Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Statement yenyewe ni hii lakini wewe na hao wanaharakati uchwara wala sijaona mkisambaza hii mnakalia tu upotoshaji.

Ukipokea, au ukiona ujumbe unaochochea, kuzusha au kupotosha taarifa za corona katika kundi lako au lolote lingine mtandaoni piga picha ujumbe huo na namba ya aliyetuma utume TCRA." Mwisho wa kunukuu.
 
Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?

Ikumbukwe kwamba, nguvu za Tanzania zimewekweza zaidi katika kuhakikisha kwamba virusi haviingizwi nchini toka nje ya nchi, na pale ikitokea kwamba vimeingia, basi havisambai kwa watu wengine.

Viva Tanzania; Tumejipanga sana.




Vikosi vyote vya POLISI wa kutuliza fujo vimegeuzwa kuwa vikosi vya kupambana na Corona.


Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa za beberu ndizo zilizotupea uahueni.
 
Statement yenyewe ni hii lakini wewe na hao wanaharakati uchwara wala sijaona mkisambaza hii mnakalia tu upotoshaji.

Ukipokea, au ukiona ujumbe unaochochea, kuzusha au kupotosha taarifa za corona katika kundi lako au lolote lingine mtandaoni piga picha ujumbe huo na namba ya aliyetuma utume TCRA." Mwisho wa kunukuu.
Usinitolee povu. I'm just a messenger. Ikiwa unaamini Korona haipo basi wewe endelea kutozingatia tahadhari zinazotolewa.
 
Usinitolee povu. I'm just a messenger. Ikiwa unaamini Korona haipo basi wewe endelea kutozingatia tahadhari zinazotolewa.
Pitia hii link kisha soma tarehe.


Ndio haipo Tanzania hutaki andamana.
 
Usinitolee povu. I'm just a messenger. Ikiwa unaamini Korona haipo basi wewe endelea kutozingatia tahadhari zinazotolewa.
Tahadhari za nn, jana tu nimetoka Moro mpk narudi Dar sijasikia kuhusu covid hata pale bus terminal hakuna aliyevaa barakoa na ndani ya bus hakuna huo upuuzi, yn Tz tupo peponi wkt dunia ipo jehanam.

Ona watanzania jinc wanajiachia [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
IMG_20201229_171929_671.jpg
 
Kama ulikuwa hujui!

United World College East Africa (UWCEA) ni international school. Wanafunzi na walimu wa Mataifa mbalimbali wamerudi kwa ajili ya masomo Kwa hiyo sishangai kama baadhi yao wameleta ugonjwa.




Kwani Wizara ya Afya hawapimi Wasafiri wanaoingia nchini?
 
View attachment 1682035

Bado huamini corona ipo Tz?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom