Tanzania Police wana air wing? Tazama Kenya Police Air Wing

Tanzania Police wana air wing? Tazama Kenya Police Air Wing

Maelezo mazuri na picha nzuri but ufanisi hakuna

Katika historians ya majeshi ya Polisi Kenya imevunja rekodi ya kupoteza askari 40 katika ambush moja ya qualify.Poor intelligence

Used Chopper 3 mlizonunua kwaajili ya Police air wing Geza kawaonyesha video zake zimeanguka kwa kukosa matengezo na matunzo hafifu kwa rubani

Mngekumbana na Uhalifu kama wa Kibiti au Mapango ya Amboni Tanga mngepata tabu sana

Kinachowaangusha ni kakosa nidhamu ya kazi na poor intelligence
BTW si tatu tu! ziko zaidi ya tano zimeanguka!
 


EJ97HNIWoAI5VUo.jpg


p1-1.jpg


thumb_1289_800x420_0_0_auto.jpg
 

Wapi huku
 
Hata kama mnazo kwani alshabab wamewaachia..?
 
Inaonyesha jinsi gani jeshi lenu halipo sawa kila kona

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunaongelea Polisi, sio jeshi,polisi wenu wako na kadege kamoja tu, alafu uko na nguvu za kusema wetu hawako sawa wakati wako na midege mingi.... Ndege kuanguka si dhihirisho kwamba polisi au jeshi au kampuni haiko sawa, Kujua hilo ni uangalie historia , ni ndege ngapi zimeanguka tangu waanze kufanya kazi alafu utafute % ya ndege kuanguka na zile hazikuanguka.
 
Maelezo mazuri na picha nzuri but ufanisi hakuna

Katika historians ya majeshi ya Polisi Kenya imevunja rekodi ya kupoteza askari 40 katika ambush moja ya qualify.Poor intelligence

Used Chopper 3 mlizonunua kwaajili ya Police air wing Geza kawaonyesha video zake zimeanguka kwa kukosa matengezo na matunzo hafifu kwa rubani

Mngekumbana na Uhalifu kama wa Kibiti au Mapango ya Amboni Tanga mngepata tabu sana

Kinachowaangusha ni kakosa nidhamu ya kazi na poor intelligence
I knew you would bring up baragoi which happened about 10 years ago! Those were new recruits and did not have battle experience ie. Baptism by fire, but also let them try that now. The upgrades to the police in kenya can match any army in the region.
 
Nyi
Hiyo helicopter moja umepiga picha kutoka pande tatu? 😀 😀
Nyie hamna lolote, kdf walisumbuliwa na al shabaab watatu tu hadi kdf wakaishia kuiba mikate, wale navy nao mbwembwe kibao mama wawatu na bint yake wakakaa kwenye maji wiki nzima, kwa mapichapicha mpo vizuri subiri utendaji sasa
 
They think Kenya police is trained to arrest and kill opposition party members like their police.
My relative works in the airwing, he can fly 4 different types of choppers, bell, leornado, Airbus and Mi-17, including some fixed wing aircrafts all at the expense of the government, imagine getting all those aircraft rating,hatawaii kosa job ata akitoka the force

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom