Wakuu,
Nimefanya utafiti usio rasmi.
Ndani ya Tanzania yetu. Nyumba nying Sana zinajengwa zikiwa na sehemu ya dinning room.
Cha kushangaza, nyumba nyingi Sana Dinning room zimegeuzwa eneo la wazi na lisilotumika kwa ajili chakula Kama ilivyokusudiwa.
Wengi Sana Nmeona bado wana utamaduni wa kulia chakula sebleni (living room).
Hii imekaaje, nini MTIZAMO Wako kuhusu ili suala.
My take:
Kama mtu hapendi kulia chakula dinning room, ni Bora tu kwenye ramani yake asiijenge.
Ni upotezaji wa rasilimali fedha kujenga kitu usichokua na matumizi nacho.