Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Jameni $160b yaani mara karibu nne ya uchumi wao, hawa kweli ni wa kuhurumiwa.
Muandishi wa haya makala inaonekana hakujua hawa waliangukia pua kwenye bandari ya Bwagamoyo, hawana kingine cha kuskika Afrika, hivi vimiradi wanataja humu ukijumuisha ni chenji kwa miradi ya Kenya.
Wewe ni miongoni mwa vichaa hapa JF unafahamika hivyo, sasa kama nilimaanisha $160B kwanini jumla ya projects zote hapo chini ni $8.3B isiwe zaidi ya $160B?, tukiwadharau kwamba uwezo wenu wa akili ni mdogo mnasema tunadharau.

Ukweli ni kwamba mnataka kuvuruga huu uzi baada ya kujua ukweli kwamba projects, za Tanzania ni mara mbili ya projects zenu kwa thamani, mnaanza kushupalia typing errors za kijinga, kwanini msishangae jumla ya projects zote hiyo $160B haijajitokeza badala yake ni $8.3B, stupid
 
Mtachoka tu.

KQ - 5 million annual passengers.
ATCL - 200,000 passengers.

Imagine kutengeneza hasara hio yote na abiria 200,000? 😂 😂 😂$
Zungumzia total projects za Tanzania kufikia zaidi ya $60B sawa na zaidi ya 40% ya projects zote za East Africa, Wakati Kenya ni $36B, sawa na 29% ya projects zote za East Africa, msijaribu kukimbia huu uzi kwa kuleta mada tofauti ili kuficha hii aibu. Tanzania ni baba lao.
 
Kwani tz huwa nyuma aje? Interchange moja imewashinda kumaliza ilhali hapa Kenya zipo Kila Kona ya Nchi...Mambo ya interchange tunawachia tz ikabiliane na Nakuru.
Interchange na overpass tulishakuwa nazo, mfano pale kurasini na barabara ya gerezani (barabara juu ya reli).

Hii ya ubungo inaongelewa sana kwasababu ya tatizo itakayotatua. Sehemu ile inatatizo kubwa la foleni na ndiyo njia kuu ya kutoka/kuingia Dar es salaam.
Mahakama Tz hamna ispokuwa Dar?
Screenshot_2020-02-07 SPIKA WA BUNGE AZINDUA JENGO LA MAHAKAMA WILAYA YA KONDOA.png


Mahakama zilikuwepo ila zilikuwa za kikanda, sasa hivi zinajengwa nyingi kila wilaya ili ziwe karibu zaidi na wananchi.Tanzania kuna wilaya zaidi ya 160.
Barabara Nchi Nzima na mlituambia Nchi Nzima ni lami to 😂😂
Hizo zilizojengwa ni barabara za kitaifa (trunk roads) na za mikoa (regional roads), zinazojengwa sasa ni zile za kata (mashinani) na baadhi ya kitaifa zilizosalia.
Ndege zinazokamatwa ovyo kwa madeni Hadi haziruki kwa "tuliowakomboa" Yani mabwana zenu waliokuwa wanaombwa msaada wa madawati na gererali/mtume yohana mbenge mapadlocks.
Hii inauhusioano gani na ununuzi wa ndege?
Hio miradi mingine ni hewa zaidi kuliko hio nyingine uliotaja.
Leta uthibitisho.
 
Umeacha Kigongo-Busisi
1)Hydroelectric dam $3B
2)SGR $3.2B
3)BRT $160B
4)Salender bridge $360M
5)Ujenzi wa Meli na Chelezo $150M
6)Daraja la Busisi $400M
7)Ndege za ATCL $670M
8)Ujenzi wa rada 4 za kuongoza ndege $70M
9)Ubungo interchange $90M
10)Ukarabati wa Airpits 10 $275M
11)Dar-Kibaha Supper high $60M
Total =$8.3M

Leteni projects zenu U/C jumla zinazozidi $2B. Kumbuka kwamba SGR yenu haipo U/C kwasasa, ujenzi umesimama hakuna pesa kwa wakati huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Hydroelectric dam $3B
2)SGR $3.2B
3)BRT $160B
4)Salender bridge $360M
5)Ujenzi wa Meli na Chelezo $150M
6)Daraja la Busisi $400M
7)Ndege za ATCL $670M
8)Ujenzi wa rada 4 za kuongoza ndege $70M
9)Ubungo interchange $90M
10)Ukarabati wa Airpits 10 $275M
11)Dar-Kibaha Supper high $60M
Total =$8.3M

Leteni projects zenu U/C jumla zinazozidi $2B. Kumbuka kwamba SGR yenu haipo U/C kwasasa, ujenzi umesimama hakuna pesa kwa wakati huu.
Ndege ni infrastructure?
 
Interchange na overpass tulishakuwa nazo, mfano pale kurasini na barabara ya gerezani (barabara juu ya reli).

Hii ya ubungo inaongelewa sana kwasababu ya tatizo itakayotatua. Sehemu ile inatatizo kubwa la foleni na ndiyo njia kuu ya kutoka/kuingia Dar es salaam.

View attachment 1349174

Mahakama zilikuwepo ila zilikuwa za kikanda, sasa hivi zinajengwa nyingi kila wilaya ili ziwe karibu zaidi na wananchi.Tanzania kuna wilaya zaidi ya 160.

Hizo zilizojengwa ni barabara za kitaifa (trunk roads) na za mikoa (regional roads), zinazojengwa sasa ni zile za kata (mashinani) na baadhi ya kitaifa zilizosalia.

Hii inauhusioano gani na ununuzi wa ndege?

Leta uthibitisho.
Show me complete projects wacha kutaja vitu viwili.
 
Zungumzia total projects za Tanzania kufikia zaidi ya $60B sawa na zaidi ya 40% ya projects zote za East Africa, Wakati Kenya ni $36B, sawa na 29% ya projects zote za East Africa, msijaribu kukimbia huu uzi kwa kuleta mada tofauti ili kuficha hii aibu. Tanzania ni baba lao.

Sijui kama umesoma hio link imewekwa.
Article inaongea kuhusu projects za 2019. Ilhali mimi na wewe tunajua project mingi zimewekwa hapo kama LNG ya $30b ni project za zaidi ya miaka kumi, na zingine hata hazijaanzishwa.

Mwandishi wa ripoti lazima awe mzungu asiyefahamu mambo halisi.
 
50% Miradi ya kenya imekwama sababu ya pesa. Wapi umesikia Mradi Tanzania umekwama?


Unaelewa nilichoandika? And btw; ujenzi wa bomba la mafuta Hoima - Tanga umefika asilimia ngapi leo hii? SGR ilikuwa izinduliwe lini vile?
 
1)Hydroelectric dam $3B
2)SGR $3.2B
3)BRT $160B
4)Salender bridge $360M
5)Ujenzi wa Meli na Chelezo $150M
6)Daraja la Busisi $400M
7)Ndege za ATCL $670M
8)Ujenzi wa rada 4 za kuongoza ndege $70M
9)Ubungo interchange $90M
10)Ukarabati wa Airpits 10 $275M
11)Dar-Kibaha Supper high $60M
Total =$8.3M

Leteni projects zenu U/C jumla zinazozidi $2B. Kumbuka kwamba SGR yenu haipo U/C kwasasa, ujenzi umesimama hakuna pesa kwa wakati huu.
Lappset $25b
Tatu $2.5b
Kisumu port $30m
JKIA-Westlands expressway $630m
Isibania -Kisii riad $195m
Eldoret- Nadapal- Juba Highway $1b
Kibwezi- Kitui road $230m
Outer ring road and Ngong` road expansion $170m
JKIA-Rironi $670m
Mombasa port expansion $ $200m
Dongo kundu Economic zone $2b
Kisumu-mamboleo junction $$26m
Affordable housing $
Mombasa- Mariakani dualing $173m

Among others.
 
Samahani, kumbe hukuelewa kwamba hiyo $160B ni typing error nikimaanisha ni $160M. Nilidhani umejirekebisha kumbe bado upuuzi wako unaendelea hata baada ya kuingia 2020?. Vipi ujenzi wa BRT ufike $160B, wewe ni mwendawazimu sina sababu ya kuendelea kujadiliana na wewe

Huna ujualo zaidi ya kuimba mapambio. Typing errors hadi kwenye jumla? Mtoto wa chekechea HAWEZI kufanya makosa ya namna hiyo.
 
Kwani ukiwa na miradi kumi ya $100mil, ukijulisha siunapata $1trl. Hivi wewe ukipewa 20ksh tano, utakataa na kusema hizi ni ndogo nipe 100ksh moja?
Kweli Hesabu ni shida Tanzania. Ukijumuisha $100m kumi unapata $1b na sio $1trl venye unasema.
 
Sijui kama umesoma hio link imewekwa.
Article inaongea kuhusu projects za 2019. Ilhali mimi na wewe tunajua project mingi zimewekwa hapo kama LNG ya $30b ni project za zaidi ya miaka kumi, na zingine hata hazijaanzishwa.

Mwandishi wa ripoti lazima awe mzungu asiyefahamu mambo halisi.
Hata Kenya pia wameweka projects za 2019 zikijumlisha pesa yote ya SGR mpaka Malaba, hajajua kwamba mchina amejitoa kwa hiyo reli imeishia porini, pia hajajua kwamba Marekani imesimamisha pesa ya Mombasa - Nairobi high Way, huo mradi haupo tena.

Mimi nimeorodhesha projects zetu ambazo zipo U/C na zinaendelea, tafadhali na ninyi wekeni zakwenu zinazoendelea japo tulinganishe tupate picha halisi
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Unaelewa nilichoandika? And btw; ujenzi wa bomba la mafuta Hoima - Tanga umefika asilimia ngapi leo hii? SGR ilikuwa izinduliwe lini vile?
Umesikia magu akisema hakuna pesa za mbomba? Uzembe wa uganda haundeshani na kasi ya magu. SGR delay is force majeure.
Kwa akili hizi, magu yupo na kazi ya ziada kuelimisha ma zombie
 
Kweli Hesabu ni shida Tanzania. Ukijumuisha $100m kumi unapata $1b na sio $1trl venye unasema.
Acheni kushughulika na vitu vidogo na ky
Huna ujualo zaidi ya kuimba mapambio. Typing errors hadi kwenye jumla? Mtoto wa chekechea HAWEZI kufanya makosa ya namna hiyo.
Kwahiyo mimi sijui hesabu ninakubali, na wewe kubali kwamba huna akili kiasi cha kushindwa kuelewa makosa yaliyofanyika na kuachana nayo ili ujikite kwenye mada badala yake unashupalia makosa ya kimahesabu.
 
Lappset $25b
Tatu $2.5b
Kisumu port $30m
JKIA-Westlands expressway $630m
Isibania -Kisii riad $195m
Eldoret- Nadapal- Juba Highway $1b
Kibwezi- Kitui road $230m
Outer ring road and Ngong` road expansion $170m
JKIA-Rironi $670m
Mombasa port expansion $ $200m
Dongo kundu Economic zone $2b
Kisumu-mamboleo junc
Lappset $25b
Tatu $2.5b
Kisumu port $30m
JKIA-Westlands expressway $630m
Isibania -Kisii riad $195m
Eldoret- Nadapal- Juba Highway $1b
Kibwezi- Kitui road $230m
Outer ring road and Ngong` road expansion $170m
JKIA-Rironi $670m
Mombasa port expansion $ $200m
Dongo kundu Economic zone $2b
Kisumu-mamboleo junction $$26m
Affordable housing $
Mombasa- Mariakani dualing $173m

Among others.
Hahahaha Lapset $25B, tunaomba ushahidi huu mradi nani ametoa pesa na kiasi gani hadi sasa pesa iliyipatikana na mradi umefikia asilimia ngapi?
Tatu City $2.5B, please provide evidence kama pesa ipo, hivyo hivyo kwa Dongo Kundu SEZ.

Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Hata Kenya pia wameweka projects za 2019 zikijumlisha pesa yote ya SGR mpaka Malaba, hajajua kwamba mchina amejitoa kwa hiyo reli imeishia porini, pia hajajua kwamba Marekani imesimamisha pesa ya Mombasa - Nairobi high Way, huo mradi haupo tena.

Mimi nimeorodhesha projects zetu ambazo zipo U/C na zinaendelea, tafadhali na ninyi wekeni zakwenu zinazoendelea japo tulinganishe tupate picha halisi

Phase 2 ya SGR ishafika Naivasha. Huo sio mradi ambao haujaanza, kama tunayoyaona Tanzania.
It's a matter of time na pesa za kufika Uganda zitapatikana.

Tanzania mkiondoa LNG na Bagamoyo, already mshashuka chini ya $10B 😂 😂 😂
 
Phase 2 ya SGR ishafika Naivasha. Huo sio mradi ambao haujaanza, kama tunayoyaona Tanzania.
It's a matter of time na pesa za kufika Uganda zitapatikana.

Tanzania mkiondoa LNG na Bagamoyo, already mshashuka chini ya $10B 😂 😂 😂
Mchina ameshakataa kutoa pesa, serikali yenu ilishatangaza kwamba reli itaishia Naivasha sasa hivi wanajenga reli ya Zamani kutoka Naivasha hadi Malaba, hakuna tena pesa wala mpango wa kuifikisha SGR hadi Malaba. Wakati huo huo kipande cha SGR toka Dar-MOROGORO, kimefikia 80% na kile Cha MOROGORO hadi Dodoma 30%, kumbuka hadi sasa hatujapata mkopo, yote hiyo ni pesa yetu, Hahahaha
 
Acheni kushughulika na vitu vidogo na ky

Kwahiyo mimi sijui hesabu ninakubali, na wewe kubali kwamba huna akili kiasi cha kushindwa kuelewa makosa yaliyofanyika na kuachana nayo ili ujikite kwenye mada badala yake unashupalia makosa ya kimahesabu.

Point kubwa hapa ni monetary value ya projects, in other words hesabu. So makosa ya kimahesabu yanamaanisha makosa ya habari nzima. Kwa hiyo wewe mwenye akili lakini usiejua hesabu tuambie mantiki ya post yako.
Everyone will laugh at your stupidity.
 
Back
Top Bottom