Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Few years to come tunakwenda kuwa the lead country in the avocado production in Africa.
Duh...hahahaha from which planet?The World has already known that Magu is an Alien.
Interesting comment...duh!Hes bragging about comoros, they should try Europe, ooh wait they are not licensed hahaha, fools ona venye corona inafyeka mpaka their leaders, this fools bana as you said they will be led to their grave with their cowardness.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na weweNi mtu mjinga pekee ambaye atauliza alikokua rais badala ya kuuliza anayofanya rais. Rais sio Mwalimu ambaye hawezi kufanya kazi yake bila kuwepo darasani.
Hivi unajua kwamba rais anafanya kazi popote pale alipo ndani ya nchi yake?, hivi umuhimu wa kuwepo kwa Ikulu ndogo mikoani ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Which statistics are you talking about? And, for what use?And what do the statistics say about Tanzania?
Mbn cwaoni wakenya au macho yng ya uzee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?
Ikumbukwe kwamba, nguvu za Tanzania zimewekweza zaidi katika kuhakikisha kwamba virusi haviingizwi nchini toka nje ya nchi, na pale ikitokea kwamba vimeingia, basi havisambai kwa watu wengine.
Viva Tanzania; Tumejipanga sana.
Vikosi vyote vya POLISI wa kutuliza fujo vimegeuzwa kuwa vikosi vya kupambana na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mpaka leo bado hukubaliani na ukweli huu licha ya walengwa wakuu kukubali kmy kmy, kweli umejipanga.Wewe ni taka taka kweli yani, Nani aige upumbavu