Wanavuta spidi tu kitakapowaka kitaumanaWalitaka kuja ila bado hawajaanza mchakato umekumbana na changamoto, online unapiga hela tuu hakuna vurugu.
Wee jamaa hujapata connection bado?Mkuu hujui kua tunatofautiana? Hujui kuna watu wameridhika na hayo unayoyaongea, kuna watu wanapambana kwa nguvu nyingi sana kua maskini na akina sisi tunapambana kwa njia zozote kua MATAJIRI..ikiwezekana kukaa sehemu moja na Lucifer kufanya mkataba.
Tatizo wa Tanzania tunavipaji vya kulalamika sana,mnahisi kuna watu wanakodi nyingi kama marekani kila siku watu wanafilisiwa,mfano mdogo angalia wasanii wakubwa na waliobaki nikilio hatari huko.Tujifunze kulipa kodi na michango mengine kwa serikaliTuseme ulikiwa unafanya biashara maeneo yasiyo rasmi (machinga) ukatolewa na serikali.
Ukatoka na msingi wako wa 2ml kwenda mtaani kuanza biashara unaamua kuuza kiduka cha vitu vidogo vidogo labda na gas za kupikia majumbani.
Kutokana na msingi kuwa mdogo na hali ya biashara mauzo yako yanakuwa hayazidi 60k kwa siku moja.
Kwa kawaida huwa maduka ya mtaani ukiuza 10,000 faida buku, kwa hiyo mauzo yako wastani ni 50k ina maana faida ni 5k tu.
Kodi ya pango ni 30k kwa mwezi umeme ni zaidi ya 10k
Manispaa inakuja kukukamata ukachukue leseni 80,000 kwa mwaka na city service levi 50,000.
TRA wanataka ukachukue TIN ya mlipa kodi kwa mwaka 150k makadirio ya chini kabisa.
Hujakaa sawa serikali ya mtaa inakuja inatakiwa kulipa ulinzi shirikishi 2000 na takataka 15,000 kwa mwezi.
Kama hutaki usifanye biashara
Weka matumizi yako ya kawaida kila siku ya lazma, kuna kutoboa kweli hapo?
Kuna ontario hukoDawa ni kuhamia online, huku hamna TRA wala leseni za manispaa[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya tozo na mikopo kipi kimejenga madarasa nchi nzima? Halafu tuliambiwa madarasa yatakua na talizi mbona hata siling bod mtihani?Tunajua lakini hakuna usawa kwenye ulipaji
Akili za kuambiwa changanya na za kwako ndio utajua maana ya maneno yakoKati ya tozo na mikopo kipi kimejenga madarasa nchi nzima? Halafu tuliambiwa madarasa yatakua na talizi mbona hata siling bod mtihani?
Mkuu Africa ndiyo bara pekee ambalo viongozi wake wanakamua ng'ombe maziwa bila kuwalisha vizuri. Huko Marekani ng'ombe wanalishwa vizuri kwanza halafu ndiyo wanakamuliwa maziwa.Tatizo wa Tanzania tunavipaji vya kulalamika sana,mnahisi kuna watu wanakodi nyingi kama marekani kila siku watu wanafilisiwa,mfano mdogo angalia wasanii wakubwa na waliobaki nikilio hatari huko.Tujifunze kulipa kodi na michango mengine kwa serikali
Tatizo wa Tanzania tunavipaji vya kulalamika sana,mnahisi kuna watu wanakodi nyingi kama marekani kila siku watu wanafilisiwa,mfano mdogo angalia wasanii wakubwa na waliobaki nikilio hatari huko.Tujifunze kulipa kodi na michango mengine kwa serikali
Rushwa ni tamu ukiitoa wewe ila akutolee mtu ndio utaona ubaya wakeKwahio ndo tuseme rushwa imekuja kutuokoa kiasi fulani sio?
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
Biashara zipi zinafanywa mtandaoni mkuu, na mtaji upojeWalitaka kuja ila bado hawajaanza mchakato umekumbana na changamoto, online unapiga hela tuu hakuna vurugu.
Mbona zipo nyingi mkuu, chochote kile unauza online we piga picha bidhaa yako weka bei post mtandaoni alafu sikiliziaBiashara zipi zinafanywa mtandaoni mkuu, na mtaji upoje
SawaMbona zipo nyingi mkuu, chochote kile unauza online we piga picha bidhaa yako weka bei post mtandaoni alafu sikilizia
Na haya ndio maisha ya kibongo sasa, ujanja ujanja mwingi ku bargain nje ofisi kwa sana tuNa ndipo hapo rushwa zinapoingia.