Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,101
- 1,573
sasa mnataka tuwe marajiri wote nani ataosha magari yenu na kupiga deki nyumba zenu? hayo ma sufuria mtadugua na mikucha yenu hiyo mirefu watoboe wachache tu ili maisha yaende kila mtu akimiliki mzigo wa pesa ni sawa na kuwa maskini wa kutupwa sababu nani sasa atakaye tumwa? [emoji1787] yaani hivi tulivyo ndivyo tunavyo takiwa kuwa ni lazima kundi fulani li nyonywe tu tofauti na hapo maisha yana weza kuwa magumu sana [emoji22]