Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Ni mpera mpera wakicheza na yanga ila wakijua tunacheza na MNYAMA basi tayariiiii............ ...Hahahaaa. Sidhani kama inaweza jirudia hiyo Gharika Mtani.
Maana timu kama Allience zinahesabika na zilizo nyingi mwendo wao ni mpera mpera kama jana KMC.