Tanzania: Nyumba nyingi dining room zinajengwa, ila hazitumiki

Tanzania: Nyumba nyingi dining room zinajengwa, ila hazitumiki

Kwani huwezi kujenga dining room ambayo unaona living room kwenye Tv? I wish niweke yangu jinsi ilivyoungana
Mimi kwangu ni open floor plan (jiko na sebule vipo pamoja). Sina dinning room nina kitchen island kati kati yenye ukubwa wa futi 5 kwa 3. Huwa nakaa ktk sectional coach kupata chakula.

Muonekano wake ni kama huu.

Screenshot_20210516-191118.jpg


Screenshot_20210516-191006.jpg


Screenshot_20210516-190959.jpg


Screenshot_20210516-191108.jpg
 
Katika Hilo mm mjengo ninaoendelea kuujenga nimeweka open kitchen na dinning table design hapo hapo kupunguza mambo mengi very simple
 
Wengine wana dining mbili ile ya familia na ya wageni ambayo mara nyingi huwa ni kubwa na hii hutumika mara chache kama kuna wageni au special occasion for members of the family.

Wakuu,

Nimefanya utafiti usio rasmi.

Ndani ya Tanzania yetu. Nyumba nyingI Sana zinajengwa zikiwa na sehemu ya dinning room.

Cha kushangaza, nyumba nyingi Sana Dinning room zimegeuzwa eneo la wazi na lisilotumika kwa ajili chakula Kama ilivyokusudiwa.

Wengi Sana Nimeona bado wana utamaduni wa kulia chakula sebleni (living room).

Hii imekaaje, nini MTIZAMO Wako kuhusu ili suala.

My take:
Kama mtu hapendi kulia chakula dinning room, ni Bora tu kwenye ramani yake asiijenge.

Ni upotezaji wa rasilimali fedha kujenga kitu usichokua na matumizi nacho.
 
Back
Top Bottom