Tanzania Premier League, KMC Vs Yanga Uwanja wa Taifa

Hahahaaa. Sidhani kama inaweza jirudia hiyo Gharika Mtani.

Maana timu kama Allience zinahesabika na zilizo nyingi mwendo wao ni mpera mpera kama jana KMC.
Ni mpera mpera wakicheza na yanga ila wakijua tunacheza na MNYAMA basi tayariiiii............ ...
 
Hatukuombei njaa. Kadri ligi inavyozidi kusonga mbele ndipo makali yako yanapungua jiandae kisaikolojia mtani..[emoji3][emoji3]
Hahahaaaa. Hatimaye umeandika Mtani πŸ™ˆπŸ™ˆ

Tuombe tu uzima mtani sababu mwisho wa siku usije kimbia kauli zako pale mambo yatakapokuja kinyume.
 
Ahsante Mtani maana ulijitahidi kutuletea updates ambazo najua zimekujia tofauti na mategemeo yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kitaeleweka tu mwaka huu Mtani.
Yaani pamoja na hiyo shukrani huachi vijembe..Nilikuwa makini ndo maana hakuna niliposema unapoteza mchezo huo

Nilisema KMC watapoteza kwa kukosa uzoefu na kilichotokea mtani

Lakini nikwambia mtani mpira wako ni kawaida sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Timu inayocheza mpira kama ipi Sesten sema tu.

Naamini hivyo pote pote Sesten. πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

🎡🎡🎡Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini 🎡🎡🎡 naimba tu Seten.
Nimecheka huo wimbo aisee, ama kweli ushindi unalewesha...katimu kenye hako ka KMC kampya halafu kanawatoa jasho, tuombe uzima tu kutoka kwa Maulana maana baadae huko mtakuja na kilio hapa ooh Simba sijui wanapitisha miamala Yanga ipoteze mechi sijui nini, yaani keleeele moja kwa moja, yetu macho
 
Yaani pamoja na hiyo shukrani huachi vijembe..
HAHAHAAA. Ndio utani wa jadi bana huo Mtani. 😜😜😜 usichukie.
Nilikuwa makini ndo maana hakuna niliposema unapoteza mchezo huo
Nimeona Mtani ulijua kujiongeza. πŸ˜€πŸ˜€

Nilisema KMC watapoteza kwa kukosa uzoefu na kilichotokea mtani

Lakini nikwambia mtani mpira wako ni kawaida sana[emoji3][emoji3][emoji3]

Hivyo ulijua KMC hawatatoka eeee. Unadhani nakataa Mtani mpira ni wa kawaida ndio ila matokeo yanapatikana Mtani.
 
Hahahaa. Ila mnajuaga kutuombea njaa bana. Maana wengi wenu lile goli liliwachukiza hatari.

CC. sembo
Hahahaaa. [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Mtani wajua tena majukumu + mihangaiko ni ngumu kuingia humu usiku banaaa.

Mie naanzaje kukimbia jamaani. Hizi za kuja ubao ukibadilika anazo sembo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha.. Mtani, mpaka sasa siamini kilichotokea. Kaseja tunaomjua sisi, si wakufungwa goli la kizembe vile.
Tumewaachia vyombo husika vifanye kazi yake.
 
HAHAHAAA. Ndio utani wa jadi bana huo Mtani. [emoji12][emoji12][emoji12] [emoji3][emoji3]



Hivyo ulijua KMC hawatatoka eeee. Unadhani nakataa Mtani mpira ni wa kawaida ndio ila matokeo yanapatikana Mtani.

KMC salama yao ilikuwa droo. Lakini nayo walichemka, ila yaonyesha umeshukuru si kitoto dk 85 holaaa

Lunyasi sembo anakuja kukupa wakati mgumu hivi punde..jiandae kisaikolojia[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…