Tanzania ni ngumu kutoboa kibiashara kwasababu ya mrundikano wa kodi

Tanzania ni ngumu kutoboa kibiashara kwasababu ya mrundikano wa kodi

Serikali imeweka mazingira rahisi sana kwenye viwanda vidogo vidogo tatzo ni sisi kusikiliza story za vijiweni kama huyo mtoa mada anavyosema,,,, ukianzia SIDO ukapata confirmation letter ukienda nayo TBS utapewa mark ya bure kwa mwaka mmoja na baada ya hapo utaanza kulipia 25% ya gharama ya mark kwa miaka minne kabla ya kuanza kulipia kawaida wakiassume utakuwa umekuwa mfanya biashara mkubwa,,,tembelea website ya TBS kwenye usajili utaona.

Service levy ni kodi ya majiji inalipwa kwny big cities tu sio kila mahari nadhani ni dar,mbeya,arusha na mwanza ww upo mororgoro hii kodi haikuhusu tatzo sisi hatuna taarifa sahihi...,na huwa inalipwa 0.008% ya makadirio ya faida yako kwa mwaka ni hela ndogo sana. siku hizi ishu za vyakula ziko chini ya TBS so TFDA/TMDA haipo. TRA wanakata kodi kulingana na makadirio yako ya faida ya mwaka,,hizo kodi/makato zote zinalipwa kwa mwaka sasa biashara gani ambayo haikupi zaid ya 2.4mil kwa mwaka??
 
serikali imeweka mazingira rahisi sana kwenye viwanda vidogo vidogo tatzo ni sisi kusikiliza story za vijiweni kama huyo mtoa mada anavyosema,,,, ukianzia SIDO ukapata confirmation letter ukienda nayo TBS utapewa mark ya bure kwa mwaka mmoja na baada ya hapo utaanza kulipia 25% ya gharama ya mark kwa miaka minne kabla ya kuanza kulipia kawaida wakiassume utakuwa umekuwa mfanya biashara mkubwa,,,tembelea website ya TBS
Ufafanuzi wako ni mzuri, lakini unapaswa utambue kuwa Mimi binafsi ndo niliyekuwa nahitaji kupata hivo vibali, nimeenda mwenyewe kufuatilia ofisi ya Halmashauri ya Ubungo na majibu ndo hayo.

Hivo kama ofisi ya serikali inakuwa haina maelezo sahihi Mimi Hilo siyo tatizo langu. Hapo wewe umeongeza issue ya Sido ambayo mimi sikujua kwamba kuna kupitia uko. Lakini ulazima wa kwenda Sido inatokana na nini? Kwa nini tusiwe na one stop center ambayo ukifika unapata huduma zote au maelezo yote.

Kuhusu biashara ya kutopata shilingi milioni mbili Kwa mwaka Hilo linawezekana na ndo maana unaona biashara nyingi zinashindwa kuendelea.

Pia unaweza pata hiyo hela unayotaja hapo isiwe profit Bali turn over.
Ukishakuwa hujatengeneza faida na ukatoa kwenye mtaji Kwa mwaka mwingine tena ni wazi hiyo biashara haiwezi kuendelea.
 
serikali imeweka mazingira rahisi sana kwenye viwanda vidogo vidogo tatzo ni sisi kusikiliza story za vijiweni kama huyo mtoa mada anavyosema,,,,
Mkuu you are a good man.Umesaidia wengi sana kwa hili.Mtoa mada anapaswa akulipe kwa hili jibu.
 
Ufafanuzi wako ni mzuri, lakini unapaswa utambue kuwa Mimi binafsi ndo niliyekuwa nahitaji kupata hivo vibali, nimeenda mwenyewe kufuatilia ofisi ya Halmashauri ya Ubungo na majibu ndo hayo. Hivo kama ofisi ya serikali inakuwa haina maelezo sahihi Mimi Hilo siyo tatizo langu. Hapo wewe
Mkuu,PM bado inakuhusu.Narudia tena kuna tofauti kati ya mfanya biashara namtafuta vibali na kwa kweli bado naona unataka kuwa mtafuta vibali.Hilo jibu alilokupa huyu bwana ni adimu sana kulipata kirahisi.Kama nalo halikufai basi nitafute PM.
 
Mkuu,PM bado inakuhusu.Narudia tena kuna tofauti kati ya mfanya biashara namtafuta vibali na kwa kweli bado naona unataka kuwa mtafuta vibali.Hilo jibu alilokupa huyu bwana ni adimu sana kulipata kirahisi.Kama nalo halikufai basi nitafute PM.
Ndugu naomba tuelewane kitu kimoja, nimekuambia Mimi ni mjasiriamali na si mfanya biashara, na Katika huo ujasiriamali sipendi kuwa under shadow. Ndo maana najitahidi kutaka kufanya mambo yangu Katika njia sahihi na si ujanja ujanja. Niko tayari kupata faida kidogo nikiwa upande salama.

Kama nilivotangulia kusema Mimi ni mkulima na si mkulima WA simu na picha. Najua faida iliyoko huko. Ukirudi upande wa kuuza unga lengo nikuongeza mnyororo wa thamani Tu. Ikiwa kulikuwa na majibu ambayo siyo sahihi ndo maana nikaja na huku majukwaani ili tulijadili Kwa upana wake. Katika watu ambao wanafanya kazi kubwa na kupata faida kidogo ni wakulima hasa WA mazao ya nafaka.

Kwa kuliona Hilo ndo maana nikatamani kuokota faida kidogo kidogo. Na Katika biashara kama unavosa njia iliyokutoa wewe si itakayo nitoa Mimi hata tuta- apply kila kitu Sawa. Lengo langu hapa sitafuti kushindana Kwa sababu mwisho wa siku kipato changu Kinabaki kuwa changu na cha kwako Kinabaki kwako.

Nikiona swala kukoboa na kusaga unga halina tija nitaachana nalo, nitaendelea kuuzia mahindi yangu uko Shamba ambako si lipi hata shilingi kwani mpaka hapo serikali ndo itakuwa imepoteza zaidi.
 
Ndugu naomba tuelewane kitu kimoja, nimekuambia Mimi ni mjasiriamali na si mfanya biashara, na Katika huo ujasiriamali sipendi kuwa under shadow.
Mkuu,nakuelewa.ila bado pm inakuhusu.all the best
 
Kama umeshindwa hata kumpa mwanamke mimba Kwa miaka 27, uataweza mambo makubwa yanayohitaji akili kuyachanganua?
Mi sina tatizo la kuzaa, nilitaka tu kuhakikisha kuwa tatizo si hao wanawake bali ni mwanamme.
 
Ufafanuzi wako ni mzuri, lakini unapaswa utambue kuwa Mimi binafsi ndo niliyekuwa nahitaji kupata hivo vibali, nimeenda mwenyewe kufuatilia ofisi ya Halmashauri ya Ubungo na majibu ndo hayo.

Hivo kama ofisi ya serikali inakuwa haina maelezo sahihi Mimi Hilo siyo tatizo langu. Hapo wewe umeongeza issue ya Sido ambayo mimi sikujua kwamba kuna kupitia uko. Lakini ulazima wa kwenda Sido inatokana na nini? Kwa nini tusiwe na one stop center ambayo ukifika unapata huduma zote au maelezo yote.

Kuhusu biashara ya kutopata shilingi milioni mbili Kwa mwaka Hilo linawezekana na ndo maana unaona biashara nyingi zinashindwa kuendelea.

Pia unaweza pata hiyo hela unayotaja hapo isiwe profit Bali turn over.
Ukishakuwa hujatengeneza faida na ukatoa kwenye mtaji Kwa mwaka mwingine tena ni wazi hiyo biashara haiwezi kuendelea.

Report ya mwaka ikionesha hauna faida haukatwi kodi mkuu,,, labda usipeleke hyo report ukalimwa fine ya kukwepa kodi
 
Back
Top Bottom