Tanzania opposition Chief Whip Tundu Lissu shot

Tanzania opposition Chief Whip Tundu Lissu shot

Hapo ndipo ninapowakubali wakenya mnathubutu..
Ni kwamba wakenya serikali yao ni ya kimamamama, Tanzania serikali ni ya kidume nyie leteni uwendawazimu kama hatujawatatua.
 
I am ashamed to be part of this continent. Back home Kagame has ruined democracy completely.Can I move in to Kenya? seems to be the only place that democracy is thriving.i dont know about security though
No one will welcome you in Kenya based on your tribe, Tanzania has all tribes living peaceful including yours
 
Ni kwamba wakenya serikali yao ni ya kimamamama, Tanzania serikali ni ya kidume nyie leteni uwendawazimu kama hatujawatatua.
Watz mkia nyuma kila mara,mtanyanyaswa mpaka mnye mavi
 
By THE CITIZEN
More by this Author


DAR ES SALAAM

Tanzania’s opposition Chief Whip in Parliament Tundu Lissu was Thursday shot by unknown assailants.

Mr Lissu, who is also Chadema’s chief legal counsel, was shot in stomach and leg, Dodoma Chief Regional Medical Officer James Charles said.

Briefing journalists Thursday, Dr Charles said a team of medical experts have been assigned to attend to Mr Lissu.

He said they will issue a report to relevant authorities in the due course but Mr Lissu is in stable condition.

Regional Police Commander Gilles Muroto said they have launched investigations into the shooting but preliminary reports show that people who attacked Mr Lissu were in a white Nissan vehicle.

Dodoma Regional Commissioner Jodarn Rugimbana said they have banned any gatherings in Dodoma Municipal.

“We also don’t want people to go to the hospital because the area is too small to accommodate many people.

“People should stay calm, go on with their activities and we will inform them if there is any development,” he said.

In the meantime, Chadema party has issued a statement condemning the attack.

“Chadema has received with great shock the report on the shooting of the Party chief legal counsel who is also Opposition Chief Whip in Parliament and Singida East MP, Tundu Antipus Lissu,” reads part of the statement.
 
The difference is Tanzanians are toothless touts.

Hawan'gati afadhali wakenya wakikataa udhalimu wanasimama kwa kiasi chake.

And that's what I like about Kenya.Eti kiongozi wao apigwe risasi halafu wakae kimya,thubutuuu.
 
Tumeaminishwa kuwa tuna Amani ili wazidi kututawala kwa mabavu na kutumia mitutu ya bunduki.Ila iko siku tutafika mwisho na itakuwa zamu yao kukimbia nchi.
 
Hao si walikuwa wanafanya fujo? Lissu alifanya nini? Umemsikia Joho,Kalonzo,Wetangula,Wamarwa au Odinga kakamatwa au kapigwa risasi? Mawazo ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako wewe unakuwa na chuki na serikali kiasi kwamba unapoteza uwezo hata wa kujenga hoja, walifanya fujo gani zaidi ya kuandamana kupinga matokeo ya uchaguzi jambo ambalo linaruhusiwa kikatiba Kenya, mbona huku Tanzania maandamano yakizuiliwa na polisi kwa sababu hizo hizo kwamba yataleta fujo watu wanalalamika?, Kwanini yakifanyika Kenya unasema yameleta fujo lakini yakifanyika Tanzania unasema ni haki ya kikatiba na hayana fujo?, Je hata kama yanaleta fujo ndiyo polisi iwapige risasi na kuwaua?, polisi ya Kenya ina vifaa vingi vya kisasa labda mara tatu ya vile vya polisi wa Tanzania vya kuweza kutuliza fujo bilakupoteza maisha, kwa nini mauaji yanazidi kutokea hata baada ya kuongezewa vifaa vya kutuliza fujo?,

Hujasikia Joho anavyovurugana na polisi kwa sababu ya kupingana na Uhuru Kenyata, mara ngapi nyumba yake imezingirwa na polisi?, Vituko anavyofanyiwa Joho na serikali ya Kenya huvijui au unajitoa akili, biashara zake kufungiwa account zake kuzuiliwa, ndugu zake na wafanya biashara walio marafiki zake kusumbuliwa, kama hujui mambo uliza ufahamishwe.

Anachofanyiwa Tundu Lisu sikiungi mkono lakini usilinganishe Tanzania na Kenya katika hili, Kenya inaongoza Afrika nzima katika extrajidicial killings(Transparency international report 2017), ukitofautiana tu na serikali Kenya unauliwa kama ilivyokuwa kwa Jakob Jumwa na hakuna mtu yeyote atakayekamatwa, nenda Mombasa uone jinsi vijana wanavyouliwa na kupotea ovyo kwa kisingizio cha ugaidi, acha kuzungumzz vitu usivyojua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Author Jenerali Ulimwengu
  • No end to harassment of Tanzania opposition
  • The government in Tanzania relentlessly continues to harass members of the opposition. While" there is no war, there is also no peace," says Tanzania political commentator Jenerali Ulimwengu.




    It is now becoming a near daily occurrence to witness this or that leader of the opposition arrested by the police on some charge that is not necessarily supported by the penal laws of Tanzania.

    A new normal is becoming acceptable in which even people's representatives - members of parliament and district councilors - can be held by security agents without the least regard for their status in the society or the propriety of the charges they are being arrested for.

    In one instance, Godbless Lema, the Member of Parliament for Arusha, was kept behind bars and denied bail for four months without any explanation. He was eventually granted bail only after judges on the Court of Appeal castigated lower courts as well as the state prosecutors for "defiling the law" by denying people their most basic rights - such as bail.

    Esther Bulaya, a female legislator for Bunda in Mara region, is currently being held by police because they say she was planning to address a public rally in a constituency other than hers. This curious "offence" flows from President John Magufuli's edict forbidding politicians from holding public meetings except in their own constituencies. The fact that there is no law stipulating such a limitation does not seem to daunt the police, who act on the president's order as though it were an act of parliament.


    Tanzania political analyst Jenerali Ulimwengu

    Tundu Lissu is a prominent lawyer for the opposition Chadema as well as an MP and the president of the Tanganyika Law Society (TLS). He has now become the favorite detainee of the police, regularly brought in on a string of charges, ranging from "insulting the president" to uttering seditious statements. Lissu has often called Magufuli a "petty dictator" publicly, and recently tried to show how Magufuli's actions as minister in previous administrations had caused heavy financial liabilities to the country.

    Significantly, Lissu was elected president of the TLS earlier this year with a landslide victory after Magufuli had stated his displeasure with politicians running the advocates' body. Lissu's election prompted a government minister to warn that he might consider deregistering the TLS, which is a statutory organization with formal ties to the government.

    There is hardly a day that an official of the opposition is not ordered to report to the police station or is not brought before a court of law. Chadema has claimed that since Magufuli's assumption of the presidency in 2015 over 400 members of its leadership have been detained on spurious charges and mostly denied bail.

    Another opposition party, the Civic United Front (CUF), has been plunged in a leadership crisis seen by some as instigated by the government. A serious rift has opened up between Professor Ibrahim Lipumba, who resigned his post of chairman a couple of years ago only to bounce back and reclaim it, and Zanzibar's veteran opposition lynchpin, Seif Shariff Hamad, who is secretary-general of the party.

    In that tussle, government agencies regulating political parties seem to have a preference for the flip-flopping academic. The registrar of parties has effectively endorsed Lipumba's decisions in expelling MPs loyal to Hamad and has also authorized that Lipumba's faction be given the financial subsidy due to CUF.

    Hamad has relentlessly challenged the ruling CCM in Zanzibar since 1995, and there are those who believe he won every election since then but has been forcibly kept out of power. The last election in 2015 was a botched affair that went into a repeat process that Hamad boycotted, allowing the CCM candidate, Ali Mohammed Shein, to claim a victory of more than 90 percent of the vote - a laughable idea for anyone who knows Zanzibar and its fractured politics.

    There is no war, but there is no peace either.

 
Tatizo lako wewe unakuwa na chuki na serikali kiasi kwamba unapoteza uwezo hata wa kujenga hoja, walifanya fujo gani zaidi ya kuandamana kupinga matokeo ya uchaguzi jambo ambalo linaruhusiwa kikatiba Kenya, mbona huku Tanzania maandamano yakizuiliwa na polisi kwa sababu hizo hizo kwamba yataleta fujo watu wanalalamika?, Kwanini yakifanyika Kenya unasema yameleta fujo lakini yakifanyika Tanzania unasema ni haki ya kikatiba na hayana fujo?, Je hata kama yanaleta fujo ndiyo polisi iwapige risasi na kuwaua?, polisi ya Kenya ina vifaa vingi vya kisasa labda mara tatu ya vile vya polisi wa Tanzania vya kuweza kutuliza fujo bilakupoteza maisha, kwa nini mauaji yanazidi kutokea hata baada ya kuongezewa vifaa vya kutuliza fujo?,

Hujasikia Joho anavyovurugana na polisi kwa sababu ya kupingana na Uhuru Kenyata, mara ngapi nyumba yake imezingirwa na polisi?, Vituko anavyofanyiwa Joho na serikali ya Kenya huvijui au unajitoa akili, biashara zake kufungiwa account zake kuzuiliwa, ndugu zake na wafanya biashara walio marafiki zake kusumbuliwa, kama hujui mambo uliza ufahamishwe.

Anachofanyiwa Tundu Lisu sikiungi mkono lakini usilinganishe Tanzania na Kenya katika hili, Kenya inaongoza Afrika nzima katika extrajidicial killings(Transparency international report 2017), ukitofautiana tu na serikali Kenya unauliwa kama ilivyokuwa kwa Jakob Jumwa na hakuna mtu yeyote atakayekamatwa, nenda Mombasa uone jinsi vijana wanavyouliwa na kupotea ovyo kwa kisingizio cha ugaidi, acha kuzungumzz vitu usivyojua vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajicontradict na kurusha tuhuma zilizojaa innuendoz.Hivi anayokumbana nayo Manji yanafanywa na serikali ipi? Wamesababisha mpaka udiwani wake umepotea.Yaliyompata Nape hadi kutishiwa bastola yalitokea wapi? Njoo uvamizi wa clouds media,,toa ufafanuzi,ukitoka hapo njoo kwa mzee Lowasa kila siku polisi.Kama uko makini utakumbuka jinsi Ukuta ulivyosababisha polis,ffu nk kujazana mitaani ili watu wasiandamane,,nitafutie Ben Sanane,,,,,Roma alijiteka? Ney wa mitego je? Kamanda Mawazo alijinyonga? Lipumba anaivuruga CUF kwa msaada wa Mbowe? Lijuakali,Lema,Kubenea walienda tuu kutembelea mahabusu? Kenya kuna unafuu kuelekea demokrasia ya kweli.Hutaki unaacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BBC Swahili:
Mwanasiasa wa upinzani Tanzania Tundu Lissu apigwa risasi na watu wasiojulikana

Mwanasiasa wa upinzani nchni Tanzania Tundu Lissu amepigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma, katikati mwa Tanzania.

Mwanasiasa huyo amekimbizwa hospitali ya mkoa wa Dodoma na kupokea huduma ya kwanza na taarifa zinasema kuna mipango ya kumsafirisha hadi Nairobi kwa matibabu zaidi.

Rais wa Tanzania John Magufuli kupitia kwenye Twitter amesema amesikitishwa sana na kushambuliwa kwa mbunge huyo.

Ameandika: "Nimepokea kwa masikitiko tukio la kupigwa risasi Mh. Tundu Lissu, namuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona haraka. Aidha, vyombo vya dola viwasake wale wote waliohusika na tukio hili la kinyama na kuwafikisha ktk mikono ya sheria."

Kwa mujibu wa taarifa ya chama kikuu cha upinzani CHADEMA kwa vyombo vya habari, tukio hilo lilitokea wakati mbunge huyo wa Singida Mashariki akiwa nyumbani kwake.

Chama hicho kimelaani vikali tukio hilo.

Wakati huo huo, Chama tawala cha CCM, kupitia Katibu wao wa Itikadi na Uenezi,imesema kimepokea kwa mstuko mkubwa kushambuliwa kwa mbunge huyo wa upinzani.

"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinalaani tukio hilo la kikatili na lisilo na utu tunalitaka Jeshi la Polisi kuwatafuta, kufanya uchunguzi wa tukio hili na kuchukua hatua kali za kisheria kwa wote waliohusika."

Kamanda wa polisi mkoani Dodoma, Kamishna Msaidizi, Jires Mroto ameiambia BBC kuwa wameanza uchunguzi wa tukio hilo.

"Tunaomba wananchi wenye taarifa ya uhalifu huu, waweze kujitokeza" amesema Kamanda Mroto.

Hivi karibuni, mbunge huyo kutoka chama cha upinzani cha CHADEMA, amekuwa akikamatwa mara kwa mara na polisi akishutumiwa kufanya uchochezi.

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akithibitisha tukio la leo alisema, amesema "yupo hospitali, bado anajaribu kupambana kuokoa maisha yake"

Gazeti la Mwananchi nchini Tanzania, limemnukuu Mganga mkuu wa hospitali ya Dodoma akisema wakili huyo ana majeraha ya risasi miguuni na tumboni.


 
Sasa ndio tunategemea kuona wapinzani wakiwa Pamoja wa hakikisha kwamba amani yetu, Furaha yetu vinarudi
 
Unajicontradict na kurusha tuhuma zilizojaa innuendoz.Hivi anayokumbana nayo Manji yanafanywa na serikali ipi? Wamesababisha mpaka udiwani wake umepotea.Yaliyompata Nape hadi kutishiwa bastola yalitokea wapi? Njoo uvamizi wa clouds media,,toa ufafanuzi,ukitoka hapo njoo kwa mzee Lowasa kila siku polisi.Kama uko makini utakumbuka jinsi Ukuta ulivyosababisha polis,ffu nk kujazana mitaani ili watu wasiandamane,,nitafutie Ben Sanane,,,,,Roma alijiteka? Ney wa mitego je? Kamanda Mawazo alijinyonga? Lipumba anaivuruga CUF kwa msaada wa Mbowe? Lijuakali,Lema,Kubenea walienda tuu kutembelea mahabusu? Kenya kuna unafuu kuelekea demokrasia ya kweli.Hutaki unaacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jenga hoja usirushe shutuma hewani bila mpangilio, tatizo wewe unarusha shutuma hujengi hoja, unatajataja majina tu bila vina wa hoja. Hakuna nchi yoyote duniani isiyo na sheria na taratibu, tunataka nchi iongozwe kwa sheria na taratibu zilizopo, nchi itakayowweza kufuata sheria na taratibu kwa mujibu wa katiba waliyojiwekea ndiyo tunasema ni nchi bora.

Sasa sijui nianza na yupi kwa sababu unataja watu ovyo ovyo bila mpangilio. Ngoja nianze na Manji, manji ameshutumiwa na makosa mengi tu, kuanzia matumizi ya dawa za kulevya ambapo vipime vya mkojo vya mkemia mkuu vimethibitisha sio maneno ya mtaani, Pili kukutwa na mihuri na nguo za jeshi, bado hizi zote ni tuhuma, utaratibu tuliojiwekea katika katiba yetu ni kwamba mtuhumiwa ni laxima apelekwe mahakamani ndiyo mahakama itaamua kama anakesi ya kujibu ama hapana, sasa katika suala la Manji wewe tatizo lako lipo wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga hoja usirushe shutuma hewani bila mpangilio, tatizo wewe unarusha shutuma hujengi hoja, unatajataja majina tu bila vina wa hoja. Hakuna nchi yoyote duniani isiyo na sheria na taratibu, tunataka nchi iongozwe kwa sheria na taratibu zilizopo, nchi itakayowweza kufuata sheria na taratibu kwa mujibu wa katiba waliyojiwekea ndiyo tunasema ni nchi bora.

Sasa sijui nianza na yupi kwa sababu unataja watu ovyo ovyo bila mpangilio. Ngoja nianze na Manji, manji ameshutumiwa na makosa mengi tu, kuanzia matumizi ya dawa za kulevya ambapo vipime vya mkojo vya mkemia mkuu vimethibitisha sio maneno ya mtaani, Pili kukutwa na mihuri na nguo za jeshi, bado hizi zote ni tuhuma, utaratibu tuliojiwekea katika katiba yetu ni kwamba mtuhumiwa ni laxima apelekwe mahakamani ndiyo mahakama itaamua kama anakesi ya kujibu ama hapana, sasa katika suala la Manji wewe tatizo lako lipo wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ibara ya 13( 6)(b) ya katiba yetu inasemaje kuhusu mtuhumiwa? Kufungiwa akaunti za benk ni kwa mujibu wa sheria ipi? Tukiachana hilo vipi kuna sheria gani inayozungumzia mtu kutumia madawa bila ushahidi mpaka upime mkojo? Hata huo mkojo wenyewe mkemia anasema hajui kama mkojo alioupima ni wa Manji au polisi.Kama kufuata katiba,Tanzania ndipo katiba haifuatwi,unajua kubomoa nyumba ya mtu au kutaifisha mali yake bila fidia inakiuka ibara ya 24 ya katiba? Utaendelea tu kusema narusha tuhuma hewani lakini ukweli ndo huo.Yawezekana hay wewe hujayasikia wala kuyaona ,au wewe ni beneficiary wa mfumo hivyo lazima utatetea tuuu.Kama kuna katiba inanajisiwa basi ni ya Tanzania.Eti mtu tena kiongozi wa nchi anajitapa eti katika mihimili ya dola kuna mmoja umejichimbia chini zaidi ya mingine,hii ndo constitutionalism tunayoijua? Mambo ya Kagame ndo dira yetu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom