Tanzania ni nchi ngumu sana kutoboa bila shortcut, hakuna uwazi

Tanzania ni nchi ngumu sana kutoboa bila shortcut, hakuna uwazi

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Tuseme ulikiwa unafanya biashara maeneo yasiyo rasmi (machinga) ukatolewa na serikali.

Ukatoka na msingi wako wa 2ml kwenda mtaani kuanza biashara unaamua kuuza kiduka cha vitu vidogo vidogo labda na gas za kupikia majumbani.

Kutokana na msingi kuwa mdogo na hali ya biashara mauzo yako yanakuwa hayazidi 60k kwa siku moja.

Kwa kawaida huwa maduka ya mtaani ukiuza 10,000 faida buku, kwa hiyo mauzo yako wastani ni 50k ina maana faida ni 5k tu.

Kodi ya pango ni 30k kwa mwezi umeme ni zaidi ya 10k

Manispaa inakuja kukukamata ukachukue leseni 80,000 kwa mwaka na city service levi 50,000.
TRA wanataka ukachukue TIN ya mlipa kodi kwa mwaka 150k makadirio ya chini kabisa.

Hujakaa sawa serikali ya mtaa inakuja inatakiwa kulipa ulinzi shirikishi 2000 na takataka 15,000 kwa mwezi.
Kama hutaki usifanye biashara

Weka matumizi yako ya kawaida kila siku ya lazma, kuna kutoboa kweli hapo?
 
bongo ngumu sana ila ukitoboa unachukiwa wazi wazi

ndo maana mi msanii au mfanyabiashara wa bongo akifika mbali namuheshimu leo ukiniletea diamond na sijui wizkid i will go after diamond ghadhabu za kutoboa bongo sio kitoto unakuwa subjected kweny kodi kibao
 
bongo ngumu sana ila ukitoboa unachukiwa wazi wazi

ndo maana mi msanii au mfanyabiashara wa bongo akifika mbali namuheshimu leo ukiniletea diamond na sijui wizkid i will go after diamond ghadhabu za kutoboa bongo sio kitoto unakuwa subjected kweny kodi kibao
Kweli kabisa mzee
 
Tuseme ulikiwa unafanya biashara maeneo yasiyo rasmi (machinga) ukatolewa na serikali.

Ukatoka na msingi wako wa 2ml kwenda mtaani kuanza biashara unaamua kuuza kiduka cha vitu vidogo vidogo labda na gas za kupikia majumbani.

Kutokana na msingi kuwa mdogo na hali ya biashara mauzo yako yanakuwa hayazidi 60k kwa siku moja.

Kwa kawaida huwa maduka ya mtaani ukiuza 10,000 faida buku, kwa hiyo mauzo yako wastani ni 50k ina maana faida ni 5k tu.

Kodi ya pango ni 30k kwa mwezi umeme ni zaidi ya 10k

Manispaa inakuja kukukamata ukachukue leseni 80,000 kwa mwaka na city service levi 50,000.
TRA wanataka ukachukue TIN ya mlipa kodi kwa mwaka 150k makadirio ya chini kabisa.

Hujakaa sawa serikali ya mtaa inakuja inatakiwa kulipa ulinzi shirikishi 2000 na takataka 15,000 kwa mwezi.
Kama hutaki usifanye biashara

Weka matumizi yako ya kawaida kila siku ya lazma, kuna kutoboa kweli hapo?
Watanzania tunalipa ada na tozo bila kujua zitatunufaisha vipi
 
Mama atapunguza VAT Ili tufanye a

Tuseme ulikiwa unafanya biashara maeneo yasiyo rasmi (machinga) ukatolewa na serikali.

Ukatoka na msingi wako wa 2ml kwenda mtaani kuanza biashara unaamua kuuza kiduka cha vitu vidogo vidogo labda na gas za kupikia majumbani.

Kutokana na msingi kuwa mdogo na hali ya biashara mauzo yako yanakuwa hayazidi 60k kwa siku moja.

Kwa kawaida huwa maduka ya mtaani ukiuza 10,000 faida buku, kwa hiyo mauzo yako wastani ni 50k ina maana faida ni 5k tu.

Kodi ya pango ni 30k kwa mwezi umeme ni zaidi ya 10k

Manispaa inakuja kukukamata ukachukue leseni 80,000 kwa mwaka na city service levi 50,000.
TRA wanataka ukachukue TIN ya mlipa kodi kwa mwaka 150k makadirio ya chini kabisa.

Hujakaa sawa serikali ya mtaa inakuja inatakiwa kulipa ulinzi shirikishi 2000 na takataka 15,000 kwa mwezi.
Kama hutaki usifanye biashara

Weka matumizi yako ya kawaida kila siku ya lazma, kuna kutoboa kweli hapo?
Mama yupi unayezungumzi au huyu anayeharibu biashara za watu
 
Mkuu hujui kua tunatofautiana? Hujui kuna watu wameridhika na hayo unayoyaongea, kuna watu wanapambana kwa nguvu nyingi sana kua maskini na akina sisi tunapambana kwa njia zozote kua MATAJIRI..ikiwezekana kukaa sehemu moja na Lucifer kufanya mkataba.
Aliyenacho anaongezewa

asiyenacho hata kile kidogo alichonacho atanyan'ganywa kwa nguvu

Tajiri hampendi maskini
Lakini maskini anatakiwa kumpenda tajiri asipofanya hivyo ataambiwa ana wivuu..!! maskini jeuri..!!
 
Back
Top Bottom