Tanzania Premier League, KMC Vs Yanga Uwanja wa Taifa

Unaangalia Mechi ya @YoungAfricansSC na KMC unaombea matokea ya sare unabana vidole na sehemu nyingine za mwili, Feisal anapachika bao dakika ya mwisho...Unapata PRESHA...UNAKUFA...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka kwa sauti Mkuu.

Mtani sembo umepona hukooo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uwiiii. Mdogo wangu mona wapitwa sana aiseeee.

Au umehamia kwenye NBA nini? [emoji12][emoji12][emoji12]
Hata sijui kwa nini najikuta sina mood na ushabiki wa mpira kabisa.

Zamani nilikuwa mshabiki wa kutukuka sana hasa timu za Ulaya.

Enzi za Drogba, Adebayor, E'too,(naona wakaribia kutundika ndaluga) na manguli kibao wa Ulaya na America nilikiwa nawashabikia sana.
 
Duuh! Mdogi wangu sa sijui nikupe pole au hongera maana ushabiki una raha na saa nyingine una karaha.

Ila ulipoamua kujiweka sio pabaya pia. Yaani huna presha za hovyo hovyo. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…