- Thread starter
- #21
UNGA WA MAHINDIMkuu,ni unga wa mahindi huu huu au ni tofauti?Kuna kitu umeruka ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNGA WA MAHINDIMkuu,ni unga wa mahindi huu huu au ni tofauti?Kuna kitu umeruka ama?
Acha uongo TFDA haipo na hakuna tozo hiyo kwa mwaka hata kama ingekuwepo leo.Baada ya kupambana saana na Maisha ya ajira, nikafikiria nitafute namna ya kuingiza kipato kingine. Akili ikanutuma shambani kweli nimeingia shambani na Hali siyo mbaya. Wazo likaja tena niachane na wakati wa Kati
Acha kukurupuka nenda Halmashauri ya Ubungo utapata majibu, Haujawahi hata kufanya biashara ya ubuyu unataka kujadili mambo ya wanaume, chukuwa chenji aliyoacha shemeji asubuhi ukabetiAcha uongo TFDA haipo na hakuna tozo hiyo kwa mwaka hata kama ingekuwepo leo.
#MaendeleoHayanaChama
p
Nahitaji suluhisho ili uwe mfanyabiashara unapaswa kuwa vipi, TOA suluhisho ili tuendelee. Kama kuna namna wewe unafanya bila vibali tueleze pia kuwa unafanyaje. Weka kila kitu hapa usinambie nikufuate Private messageNafikiri wewe sio mfanya Biashara, ni mtafuta vibali.
Mkuu sjakwambia uje PM. Nimekwambia kwamba nenda sokoni angalia wengine wanaouza unga wa mahindi wanafanyaje. Kisha ukitaka kuja PM uje.Ila ukitaka kukata vibali utakata vingi sana hata ambavyo huvihitaji.Nahitaji suluhisho ili uwe mfanyabiashara unapaswa kuwa vipi, TOA suluhisho ili tuendelee. Kama kuna namna wewe unafanya bila vibali tueleze pia kuwa unafanyaje. Weka kila kitu hapa usinambie nikufuate Private message
Ama nenda Tu pale manzese ukazungumze na wale wasagishaji pale wanachama Chao nadhani kinaitwa Uwamase. Siyo kila kitu ubishe au comment uonekane Una na wewe umeconnent, hili Mimi nimelileta Kwa sababu ni vitu nimekutana navyo.Acha kukurupuka nenda Halmashauri ya Ubungo utapata majibu, Haujawahi hata kufanya biashara ya ubuyu unataka kujadili mambo ya wanaume, chukuwa chenji aliyoacha shemeji asubuhi ukabeti
Mkuu mimi nilijilipua nikaacha ajira na kuanzisha kampuni ilikuwa ubia na wadau wangu kilichonikuta 🙌...sasa hivi hadi nabeti ilimradi maisha yasogeeBaada ya kupambana saana na Maisha ya ajira, nikafikiria nitafute namna ya kuingiza kipato kingine. Akili ikanutuma shambani kweli nimeingia shambani na Hali siyo mbaya. Wazo likaja tena niachane na wakati wa Kati mazao yangu niyaongezee thamani.
Lengo likiwa kuanzisha mashine ya kukoboa mahindi, kusaga na kupaki. Hapo ndo kwenye mziki Kodi zilizoko hapo utajuta kuzaliwa Tz, kama ifuatavyo service Levy 324,000, mapato laki 8 mpaka milioni 3, Kodi ya vipimo elfu70, Kodi ya uzani laki 120, leseni laki3,Stop laki 3, haijalishi kama unastoo yako, TFDA laki 7 bado sijaenda TBS na tayari naona kama nimeshashindwa ngoja nibaki huko huko porini atakayenunua ndo akapambane huko
Kampuni ilijihusisha na nini mkuu?Mkuu mimi nilijilipua nikaacha ajira na kuanzisha kampuni ilikuwa ubia na wadau wangu kilichonikuta 🙌...sasa hivi hadi nabeti ilimradi maisha yasogee
Nafikiri alimaanisha TFDA siku hizi ni TMDAAcha kukurupuka nenda Halmashauri ya Ubungo utapata majibu, Haujawahi hata kufanya biashara ya ubuyu unataka kujadili mambo ya wanaume, chukuwa chenji aliyoacha shemeji asubuhi ukabeti
Telecom na supply ya ICT equipment...sitaki hata kukumbuka tulikuwa tunajazana upepo risk ni ndogo...nikipata chance narudi kuajiriwa sasa hivi nipo kipindi cha mpito na frustrations ila napiga kazi yoyote kusogeza siku mbele🤣Kampuni ilijihusisha na nini mkuu?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Baada ya kupambana saana na Maisha ya ajira, nikafikiria nitafute namna ya kuingiza kipato kingine. Akili ikanutuma shambani kweli nimeingia shambani na Hali siyo mbaya. Wazo likaja tena niachane na wakati wa Kati mazao yangu niyaongezee thamani.
Hehehee! Kwa kweli mtaani kunataka moyo sana kwa kweli. Sio rahisi kama wengi tunavyodhani.Telecom na supply ya ICT equipment...sitaki hata kukumbuka tulikuwa tunajazana upepo risk ni ndogo...nikipata chance narudi kuajiriwa sasa hivi nipo kipindi cha mpito na frustrations ila napiga kazi yoyote kusogeza siku mbele🤣
Baada ya kupambana saana na Maisha ya ajira, nikafikiria nitafute namna ya kuingiza kipato kingine. Akili ikanutuma shambani kweli nimeingia shambani na Hali siyo mbaya. Wazo likaja tena niachane na wakati wa Kati mazao yangu niyaongezee thamani.
Lengo likiwa kuanzisha mashine ya kukoboa mahindi, kusaga na kupaki. Hapo ndo kwenye mziki Kodi zilizoko hapo utajuta kuzaliwa Tz, kama ifuatavyo service Levy 324,000, mapato laki 8 mpaka milioni 3, Kodi ya vipimo elfu70, Kodi ya uzani laki 120, leseni laki3,Stop laki 3, haijalishi kama unastoo yako, TFDA laki 7 bado sijaenda TBS na tayari naona kama nimeshashindwa ngoja nibaki huko huko porini atakayenunua ndo akapambane huko
Du aisee hii noma mzee mpaka unabet, kama mimiMkuu mimi nilijilipua nikaacha ajira na kuanzisha kampuni ilikuwa ubia na wadau wangu kilichonikuta [emoji119]...sasa hivi hadi nabeti ilimradi maisha yasogee
Naheshimu sana mtu anayeweza kufungua biashara na kustahimili kwa miaka zaidi ya mitatu, anakuwa amepitia mengi sana!Hehehee! Kwa kweli mtaani kunataka moyo sana kwa kweli. Sio rahisi kama wengi tunavyodhani.
Yote maisha, cha umuhimu ni afya na furaha 🙏
Ni kweli. Ndani ya miaka mitatu unakuwa umeshapitia changamoto za kutosha. Na ukiweza kuzikabili, lazima ufike mbali.Naheshimu sana mtu anayeweza kufungua biashara na kustahimili kwa miaka zaidi ya mitatu, anakuwa amepitia mengi sana !