Kim ji hyun
Member
- Mar 30, 2021
- 96
- 117
Nahisi wazazi wapo busy sana sku hiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau mkuu...kama wewe unakula snack ni wewe unataka nambia wali maharage mchicha kachumbari na kipande cha tikiti bila kusaahau maji ya kunywa bariiid ni snacksDinning ni kwa ajili ya wanaokula( dinning)Sio kula snacks uende dinning. Wengi tunaishi kwa snacks na sio meal
Mwambie, na umwambie ni kiasi gani hiyo tabia ya kusemwa wakati wa kula imekuathiri.Dah, mama yako anafanana sana na wangu! Aisee kwa wiki ikitokea sijapigwa basi ni Mara mbili au tatu, asipokua bize na mambo yake basi wiki nzima atatembeza stick,ikifika jioni unaanza kuwaza Leo ntakua nimekosea wapi.. Wife nae anatabia hii,hana dogo, yaani muda wa kula ndio anaanza kuhukumu kesi za watoto! Nakerekaga sana.
Ni kweli Mkuu, tushaongea sana ila mwenzangu naona ipo kwenye damu yake.!Mwambie, na umwambie ni kiasi gani hiyo tabia ya kusemwa wakati wa kula imekuathiri.
Wasitumie chakula kama adhabu, kuwa "ntampata tu wakati wa kula".
Kuna watu hawana msisimko na chakula, wanakula tu ili wasife, sababu ya athari za kimtazamo walizozipata wakati wa makuzi yao. Mfano nina rafiki yangu hali nyama kabisa, anasema alivyokuwa mdogo alikuwa anapenda nyama sana kiasi cha kudokoa akikuta, siku akafumwa na Bi mkubwa wake, alipigwa kipigo cha mbwa koko kiasi kwamba akahitimisha kuwa yeye na nyama basi kuanzia siku hiyo, hadi leo hii anaziangalia tu nyama hali. Ni kastori chakuchekesha lakini ni cha kuhuzunisha sana.
Dinning Table ya kazi gani na wakati chakula ushapakuliwa kwenye sahan!? Hizi tamaduni tumecopy bila kuelewa maana yake..Wakuu,
Nimefanya utafiti usio rasmi.
Ndani ya Tanzania yetu. Nyumba nying Sana zinajengwa zikiwa na sehemu ya dinning room.
Cha kushangaza, nyumba nyingi Sana Dinning room zimegeuzwa eneo la wazi na lisilotumika kwa ajili chakula Kama ilivyokusudiwa.
Wengi Sana Nmeona bado wana utamaduni wa kulia chakula sebleni (living room).
Hii imekaaje, nini MTIZAMO Wako kuhusu ili suala.
My take:
Kama mtu hapendi kulia chakula dinning room, ni Bora tu kwenye ramani yake asiijenge.
Ni upotezaji wa rasilimali fedha kujenga kitu usichokua na matumizi nacho.
Na watoto wanataka wapelekewe vyakula vyumbani mwao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula pamoja mezani na kusali pamoja ni vitu muhimu ambavyo vinasahaulika katika jamii. Mnapo sali pamoja ni rahisi watoto kukumbuka sala hata wakiondoka nyumbani. Kula pamoja kunafundisha watoto table manners.
Tatizo linaanza pale uhusiano wa wazazi unapoanza kuyumba. Baba na mama hawako vizuri na hawawezi kukutana mezani.
Wakati mwingine baba anaangalia mpira na chakula chake apelekewe sebuleni. Mama anaangalia Instagram na yeye anataka chakula chake kiachwe jikoni atakula atakapokua tayari.
Niambie wewe...Anyway ni chakula ambacho hakihitaji mbwembwe kukila.Acha dharau mkuu...kama wew unakula snack ni wew.unataka nambia wali maharage mchicha kachumbari na kipandw cha tikiti bila kusaahau maji ya kunywa bariiid ni snacks
[emoji23][emoji23] wewe utakuwa unamiliki chumba kimojaMimi huwa nalia jikoni.
Umenikumbusha mbali Sana niliwahi kugoma kula dinning brazaa nilicharazwa muda mfupi uliofataKabisa,
hapo umenigusa hata Mimi pia.
Nlipokua mdogo Nlkua sipendi kula chakula dinning pamoja na familia.
Sababu kubwa ilkua kumkwepa mama,
yaani MDA wa kula pale dinning hasa Usiku,
Ndo MDA unaanza kusemwa makosa yako Yote uliofanya siku nzima.
Na Kama majibu hayaridhishi, baaada ya chakula Ni stiki.
Mkuu ubwabwa na maharage ni snacks?Dinning ni kwa ajili ya wanaokula( dinning)Sio kula snacks uende dinning.Wengi tunaishi kwa snacks na sio meal
KweliWakuu,
Nimefanya utafiti usio rasmi.
Ndani ya Tanzania yetu. Nyumba nying Sana zinajengwa zikiwa na sehemu ya dinning room.
Cha kushangaza, nyumba nyingi Sana Dinning room zimegeuzwa eneo la wazi na lisilotumika kwa ajili chakula Kama ilivyokusudiwa.
Wengi Sana Nmeona bado wana utamaduni wa kulia chakula sebleni (living room).
Hii imekaaje, nini MTIZAMO Wako kuhusu ili suala.
My take:
Kama mtu hapendi kulia chakula dinning room, ni Bora tu kwenye ramani yake asiijenge.
Ni upotezaji wa rasilimali fedha kujenga kitu usichokua na matumizi nacho.
Sometimes watoto wanasumbua kweli, hasa wa kiume, japo si kwa ubaya lakini utakuta wanakuzingua ilhali wewe upo deep na mambo yako ya kimaisha.Cha kushangaza baba anasema nileteeni chakula changu hapa huko watoto wako wanasumbua sana. Wakati watoto uliwazaa mwenyewe na wanauliza maswali ili waelewe dunia.