa jamaa fulani)

Wapendwa hbr za mida hii . J3 usiku nilipata taarifa kuwa binamu yangu yuko hospitali na ana dalili zote za corona na hali ilikuwa mbaya sana, anakohoa kichizi, mafua, hawezi kupumua, homa kali na kichwa kuuma. Wamem isolate. Hakupewa dawa zaidi ya diclofenac.

Mie usiku huo maombi kwa kwenda mbele. Kesho yake sikuwa na jinsi zaidi ya kumhudumia, nikiwa na hofu kubwa, maana hakuna ndugu yeyote wa karibu zaidi yangu.

Asb J4 nikapeleka chai na nikakumbuka piriton. Vipimo vilichukuliwa. Mchana akaniambia akikohoa anatema mabonge ya makohozi yenye damu. Akawa na hofu sana. Nikaishiwa pia nguvu.

Nikampigia rafiki yangu mmoja ni Dr. na ni muhaya pia. Akaniambia *"Acha ujinga. Nyanyuka chemsha hayo madawa ya kufukiza. Kuwa aggresive. Kwa hali hiyo unampoteza sasa hivi"*.

Nikapata nguvu na kumpelekea mchanganyiko huo, pia Arithromicin, citrizen na vicks. Nikaona maji ninayopeleka yanakuwa yamepoa. Nikanunua kettle nikaliingiza.

*Nikawa napeleka tanzawizi, muharobaini, karafuu, mpera, muembe, na mchaichai. Alipoanza kujifukiza, huwezi amini ndani ya 2 hrs, mafua yalikata, alikuwa anapumulia mdomoni ikaisha, homa ikakata, akanipigia akiwa na furaha sana, tumaini likarudi. Kufikia jioni mzima wa afya.*

Ananiambia "siumwi popote, labda haikuwa corona, ni mafua kawaida" nikamwambia endelea maana majibu bado, huwezi jua.

Wapendwa majibu yalitoka Alhamis usiku kuwa ni covid 19 positive na usiku huo alihamishiwa kambi ya corona, lakini akiwa amepona kabisa. Kule alikuta wenzie bado wanapata tabu, wengine hoi, kupumua shida n.k. Akalia sana akaniambia *"sasa huku naambukizwa na ndo nakufa"* Nikampa moyo.

So, nilimpelekea huo mchanganyiko, ijumaa alikesha anawafukiza wenzie. Huwezi amini, Jana J1, hakuna mwenye shida tena. Ananiambia wote wameamka tunapiga story tu ni vicheko kwenda mbele. Tumepewa kamba tunaruka mazoezi.

So, Kufukiza ni real solution ya corona wapendwa. Muombe Mungu akupe courage ya kuifanya kama ulikuwa huamini. Naamini ni ufunuo ambao Mungu alimpa kiongozi wa nchi ili tupone.

Nimeshuhudia kwa macho yangu. Hivi sasa niko home nami nimeji isolate kwa mfukizo wa maana. MUNGu IBARIKI TZ.
Naomba usiipuuze hii.


My take
Tz tumeshashinda hii vita
1587944498703.png
 
[emoji116][emoji116][emoji116] (ushuhuda toka kwa jamaa fulani)

Wapendwa hbr za mida hii . J3 usiku nilipata taarifa kuwa binamu yangu yuko hospitali na ana dalili zote za corona na hali ilikuwa mbaya sana, anakohoa kichizi, mafua, hawezi kupumua, homa kali na kichwa kuuma. Wamem isolate. Hakupewa dawa zaidi ya diclofenac.

Mie usiku huo maombi kwa kwenda mbele. Kesho yake sikuwa na jinsi zaidi ya kumhudumia, nikiwa na hofu kubwa, maana hakuna ndugu yeyote wa karibu zaidi yangu.

Asb J4 nikapeleka chai na nikakumbuka piriton. Vipimo vilichukuliwa. Mchana akaniambia akikohoa anatema mabonge ya makohozi yenye damu. Akawa na hofu sana. Nikaishiwa pia nguvu.

Nikampigia rafiki yangu mmoja ni Dr. na ni muhaya pia. Akaniambia *"Acha ujinga. Nyanyuka chemsha hayo madawa ya kufukiza. Kuwa aggresive. Kwa hali hiyo unampoteza sasa hivi"*.

Nikapata nguvu na kumpelekea mchanganyiko huo, pia Arithromicin, citrizen na vicks. Nikaona maji ninayopeleka yanakuwa yamepoa. Nikanunua kettle nikaliingiza.

*Nikawa napeleka tanzawizi, muharobaini, karafuu, mpera, muembe, na mchaichai. Alipoanza kujifukiza, huwezi amini ndani ya 2 hrs, mafua yalikata, alikuwa anapumulia mdomoni ikaisha, homa ikakata, akanipigia akiwa na furaha sana, tumaini likarudi. Kufikia jioni mzima wa afya.*

Ananiambia "siumwi popote, labda haikuwa corona, ni mafua kawaida" nikamwambia endelea maana majibu bado, huwezi jua.

Wapendwa majibu yalitoka Alhamis usiku kuwa ni covid 19 positive na usiku huo alihamishiwa kambi ya corona, lakini akiwa amepona kabisa. Kule alikuta wenzie bado wanapata tabu, wengine hoi, kupumua shida n.k. Akalia sana akaniambia *"sasa huku naambukizwa na ndo nakufa"* Nikampa moyo.

So, nilimpelekea huo mchanganyiko, ijumaa alikesha anawafukiza wenzie. Huwezi amini, Jana J1, hakuna mwenye shida tena. Ananiambia wote wameamka tunapiga story tu ni vicheko kwenda mbele. Tumepewa kamba tunaruka mazoezi.

So, Kufukiza ni real solution ya corona wapendwa. Muombe Mungu akupe courage ya kuifanya kama ulikuwa huamini. Naamini ni ufunuo ambao Mungu alimpa kiongozi wa nchi ili tupone.

Nimeshuhudia kwa macho yangu. Hivi sasa niko home nami nimeji isolate kwa mfukizo wa maana. MUNGu IBARIKI TZ.
Naomba usiipuuze hii.


My take
Tz tumeshashinda hii vita

Mkuu ni majani gani yanatumika ? Unaweza weka hapa tuka share na wengine tafadhali
 
Interesting, hii methodology imesaidia sana wananchi wa Uganda kuishinda Covid-19.
[emoji116][emoji116][emoji116] (ushuhuda toka kwa jamaa fulani)

Wapendwa hbr za mida hii . J3 usiku nilipata taarifa kuwa binamu yangu yuko hospitali na ana dalili zote za corona na hali ilikuwa mbaya sana, anakohoa kichizi, mafua, hawezi kupumua, homa kali na kichwa kuuma. Wamem isolate. Hakupewa dawa zaidi ya diclofenac.

Mie usiku huo maombi kwa kwenda mbele. Kesho yake sikuwa na jinsi zaidi ya kumhudumia, nikiwa na hofu kubwa, maana hakuna ndugu yeyote wa karibu zaidi yangu.

Asb J4 nikapeleka chai na nikakumbuka piriton. Vipimo vilichukuliwa. Mchana akaniambia akikohoa anatema mabonge ya makohozi yenye damu. Akawa na hofu sana. Nikaishiwa pia nguvu.

Nikampigia rafiki yangu mmoja ni Dr. na ni muhaya pia. Akaniambia *"Acha ujinga. Nyanyuka chemsha hayo madawa ya kufukiza. Kuwa aggresive. Kwa hali hiyo unampoteza sasa hivi"*.

Nikapata nguvu na kumpelekea mchanganyiko huo, pia Arithromicin, citrizen na vicks. Nikaona maji ninayopeleka yanakuwa yamepoa. Nikanunua kettle nikaliingiza.

*Nikawa napeleka tanzawizi, muharobaini, karafuu, mpera, muembe, na mchaichai. Alipoanza kujifukiza, huwezi amini ndani ya 2 hrs, mafua yalikata, alikuwa anapumulia mdomoni ikaisha, homa ikakata, akanipigia akiwa na furaha sana, tumaini likarudi. Kufikia jioni mzima wa afya.*

Ananiambia "siumwi popote, labda haikuwa corona, ni mafua kawaida" nikamwambia endelea maana majibu bado, huwezi jua.

Wapendwa majibu yalitoka Alhamis usiku kuwa ni covid 19 positive na usiku huo alihamishiwa kambi ya corona, lakini akiwa amepona kabisa. Kule alikuta wenzie bado wanapata tabu, wengine hoi, kupumua shida n.k. Akalia sana akaniambia *"sasa huku naambukizwa na ndo nakufa"* Nikampa moyo.

So, nilimpelekea huo mchanganyiko, ijumaa alikesha anawafukiza wenzie. Huwezi amini, Jana J1, hakuna mwenye shida tena. Ananiambia wote wameamka tunapiga story tu ni vicheko kwenda mbele. Tumepewa kamba tunaruka mazoezi.

So, Kufukiza ni real solution ya corona wapendwa. Muombe Mungu akupe courage ya kuifanya kama ulikuwa huamini. Naamini ni ufunuo ambao Mungu alimpa kiongozi wa nchi ili tupone.

Nimeshuhudia kwa macho yangu. Hivi sasa niko home nami nimeji isolate kwa mfukizo wa maana. MUNGu IBARIKI TZ.
Naomba usiipuuze hii.


My take
Tz tumeshashinda hii vita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajiumiza wenyewe kuficha kila kitu wakifikiri wanaonekana vizuri wakishindana na wengine kwa ugonjwa

Endeleeni kujidanganya, this is life and death, not competition
Sikio la kufa haliskii dawa
 
Wanajiumiza wenyewe kuficha kila kitu wakifikiri wanaonekana vizuri wakishindana na wengine kwa ugonjwa

Endeleeni kujidanganya, this is life and death, not competition
Sikio la kufa haliskii dawa
They are now burying those who died with Corona secretly.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom